< Yeremia 12 >
1 Wewe daima u mwenye haki, Ee Bwana, niletapo mashtaka mbele yako. Hata hivyo nitazungumza nawe kuhusu hukumu yako: Kwa nini njia ya waovu inafanikiwa? Kwa nini wasio waaminifu wote wanaishi kwa raha?
Pravedan si, Gospode, ako bih se pravdao s tobom; ali æu progovoriti o sudovima tvojim. Zašto je put bezbožnièki sreæan? zašto žive u miru svi koji èine nevjeru?
2 Umewapanda, nao wameota, wanakua na kuzaa matunda. Daima u midomoni mwao, lakini mbali na mioyo yao.
Ti ih posadi, i oni se ukorijeniše, rastu i rod raðaju; ti si im blizu usta ali daleko od bubrega.
3 Hata hivyo unanijua mimi, Ee Bwana; unaniona na kuyachunguza mawazo yangu kukuhusu wewe. Wakokote kama kondoo wanaokwenda kuchinjwa! Watenge kwa ajili ya siku ya kuchinjwa!
Ali, Gospode, ti me poznaješ, razgledaš me i okušao si srce moje kako je prema tebi; odvuci ih kao ovce na klanje, i pripravi ih za dan kad æe se ubiti.
4 Je, nchi itakaa katika hali ya kuomboleza mpaka lini, na majani katika kila shamba kunyauka? Kwa sababu wale waishio ndani yake ni waovu, wanyama na ndege wameangamia. Zaidi ya hayo, watu wanasema, “Bwana hataona yatakayotupata sisi.”
Dokle æe tužiti zemlja, i trava svega polja sahnuti sa zloæe onijeh koji žive u njoj? nesta sve stoke i ptica, jer govore: ne vidi kraja našega.
5 “Ikiwa umeshindana mbio na watu kwa mguu na wakakushinda, unawezaje kushindana na farasi? Ikiwa unajikwaa kwenye nchi ambayo ni salama, utawezaje kwenye vichaka kando ya Yordani?
Kad si trèao s pješcima pa te umoriše, kako æeš se utrkivati s konjma? i kad ti je tako u zemlji mirnoj, u koju se uzdaš, šta æeš èiniti kad ustane Jordan?
6 Ndugu zako, watu wa jamaa yako mwenyewe: hata wao wamekusaliti; wameinua kilio kikubwa dhidi yako. Usiwaamini, ingawa wanazungumza mema juu yako.
Jer i braæa tvoja i dom oca tvojega, i oni te iznevjeriše, i oni vièu za tobom iza glasa. Ne vjeruj im, ako bi ti i prijateljski govorili.
7 “Nitaiacha nyumba yangu, nitupe urithi wangu; nitamtia yeye nimpendaye mikononi mwa adui zake.
Ostavih dom svoj, napustih našljedstvo svoje; što bijaše milo duši mojoj, dadoh ga u ruke neprijateljima njegovijem.
8 Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba wa msituni. Huningurumia mimi, kwa hiyo ninamchukia.
Našljedstvo moje posta mi kao lav u šumi, pušta glas svoj na mene, zato mi omrznu.
9 Je, urithi wangu haukuwa kama ndege wa mawindo wa madoadoa ambaye ndege wengine wawindao humzunguka na kumshambulia? Nenda ukawakusanye pamoja wanyama wote wa mwituni; walete ili wale.
Našljedstvo moje posta mi ptica grabljiva; ptice, sletite se na nju, skupite se svi zvjerovi poljski, hodite da jedete.
10 Wachungaji wengi wataliharibu shamba langu la mizabibu na kulikanyaga shamba langu; watalifanya shamba langu zuri kuwa jangwa la ukiwa.
Pastiri mnogi pokvariæe moj vinograd, potlaèiæe dio moj, mili dio moj obratiæe u golu pustoš.
11 Litafanywa kuwa jangwa, lililokauka na kuachwa ukiwa mbele zangu; nchi yote itafanywa jangwa kwa sababu hakuna hata mmoja anayejali.
Obratiæe ga u pustoš, opustošen plakaæe preda mnom; sva æe ta zemlja opustjeti, jer niko ne uzima na um.
12 Juu ya miinuko yote ilivyo kama jangwani mharabu atajaa, kwa maana upanga wa Bwana utawala, kuanzia ncha moja ya nchi hadi nyingine; hakuna hata mmoja atakayekuwa salama.
Na sva visoka mjesta po pustinji doæi æe zatiraèi; jer æe maè Gospodnji proždirati od jednoga kraja zemlje do drugoga, neæe biti mira nijednom tijelu.
13 Watapanda ngano lakini watavuna miiba; watajitaabisha lakini hawatafaidi chochote. Kwa hiyo beba aibu ya mavuno yako kwa sababu ya hasira kali ya Bwana Mungu.”
Sijaæe pšenicu, a trnje æe žeti; muèiæe se, a koristi neæe imati, i stidjeæe se ljetine svoje, sa žestokoga gnjeva Gospodnjega.
14 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa habari ya majirani zangu wote wabaya wanaonyangʼanya urithi ambao ninawapa watu wangu Israeli, nitawangʼoa kutoka nchi zao, nami nitaingʼoa nyumba ya Yuda kutoka katikati yao.
Ovako govori Gospod za sve zle susjede moje, koji diraju našljedstvo što dadoh narodu svojemu Izrailju: evo, ja æu ih poèupati iz zemlje njihove, i dom Judin išèupaæu isred njih.
15 Lakini baada ya kuwangʼoa, nitawahurumia tena na kumrudisha kila mmoja wao kwenye urithi wake mwenyewe na kwenye nchi yake mwenyewe.
A kad ih išèupam, opet æu se smilovati na njih, i dovešæu opet svakoga njih na našljedstvo njegovo i svakoga u zemlju njegovu.
16 Ikiwa watajifunza vyema njia za watu wangu na kuapa kwa Jina langu, wakisema, ‘Hakika kama Bwana aishivyo,’ hata kama wakati fulani walifundisha watu wangu kuapa kwa Baali, ndipo watakapofanywa imara katikati ya watu wangu.
I ako dobro nauèe putove naroda mojega, da se zaklinju mojim imenom: tako da je živ Gospod! kao što su oni uèili moj narod da se kune Valom, tada æe se sazidati usred naroda mojega.
17 Lakini kama taifa lolote halitasikiliza na kutii, nitalingʼoa kabisa na kuliangamiza,” asema Bwana.
Ako li ne poslušaju, tada æu išèupati sasvijem taki narod i zatrti, govori Gospod.