< Yakobo 3 >
1 Ndugu zangu, msiwe walimu wengi, kwa maana mnafahamu kwamba sisi tufundishao tutahukumiwa vikali zaidi.
Bhalongo bhangu sio bhingi bhinu mwilondeka kujha bhalimu, mmanyili kujha, mwipokela hukumu mbaha nesu.
2 Sisi sote tunajikwaa katika mambo mengi. Ikiwa mtu yeyote hakosei kamwe katika yale anayosema, yeye ni mkamilifu, naye anaweza kuuzuia pia na mwili wake wote.
Kwa kujha twebhoha twikosela mu njela simehele. Kama jhejhioha ijha ikhobhalalepi mu malobhi gha muene, Ojhu ndo munu mkamilifu, ibhuesya kudhibiti mb'ele bhwa muene bhuohakabhele.
3 Tunapotia lijamu kwenye vinywa vya farasi ili kuwafanya watutii, tunaweza kuigeuza miili yao yote.
Henu kama twibhweka lijamu sya farasi mu mikoromelu ghya bhene bhikatutii na twibhwesya kusanusa mibhele ghya bhene bhoha.
4 Au angalia pia meli, ingawa ni kubwa sana, nazo huchukuliwa na upepo mkali, lakini hugeuzwa kwa usukani mdogo sana, kokote anakotaka nahodha.
Manyayi kujha Meli, ingawa mbaha na jhisukumibhwa ni mp'ongo n'kali syasilongosibhwa kwa usukani n'debe nesu kulota popoha pala kwailonda nahodha.
5 Vivyo hivyo ulimi ni kiungo kidogo sana katika mwili, lakini hujivuna majivuno makuu. Fikirini jinsi moto mdogo unavyoweza kuteketeza msitu mkubwa!
Fefuefu lunulu ndo kiungo kidebe kya mbhele lakini ikwitufya mabahaha nesu. Langayai n'setu mbaha kyaghwibhuesya kujhakisibhwa kwa cheche sidebe sya muoto!
6 Ulimi pia ni moto, ndio ulimwengu wa uovu kati ya viungo vya mwili. Ulimi huutia mwili wote wa mtu unajisi na kuuwasha moto mfumo mzima wa maisha yake, nao wenyewe huchomwa moto wa jehanamu. (Geenna )
Lumilu ni luene ndo muoto ndo ulimwengu bhwa bhuovu, bhekibhu miongoni mu fiungo fya mbhele bhuoha na ukajhibheka panani pa muoto njela jha maisha ni bhene kumanyibhwa muoto bhwa kuzimu. (Geenna )
7 Kwa maana kila aina ya wanyama, ndege, wanyama watambaao na viumbe vya baharini vinafugika na vimefugwa na binadamu,
Khila aina jha mnyama bhwa mudasi fidege, kyakiboya ni kiumbe kya mubahari kidhibitibhwa ni bhenadamu.
8 lakini hakuna mtu awezaye kuufuga ulimi. Ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.
Lakini ajhelepi mwanadamu hata mmonga ambajhe ibhwesya kudhibiti lunulu; ndo bhuovu bhwabhubelili kutulila, umemili sumu jha kufisha.
9 Kwa ulimi tunamhimidi Bwana, yaani Baba yetu, na kwa huo twawalaani watu walioumbwa kwa mfano wa Mungu.
Kwa lunulu tukan'tukusya Bwana ni bhanu ambabho bhabho mbhibhu kwa mfano bhwa Bwana ni Dadi jhitu, ni kwa obhu tukabhalaani bhanu ambabho bhabhombibhu kwa mfano bhwa K'yara.
10 Katika kinywa kile kile hutoka baraka na laana. Ndugu zangu, haistahili kuwa hivyo.
Mu n'koromelu bhobhuobhu ghwijobha malobhi gha baraka ni laana. Bhalongo bhangu mambo agha ghilondekalepi kujha.
11 Je, chemchemi yaweza kutoa katika tundu moja maji matamu na maji ya chumvi?
Je kisima kimonga wihotola kunegha masi ghaghinogha ni maghibela kunogha?
12 Je, ndugu zangu, mtini waweza kuzaa zeituni, au mzabibu kuzaa tini? Wala chemchemi ya maji ya chumvi haiwezi kutoa maji matamu.
Bhalongo bhangu, je libehe lya mtini libhuesya kuhogola matunda gha mzeituni, au mzabibu wihogola matunda gha mtini? Bhwala chemichemi jha masi gha muinyu ghipisyalepi masi ghaghabelikujha ni muinyu.
13 Ni nani aliye na hekima na ufahamu miongoni mwenu? Basi na aionyeshe hiyo kwa maisha yake mema na kwa matendo yake yaliyotendwa kwa unyenyekevu utokanao na hekima.
Niani kati jha muenga ajhe ni hekima ni bhufahamu? Hebu munu ojhu alasiajhi maisha manofu mu mbombo sya muene kwa bhunyenyekevu bhwabhwitokelana ni hekima.
14 Lakini ikiwa mna wivu na ni wenye chuki na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu kwa ajili ya hayo wala msiikatae kweli.
Lakini kama mujhe ni bhuifu n'kali ni nia jha ubinafsi mu mioyo ghya muenga, musikifuni ni kujobha udesi ni kup'enga bhukweli.
15 Hekima ya namna hiyo haishuki kutoka mbinguni, bali ni ya kidunia, isiyo ya kiroho, na ya kishetani.
Ejhe hekimalepi jhela jhajhselela kuhoma kunani, lakini badala jhake ndo jha kidunia, na jha kiroholepi, na jha kipepo.
16 Kwa maana panapokuwa na wivu na ubinafsi, ndipo penye machafuko na uovu wa kila namna.
Kwa kujha papajhele ni bhuifu ni bhubinafsi bhujhele, kujhe ni fuju ni khila matendo maovu.
17 Lakini hekima itokayo mbinguni kwanza ni safi, kisha inapenda amani, tena ni ya upole, iliyo tayari kusikiliza wengine kwa unyenyekevu, iliyojaa huruma na matunda mema, isiyopendelea mtu, tena isiyokuwa na unafiki.
Lakini hekima jha ihomela kunani, kwanza jhinofu, kisha jhigana amani, bhololo ni bhukarimu, jhajhimemili rehema ni matunda manofu, bila kupendelela bhanu fulani ni bhukweli.
18 Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.
Ni litunda lya haki lipandibhwa mu amani kwa bhala ambabho bhibho mambo gha amani.