< Yakobo 3 >
1 Ndugu zangu, msiwe walimu wengi, kwa maana mnafahamu kwamba sisi tufundishao tutahukumiwa vikali zaidi.
Bratři, nevytýkejte tak horlivě chyby druhým, vždyť chybujeme všichni. Jestliže budeme jednat špatně jakožto učitelé, náš trest bude o to přísnější. Kdo umí zkrotit svůj jazyk, dokazuje, že je zralý člověk a umí ovládat sám sebe.
2 Sisi sote tunajikwaa katika mambo mengi. Ikiwa mtu yeyote hakosei kamwe katika yale anayosema, yeye ni mkamilifu, naye anaweza kuuzuia pia na mwili wake wote.
3 Tunapotia lijamu kwenye vinywa vya farasi ili kuwafanya watutii, tunaweza kuigeuza miili yao yote.
I velkého koně donutíte k poslušnosti, jestliže mu do huby vložíte nepatrné udidlo.
4 Au angalia pia meli, ingawa ni kubwa sana, nazo huchukuliwa na upepo mkali, lakini hugeuzwa kwa usukani mdogo sana, kokote anakotaka nahodha.
Nebo taková loď: i když je velká a žene ji silný vítr, kormidelník ji ovládá malým kormidlem.
5 Vivyo hivyo ulimi ni kiungo kidogo sana katika mwili, lakini hujivuna majivuno makuu. Fikirini jinsi moto mdogo unavyoweza kuteketeza msitu mkubwa!
Jazyk je také nepatrný, a přesto může způsobit velké věci. Od malého plaménku může shořet celý les.
6 Ulimi pia ni moto, ndio ulimwengu wa uovu kati ya viungo vya mwili. Ulimi huutia mwili wote wa mtu unajisi na kuuwasha moto mfumo mzima wa maisha yake, nao wenyewe huchomwa moto wa jehanamu. (Geenna )
A jazyk je takový plamének. Zapálen hříchem může způsobit v duši člověka i v jeho okolí mnoho zla. (Geenna )
7 Kwa maana kila aina ya wanyama, ndege, wanyama watambaao na viumbe vya baharini vinafugika na vimefugwa na binadamu,
Člověk umí zkrotit různé druhy zvířat, ptáků, plazů i mořských živočichů,
8 lakini hakuna mtu awezaye kuufuga ulimi. Ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.
ale svůj vlastní jazyk zkrotit nedovede. Co jednou vysloví zlého, vymkne se jeho vůli a šíří se to jako smrtelný jed.
9 Kwa ulimi tunamhimidi Bwana, yaani Baba yetu, na kwa huo twawalaani watu walioumbwa kwa mfano wa Mungu.
Bratři, jedním a týmž jazykem nelze chválit nebeského Otce a zároveň nenávistně útočit na lidi, jeho děti.
10 Katika kinywa kile kile hutoka baraka na laana. Ndugu zangu, haistahili kuwa hivyo.
11 Je, chemchemi yaweza kutoa katika tundu moja maji matamu na maji ya chumvi?
Tak jako z jednoho pramene nevyvěrá zároveň sladká a hořká voda, tak nemůže ani z jedněch úst vycházet chvála a osočování.
12 Je, ndugu zangu, mtini waweza kuzaa zeituni, au mzabibu kuzaa tini? Wala chemchemi ya maji ya chumvi haiwezi kutoa maji matamu.
Cožpak si můžete natrhat olivy z fíkovníku a fíky z vinné révy?
13 Ni nani aliye na hekima na ufahamu miongoni mwenu? Basi na aionyeshe hiyo kwa maisha yake mema na kwa matendo yake yaliyotendwa kwa unyenyekevu utokanao na hekima.
Pokládá se někdo za moudrého a zkušeného? Ať tedy prokáže svou moudrost jemným a krásným jednáním.
14 Lakini ikiwa mna wivu na ni wenye chuki na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu kwa ajili ya hayo wala msiikatae kweli.
Máte-li však v srdci plno hořkosti, závisti a sobectví, nechlubte se moudrostí, protože to se nesrovnává.
15 Hekima ya namna hiyo haishuki kutoka mbinguni, bali ni ya kidunia, isiyo ya kiroho, na ya kishetani.
Vaše myšlení neovládá Bůh, nýbrž vaše pudy a ďábel.
16 Kwa maana panapokuwa na wivu na ubinafsi, ndipo penye machafuko na uovu wa kila namna.
Vždyť tam, kde se objeví závist a sobecké zájmy, objeví se též nesvár a jiné zlo.
17 Lakini hekima itokayo mbinguni kwanza ni safi, kisha inapenda amani, tena ni ya upole, iliyo tayari kusikiliza wengine kwa unyenyekevu, iliyojaa huruma na matunda mema, isiyopendelea mtu, tena isiyokuwa na unafiki.
Moudrost pocházející od Boha je především čistá, mírumilovná, laskavá a ústupná. Je vždy milosrdná a vede k dobrým skutkům. Je upřímná a bez jakéhokoliv pokrytectví.
18 Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.
Bohu se líbí ti, kdo šíří pokoj.