< Yeremia 14 >
1 Hili ndilo neno la Bwana kwa Yeremia kuhusu ukame:
Ty tsara’ Iehovà am’ Iirmeà ty amy hasalikoañey.
2 “Yuda anaomboleza, miji yake inayodhoofika; wanaomboleza kwa ajili ya nchi, nacho kilio kinapanda kutoka Yerusalemu.
Mandala t’Iehodà, midegañe o lalam-bei’eo, ie mibotrek’ an-kontoke ty amy taney; vaho mionjoñe ty firoveta’ Ierosalaime.
3 Wakuu wanawatuma watumishi wao maji; wanakwenda visimani lakini humo hakuna maji. Wanarudi na vyombo bila maji; wakiwa na hofu na kukata tamaa, wanafunika vichwa vyao.
Nirahe’ o roandriañeo o keleia’eo hitoha rano: ie pok’an-kadaha eo, tsy manjo rano; mimpoly am-binta kapaike, salatse naho daba, misaron-doha,
4 Ardhi imepasuka nyufa kwa sababu hakuna mvua katika nchi; wakulima wana hofu na wanafunika vichwa vyao.
O taneo mivarakivaraky, tsy niavy an-tane ty orañe, miolitsolitse ty mpiava, misaron-doha.
5 Hata kulungu mashambani anamwacha mtoto wake aliyezaliwa wakati huo huo kwa sababu hakuna majani.
Miterak’ an-kivoke ey ka ty fanaloke, fe aforintse’e, ie tsy aman’ ahetse.
6 Punda-mwitu wanasimama juu ya miinuko iliyo kame na kutweta kama mbweha; macho yao yanakosa nguvu za kuona kwa ajili ya kukosa malisho.”
Miereñereñe an-kaboan-diolio eñe ty borìke ly, misefosefo hoe fosa; milesa o maso’eo, amy te tsy eo rongoñe.
7 Ingawa dhambi zetu zinashuhudia juu yetu, Ee Bwana, tenda jambo kwa ajili ya jina lako. Kwa kuwa kukengeuka kwetu ni kukubwa, nasi tumetenda dhambi dhidi yako.
Aa ndra te asisì’ o tahi’aio zahay, ry Iehovà, mitoloña ty amy tahina’oy; toe maro o fidisa-voli’aio, naho anaña’o hakeo.
8 Ee Tumaini la Israeli, Mwokozi wake wakati wa taabu, kwa nini unakuwa kama mgeni katika nchi, kama msafiri anayekaa kwa usiku mmoja tu?
Ry fitamà’ Israele, t’i Mpandrombak’ aze an-tsan-kaoreañe, manao akore te ihe ro manao ambahiny an-taneo, manahake ty mpitaveañe mañialo ao te haleñe?
9 Mbona unakuwa kama mtu aliyeshtukizwa, kama shujaa asiye na uwezo wa kuokoa? Wewe uko katikati yetu, Ee Bwana, nasi tunaitwa kwa jina lako; usituache!
Mañino irehe ro hoe ondaty daba, hoe fanalolahy tsy maharombake? F’ie añivo’ay irehe, ry Iehovà, vaho kanjieñe ami’ty tahina’o, ko aforintse’o.
10 Hili ndilo Bwana asemalo kuhusu watu hawa: “Wanapenda sana kutangatanga, hawaizuii miguu yao. Hivyo Bwana hawakubali; sasa ataukumbuka uovu wao na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.”
Hoe t’Iehovà am’ondaty retoañe: Toe nitea’ iereo ty mirererere, tsy kinala’ iareo o fandia’eo; aa le tsy no’ Iehovà, ho tiahi’e henane zao o hakeo’eo, vaho ho lilove’e o tahi’ iareoo.
11 Kisha Bwana akaniambia, “Usiombe kwa ajili ya mafanikio ya watu hawa.
Le hoe t’Iehovà amako: Ko ihalalia’o ty hasoa’ ondaty retoa,
12 Ingawa wanafunga, sitasikiliza kilio chao; hata wakitoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za nafaka, sitazikubali. Badala yake, nitawaangamiza kwa upanga, njaa na tauni.”
Ie mililitse, tsy ho tsanoñeko o fitoreo’eo; ie mañenga soroñe naho enga mahakama, tsy ho noko; te mone ho mongoreko am-pibara, naho an-kerè vaho an-kiria.
13 Lakini nikasema, “Aa, Bwana Mwenyezi, manabii wanaendelea kuwaambia, ‘Hamtaona upanga wala kukabiliwa na njaa. Naam, nitawapa amani ya kudumu mahali hapa.’”
Le hoe iraho: Ee Talè, Iehovà! Inao ty filañona’ o mpitokio: Tsy hizò fibara nahareo, tsy ho tendreke hasalikoañe; fa ho tolorako fierañerañañe tsy modo ami’ty toetse toy.
14 Ndipo Bwana akaniambia, “Manabii wanatabiri uongo kwa jina langu. Sikuwatuma, wala sikuwaweka, wala sikusema nao. Wanawatabiria maono ya uongo, maaguzi, maono ya sanamu zisizofaa kitu, na madanganyo ya mawazo yao wenyewe.
Aa le hoe t’Iehovà amako: Mandañitse ami’ty añarako o mpitokio; tsy nahitriko tsy nililiako, tsy nivolañako; itokia’ iareo aroñarom-bande, naho sahàtse, naho raha kafoake, vaho ty famañahian-tro’ iareo avao.
15 Kwa hiyo, hili ndilo Bwana asemalo kuhusu manabii wanaotabiri kwa jina langu: Mimi sikuwatuma, lakini wanasema, ‘Hakuna upanga wala njaa itakayoigusa nchi hii.’ Manabii hao hao watakufa kwa upanga na njaa.
Aa le hoe t’Iehovà: O mpitoky mitoky ami’ty añarakoo: Tsy niraheko, fe hoe ty asa’iareo: Tsy ho an-tane atoy ty vi-lava naho ty kerè. Aa le ty fibara naho ty hasalikoañe ty higadoña’ i mpitoky rey.
16 Nao watu hao wanaowatabiria watatupwa nje katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga. Hapatakuwepo yeyote wa kuwazika wao au wake zao, wana wao au binti zao. Nitawamwagia maafa wanayostahili.
Le hahifik’ an-dala’ Ierosalaime ey ondaty itokia’ iareoo, ami’ty mosare naho amy fibaray; le tsy hanam-pandeveñe, ie naho o vali’eo, naho o ana-dahi’eo, vaho o anak’ ampela’eo; fa hadoako am’iereo ty haloloa’ iareo.
17 “Nena nao neno hili: “‘Macho yangu na yatiririkwe na machozi usiku na mchana bila kukoma; kwa kuwa binti yangu aliye bikira, yaani watu wangu, amepata jeraha baya, pigo la kuangamiza.
Le isaontsio o tsara zao: Ehe te hitsiririàhan-drano maso handro an-kaleñe o masokoo; vaho ko ajihetse; amy te dinemo’ ty fanjevoañe ra’elahy i somondrara anak’ ampela’ ondatikoy, ami’ty fere mahatindry.
18 Kama nikienda mashambani, ninaona wale waliouawa kwa upanga; kama nikienda mjini, ninaona maangamizi ya njaa. Nabii na kuhani kwa pamoja wamekwenda katika nchi wasiyoijua.’”
Izaho mb’an-kivok’ añe: hehe ty zinamam-pibara, ie mimoak’ an-drova ao, ingo ty nanilofen-kerè! mikariokariok’ amy taney o mpitokio naho o mpisoroñeo fa tsy mahafohiñe.
19 Je, umemkataa Yuda kabisa? Umemchukia Sayuni kabisa? Kwa nini umetuumiza hata hatuwezi kuponyeka? Tulitarajia amani, lakini hakuna jema lililotujia; tulitarajia wakati wa kupona lakini kuna hofu kuu tu.
Vata’e nifarie’o hao t’Iehodà? Heje’ ty arofo’o vintañe hao ty Tsione? Ino ty nandafa’o anay ho po-pijanganañe? Ie nandiñe fanintsiñañe fe po hasoa, naho fitsaitsaihañe, te mone hankàñe.
20 Ee Bwana, tunatambua uovu wetu na kosa la baba zetu; kweli tumetenda dhambi dhidi yako.
Iantofa’ay ry Iehovà, o halò-tsere’aio, naho o tahin-droae’aio; toe anaña’o hakeo.
21 Kwa ajili ya jina lako usituchukie kabisa; usikidharau kiti chako cha enzi kilichotukuka. Kumbuka agano lako nasi na usilivunje.
Ko malaiñ’anay irehe, ty amy tahina’oy! ko mavoe’o ty fiambesan’enge’o; mahatiahia, ko ivaliha’o i fañina’o ama’aiy!
22 Je, kuna sanamu yoyote isiyofaa kitu ya mataifa iwezayo kuleta mvua? Je, anga peke yake zaweza kutoa mvua? La hasha, ni wewe peke yako, Ee Bwana, Mungu wetu. Kwa hiyo tumaini letu liko kwako, kwa kuwa wewe ndiwe ufanyaye haya yote.
Ahavian’orañe hao o raha tsy jefa’ o kilakila’ndatioo? O likerañeo hao ty mampikojojoake orañe? Tsy Ihe hao, ry Iehovà Andrianañahare’ay? Tsy Ihe hao ty fitamà’ay? Toe Ihe ro Mpanao ze he’e zao!