< Yeremia 14 >

1 Hili ndilo neno la Bwana kwa Yeremia kuhusu ukame:
Esta é a palavra de Iavé que chegou a Jeremias a respeito da seca:
2 “Yuda anaomboleza, miji yake inayodhoofika; wanaomboleza kwa ajili ya nchi, nacho kilio kinapanda kutoka Yerusalemu.
“Judah está de luto, e seus portões enfraquecem. Eles se sentam de preto no chão. O grito de Jerusalém sobe.
3 Wakuu wanawatuma watumishi wao maji; wanakwenda visimani lakini humo hakuna maji. Wanarudi na vyombo bila maji; wakiwa na hofu na kukata tamaa, wanafunika vichwa vyao.
Seus nobres enviam seus pequenos para as águas. Eles vêm para as cisternas, e não encontrar água. Eles retornam com seus recipientes vazios. Eles estão decepcionados e confusos, e cobrir suas cabeças.
4 Ardhi imepasuka nyufa kwa sababu hakuna mvua katika nchi; wakulima wana hofu na wanafunika vichwa vyao.
Por causa do chão que está rachado, porque não tem chovido na terra, os lavradores estão desapontados. Eles cobrem suas cabeças.
5 Hata kulungu mashambani anamwacha mtoto wake aliyezaliwa wakati huo huo kwa sababu hakuna majani.
Sim, a corça no campo também cria e abandona suas crias, porque não há grama.
6 Punda-mwitu wanasimama juu ya miinuko iliyo kame na kutweta kama mbweha; macho yao yanakosa nguvu za kuona kwa ajili ya kukosa malisho.”
Os burros selvagens ficam em pé nas alturas nus. Eles ofegam pelo ar como chacais. Seus olhos falham, porque não há vegetação.
7 Ingawa dhambi zetu zinashuhudia juu yetu, Ee Bwana, tenda jambo kwa ajili ya jina lako. Kwa kuwa kukengeuka kwetu ni kukubwa, nasi tumetenda dhambi dhidi yako.
Embora nossas iniqüidades testemunhem contra nós, trabalhe pelo seu nome, Yahweh; para nossas rebeliões são muitas. Nós pecamos contra você.
8 Ee Tumaini la Israeli, Mwokozi wake wakati wa taabu, kwa nini unakuwa kama mgeni katika nchi, kama msafiri anayekaa kwa usiku mmoja tu?
Você espera de Israel, seu Salvador no momento de problemas, por que você deveria ser como estrangeiro na terra, e como um homem de passagem que se vira para ficar por uma noite?
9 Mbona unakuwa kama mtu aliyeshtukizwa, kama shujaa asiye na uwezo wa kuokoa? Wewe uko katikati yetu, Ee Bwana, nasi tunaitwa kwa jina lako; usituache!
Por que você deve ser como um homem assustado? como um homem poderoso que não pode salvar? No entanto, você, Javé, está no meio de nós, e somos chamados pelo seu nome. Não nos deixe.
10 Hili ndilo Bwana asemalo kuhusu watu hawa: “Wanapenda sana kutangatanga, hawaizuii miguu yao. Hivyo Bwana hawakubali; sasa ataukumbuka uovu wao na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.”
diz Yahweh a este povo: “Mesmo assim, eles adoraram passear. Eles não restringiram seus pés. Portanto Yahweh não os aceita. Agora ele vai se lembrar da iniqüidade deles, e castigá-los por seus pecados”.
11 Kisha Bwana akaniambia, “Usiombe kwa ajili ya mafanikio ya watu hawa.
Yahweh me disse: “Não reze por este povo para o seu bem”.
12 Ingawa wanafunga, sitasikiliza kilio chao; hata wakitoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za nafaka, sitazikubali. Badala yake, nitawaangamiza kwa upanga, njaa na tauni.”
Quando jejuarem, não ouvirei seu grito; e quando oferecerem holocausto e oferta de refeição, não os aceitarei; mas os consumirei pela espada, pela fome e pela pestilência”.
13 Lakini nikasema, “Aa, Bwana Mwenyezi, manabii wanaendelea kuwaambia, ‘Hamtaona upanga wala kukabiliwa na njaa. Naam, nitawapa amani ya kudumu mahali hapa.’”
Então eu disse: “Ah, Senhor Yahweh! Eis que os profetas lhes dizem: 'Não vereis a espada, nem tereis fome; mas eu vos darei paz assegurada neste lugar'”.
14 Ndipo Bwana akaniambia, “Manabii wanatabiri uongo kwa jina langu. Sikuwatuma, wala sikuwaweka, wala sikusema nao. Wanawatabiria maono ya uongo, maaguzi, maono ya sanamu zisizofaa kitu, na madanganyo ya mawazo yao wenyewe.
Então Yahweh me disse: “Os profetas profetizam em meu nome”. Eu não os enviei. Eu não os mandei. Eu não falei com eles. Eles lhe profetizam uma visão mentirosa, uma adivinhação, uma coisa de nada, e o engano de seu próprio coração.
15 Kwa hiyo, hili ndilo Bwana asemalo kuhusu manabii wanaotabiri kwa jina langu: Mimi sikuwatuma, lakini wanasema, ‘Hakuna upanga wala njaa itakayoigusa nchi hii.’ Manabii hao hao watakufa kwa upanga na njaa.
Portanto Yahweh diz a respeito dos profetas que profetizam em meu nome, mas eu não os enviei, mas eles dizem: “A espada e a fome não estarão nesta terra”. Esses profetas serão consumidos pela espada e pela fome.
16 Nao watu hao wanaowatabiria watatupwa nje katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga. Hapatakuwepo yeyote wa kuwazika wao au wake zao, wana wao au binti zao. Nitawamwagia maafa wanayostahili.
O povo a quem eles profetizam será expulso nas ruas de Jerusalém por causa da fome e da espada. Eles não terão ninguém para enterrá-los - eles, suas esposas, seus filhos ou suas filhas, pois derramarei sobre eles a sua maldade.
17 “Nena nao neno hili: “‘Macho yangu na yatiririkwe na machozi usiku na mchana bila kukoma; kwa kuwa binti yangu aliye bikira, yaani watu wangu, amepata jeraha baya, pigo la kuangamiza.
“Você dirá esta palavra a eles: “'Deixe meus olhos correrem para baixo com lágrimas noite e dia, e não os deixem parar; para a filha virgem do meu povo é quebrada com uma grande brecha, com uma ferida muito dolorosa.
18 Kama nikienda mashambani, ninaona wale waliouawa kwa upanga; kama nikienda mjini, ninaona maangamizi ya njaa. Nabii na kuhani kwa pamoja wamekwenda katika nchi wasiyoijua.’”
Se eu saio para o campo, então veja, o morto com a espada! Se eu entrar na cidade, então eis que aqueles que estão doentes de fome! Tanto para o profeta como para o sacerdote, andam por aí na terra, e não têm conhecimento”.
19 Je, umemkataa Yuda kabisa? Umemchukia Sayuni kabisa? Kwa nini umetuumiza hata hatuwezi kuponyeka? Tulitarajia amani, lakini hakuna jema lililotujia; tulitarajia wakati wa kupona lakini kuna hofu kuu tu.
Você rejeitou totalmente Judah? Sua alma abominava Zion? Por que você nos atingiu, e não há cura para nós? Buscamos a paz, mas nada de bom veio; e por um tempo de cura, e eis que o desânimo!
20 Ee Bwana, tunatambua uovu wetu na kosa la baba zetu; kweli tumetenda dhambi dhidi yako.
Reconhecemos, Yahweh, nossa maldade, e a iniqüidade de nossos pais; pois pecamos contra você.
21 Kwa ajili ya jina lako usituchukie kabisa; usikidharau kiti chako cha enzi kilichotukuka. Kumbuka agano lako nasi na usilivunje.
Não nos abomine, por causa de seu nome. Não desonre o trono de sua glória. Lembre-se, e não quebre seu pacto conosco.
22 Je, kuna sanamu yoyote isiyofaa kitu ya mataifa iwezayo kuleta mvua? Je, anga peke yake zaweza kutoa mvua? La hasha, ni wewe peke yako, Ee Bwana, Mungu wetu. Kwa hiyo tumaini letu liko kwako, kwa kuwa wewe ndiwe ufanyaye haya yote.
Há alguma entre as vaidades das nações que possa causar chuva? Ou o céu pode dar chuveiros? Você não é ele, Yahweh nosso Deus? Portanto, esperaremos por você; pois você fez todas essas coisas.

< Yeremia 14 >