< Yeremia 15 >

1 Kisha Bwana akaniambia: “Hata kama Mose na Samweli wangesimama mbele zangu, moyo wangu usingewaelekea watu hawa. Waondoe mbele za macho yangu! Waache waende!
Amalalu, Hina Gode da nama amane sia: i, “Amomane Mousese amola Sa: miuele da guiguda: edegesa lelu ganiaba, Na da amo dunuma hame asigiwane hamona: noba. Ili masa: ne, sefasima! Na da ili ba: mu higa: i gala mabu.
2 Nao kama wakikuuliza, ‘Twende wapi?’ Waambie, ‘Hili ndilo Bwana asemalo: “‘Wale waliowekwa kwa ajili ya kufa, wakafe; waliowekwa kwa ajili ya upanga, kwa upanga; waliowekwa kwa ajili ya njaa, kwa njaa: waliowekwa kwa ajili ya kutekwa, watekwe.’”
Ilia da habodili masa: ne dima adole ba: sea, Na sia: ilima alofele amane sia: ma, ‘Dilia da agoane masunu. Mogili dilia da olobeba: le bogomu. Mogili dilia da gegesu ganodini bogomu. Mogili dilia da ha: ga bogomu. Mogili dilia ha lai da dili udigili se iasu hawa: hamomusa: mugululi oule masunu. Dilia da amoga masunu.
3 Bwana asema, “Nitatuma aina nne za waharabu dhidi yao: nazo ni upanga ili kuua na mbwa ili wakokote mbali, ndege wa angani na wanyama wa nchi ili kula na kuangamiza.
Na, Hina Gode, da wadela: su liligi biyaduyale gala ilima iasimu. Age da ilia gegesu ganodini bogogia: mu. Ageyadu da ilia bogoi da: i hodo da wa: mega hiougi dagoi ba: mu. Osoda da sio fi da ilia da: i hodo na dagomu. Amola biyadu da sigua ohe da ilia da: i hodo hame mai dialebe, amo nawene ebelemu.
4 Nitawafanya wawe machukizo kwa falme zote za dunia kwa sababu ya kile alichofanya Manase mwana wa Hezekia mfalme wa Yuda huko Yerusalemu.
Yuda hina bagade Mana: se (Hesigaia egefe) da Yelusaleme amo ganodini, wadela: i bagade hamosu. Amaiba: le, Na da Yuda dunu ilima se bagade iabeba: le, osobo bagade fifi asi gala dunu huluane da baligili beda: iwane fofogadigimu.’”
5 “Ni nani atakayekuhurumia, ee Yerusalemu? Ni nani atakayeomboleza kwa ajili yako? Ni nani atakayesimama ili kuuliza kuhusu hali yako?
Hina Gode da amane, sia: sa, “Yelusaleme fi dunu! Nowa da diliha asigima: bela: ? Nowa da diliha dima: bela: ? Nowa da dilia hou adole ba: ma: ne, ouesaloma: bela: ?
6 Umenikataa mimi,” asema Bwana. “Unazidi kukengeuka. Hivyo nitanyoosha mkono wangu juu yako na kukuangamiza, siwezi kuendelea kukuonea huruma.
Dilia da Na higa: i dagoi. Dilia da Nama baligi fa: su. Amaiba: le Na da Na ougi gumimu helebeba: le, da Na lobo ilua: le, dili goudane fasi.
7 Nitawapepeta kwa uma wa kupepetea kwenye malango ya miji katika nchi. Nitaleta msiba na maangamizi juu ya watu wangu, kwa maana hawajabadili njia zao.
Na da Na soge moilai huluane amo ganodini, dili lale, bioi gisi agoane dili foga mini masa: ne gado galagai. Na fi dunu! Na da dili wadela: lesi! Na da dilia mano medole lelegei. Bai dilia wadela: i hou hame yolesi.
8 Nitawafanya wajane wao kuwa wengi kuliko mchanga wa bahari. Wakati wa adhuhuri nitamleta mharabu dhidi ya mama wa vijana wao waume; kwa ghafula nitaleta juu yao maumivu makuu na hofu kuu.
Dilia soge ganodini, uda didalo ilia idi da sa: iboso wayabo bagade bega: dialebe ilia idi baligisa. Na da dilia ayeligi dunu ilia gasa bagade esoga medole legebeba: le, ilia ame da se bagade nabi. Na hamobeba: le, ilia da hedolowane da: i diosu amola beda: su ba: i.
9 Mama mwenye watoto saba atazimia na kupumua pumzi yake ya mwisho. Jua lake litatua kungali bado mchana, atatahayarika na kufedheheka. Wale wote waliobaki nitawaua kwa upanga mbele ya adui zao,” asema Bwana.
Ame afae amo ea mano fesuale fisi dagoiba: le, da habe heda: mu gogolele sidisa. Ea eso diga: i da afadenene, bu gasi agoane ba: sa. E da gogosia: i dagoi amola dogo oloi agoane ba: sa. Dilia ha lai dunu da dili hame bogoi esalebe dunu amo medole legemusa: , Na da logo doasimu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.”
10 Ole wangu, mama yangu, kwamba ulinizaa, mtu ambaye ulimwengu wote unashindana na kugombana naye! Sikukopa wala sikukopesha, lakini kila mmoja ananilaani.
Na da da: i dioi bagade! Na ame da abuliba: le na lalelegebela: ? Na da dunu huluane soge ganodini esala ilima sia: ga gegenana. Na da fa: no dabema: ne muni hame iasu, amola eno dunuma bu dabema: ne hame lasu. Be dunu huluane da nama gagabui aligima: ne ilegesa.
11 Bwana akasema, “Hakika nitakuokoa kwa kusudi jema, hakika nitawafanya adui zako wakuombe msaada nyakati za maafa na nyakati za dhiki.
Hina Gode da nama amane sia: i, “Na da di gaga: mu. Amasea, di da Na hawa: hamosu ida: iwane hamomu. Amola bidi hamosu amola wadela: su eso da doaga: sea, dia ha lai da dima ili fidima: ne ha: giwane adole ba: mu.
12 “Je, mtu aweza kuvunja chuma, chuma kitokacho kaskazini, au shaba?
Dunu afae da ouli goudamu hamedei ba: sa. Amola ouli amola balase amola gilisi (amo da gagoe [north] amoga maha) amo goudamu da baligili hamedei ba: sa.”
13 Utajiri wako na hazina zako nitavitoa kuwa nyara, bila gharama, kwa sababu ya dhambi zako zote katika nchi yako yote.
Hina Gode da nama amane sia: i, “Na da ha lai dunu asunasimu. Ilia da Na fi dunu ilia muni amola liligi huluane ga gaguli masunu. Na fi dunu da soge huluane amo ganodini wadela: i bagade hamobeba: le, Na da ilima agoane se imunu.
14 Nitakufanya uwe mtumwa wa adui zako katika nchi usiyoijua, kwa kuwa katika hasira yangu moto umewashwa utakaowaka juu yako daima.”
Ilia da soge ilia hame dawa: ganodini ilia ha lai dunu ilima udigili hawa: hamomu. Bai Na ougi da lalu agoane ha: ba: domu hamedei eso huluane nenanumu.”
15 Wewe unafahamu, Ee Bwana, unikumbuke na unitunze mimi. Lipiza kisasi juu ya watesi wangu. Kwa uvumilivu wako usiniondolee mbali; kumbuka jinsi ninavyoshutumiwa.
Amalalu, na da amane sia: i, “Hina Gode! Di dawa: digisa! Dia na mae gogolema, amola na fidima! Dunu eno da nama se bagade iaha. Na da ilima dabema: ne, Dia logo doasima! Ilia da na medole legesa: besa: le, ilia Dima sinidigima: ne mae ouesaloma! Mae gogolema! Na da Dia Dio gaguia gadobeba: le, ilia da nama gadesa.
16 Maneno yako yalipokuja, niliyala; yakawa shangwe yangu na furaha ya moyo wangu, kwa kuwa nimeitwa kwa jina lako, Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
Di da nama sia: i amola na da Dia sia: huluane nabi dagoi. Hina Gode Bagadedafa! Na da Dia sia: beba: le, na dogo da hahawane hou ba: i dagoi.
17 Kamwe sikuketi katika kundi la wafanyao sherehe, wala kamwe sikujifurahisha pamoja nao; niliketi peke yangu kwa sababu mkono wako ulikuwa juu yangu, na wewe ulikuwa umenijaza hasira.
Na da eno hame lalegagui dunu ilima gilisili hahawane dogolegele hou hame hamosu. Dia sia: beba: le, na da nisu esalu, ougi bagade ba: i.
18 Kwa nini maumivu yangu hayakomi, na jeraha langu ni la kuhuzunisha, wala haliponyeki? Je, utakuwa kwangu kama kijito cha udanganyifu, kama chemchemi iliyokauka?
Na da abuliba: le se nababela: ? Na fafa: ginisi da abuliba: le bahomu hame dawa: bela: ? Hano da woufo oubiga hasea, dunu da da: i diosa. Di da amo defele, na da: i dioma: ne, nama ogogoma: bela: ?”
19 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana: “Kama ukitubu, nitakurejeza ili uweze kunitumikia; kama ukinena maneno yenye maana, wala si ya upuzi, utakuwa mnenaji wangu. Watu hawa ndio watakaokugeukia, wala si wewe utakayewageukia wao.
Amo nabalu, Hina Gode da nama bu adole i, “Di da bu sinidigisia, Na da di bu lale, dia da Na hawa: hamosu bu hamoma: mu. Di da udigili sia: fisili, bu sia: noga: idafa bu sia: dasea, di da bu Na balofede dunu ba: mu. Amasea, di da Na fi dunu ilima mae asili, be ilia da dia sia: nabima: ne, dima misunu.
20 Nitakufanya wewe uwe ukuta kwa watu hawa, ngome ya ukuta wa shaba; watapigana nawe lakini hawatakushinda, kwa maana mimi niko pamoja nawe kukuponya na kukuokoa,” asema Bwana.
Na da ilia ba: ma: ne, di balase dobea gasa bagade agoane hamomu. Ilia da dima gegemu. Be dima hasalasimu hamedei ba: mu. Bai Na di gaga: ma: ne, ani esalumu.
21 “Nitakuokoa kutoka mikono ya waovu, na kukukomboa kutoka makucha ya watu wakatili.”
Wadela: i amola bidi hamosu dunu da dima mae hasalasima: ne, Na da di gaga: mu. Na, Hina Gode da sia: i dagoi.”

< Yeremia 15 >