< Yakobo 2 >
1 Ndugu zangu, kama waaminio katika imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwe na upendeleo kwa watu.
Bhalongo bhangu musijhikesi imani jha Bwana Yesu Kristu, Bwana bhwa utukufu, kwa kupendelela bhanu fulani.
2 Kwa maana kama akija mtu katika kusanyiko lenu akiwa amevaa pete ya dhahabu na mavazi mazuri, pia akaingia mtu maskini mwenye mavazi yaliyochakaa,
Kama munu fulani akahingilayi mu lukomanu kati jha muenga afwalili pete sya dhahabu ni maguanda manofu, Kabhele akajhingila maskini jhaajhele ni maguanda machafu,
3 nanyi mkampa heshima yule aliyevaa mavazi mazuri na kumwambia, “Keti hapa mahali pazuri,” lakini yule maskini mkamwambia, “Wewe simama pale,” au “Keti hapa sakafuni karibu na miguu yangu,”
na mwalasili kun'jali nesu jhola jha ajhele ni maguanda manofu ni kujobha, “Chondi bhebhe tamayi apa jha ujhele ni maguanda manofu, “Lakini mwan'jobhili masikini jhola, “Bhebhe jhemayi pala.” au tamayi pasi pa magolo gha nene.”
4 je, hamjawabagua na kuwa mahakimu mioyoni mwenu mkihukumu kwa mawazo yenu maovu?
Je, mwihuku mulana mwebhene, ni kujha bhaamuzi bhabhajhele ni mabhwasu mabhibhi?
5 Ndugu zangu, sikilizeni: Je, Mungu hakuwachagua wale walio maskini machoni pa ulimwengu kuwa matajiri katika imani na kuurithi Ufalme aliowaahidi wale wampendao?
Mup'elesiajhi bhalongo bhangu bhaganwa, je, K'yara abhasalili lepi bhab'onji bha dunia, kujha matajiri mu iihiani nikurithi bhufalme bhwa abha ahidili bhabhan'ganili?
6 Lakini ninyi mmemdharau yule aliye maskini. Je, hao matajiri si ndio wanaowadhulumu na kuwaburuta mahakamani?
Lakini mubhajimu ili bhabonji! Je bhatajiri lepi bhabhakabheta sya muenga, na bhenelepi bhabhakabharundusya mu mahakama?
7 Je, si wao wanaolikufuru Jina lile lililo bora sana mliloitiwa?
Je, matajiri lepi bhabhakaliligha lihina lela linofu ambalyo mwikutibhwa?
8 Kama kweli mnaitimiza ile sheria ya kifalme inayopatikana katika Maandiko isemayo, “Mpende jirani yako kama unavyoipenda nafsi yako,” mnafanya vyema.
Hata naha, kama mwitimisya jhela sheria jha kifalme kama kya jhilembibhu mu majkandiku, “Wibetakun'gana jirani gha jhobhi kama ghwe muene,” Mwiketa kinofu.
9 Lakini kama mnakuwa na upendeleo kwa watu, mnatenda dhambi, na sheria inawahukumu kuwa ninyi ni wakosaji.
Lakini kama mwipendelela baadhi jha bhanu, mwibetakubhamba dhambi mwihukumibhwa ni sheria kujha ndo bhavunja sheria.
10 Kwa maana mtu yeyote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote.
Kwa kujha jhejhioha jhaitii sheria jhioha, ni akona akikungufuili mu nukta jhimonga tu, ajhhele ni hatia jha kuvunja sheria jhioha!
11 Kwa sababu yeye aliyesema, “Usizini,” alisema pia, “Usiue.” Basi kama huzini lakini unaua, umekuwa mvunjaji wa sheria.
Kwa kujha K'yara jha ajobhili, “Usikomil kama wihonganalepi, lakini wikoma umelili kubomola sheria jha K'yara.
12 Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru.
Henu mulongelayi ni kutii kama bhanfa ambabho bha mujhele karibu kuhukumulibhwa ni sheria jha uhuru.
13 Kwa kuwa hukumu bila huruma itatolewa kwa mtu yeyote asiyekuwa na huruma. Huruma huishinda hukumu.
Kwa kujha hukumu jhihida bila huruma kwa bhala bhabhabeli kujha ni huruma. Huruma jhikiwa tukusya kunani jha hukumu.
14 Ndugu zangu, yafaa nini ikiwa mtu atadai kuwa anayo imani lakini hana matendo? Je, imani kama hiyo yaweza kumwokoa?
Kujhe ni unofu bholokhi bhalongo bhangu, kama munu ijobha nijhe ni imani lakini ajhelepi ni matendo? Je, imani ejhu njhihotola kumwokola?
15 Ikiwa ndugu yako au dada hana mavazi wala chakula,
kama bhalongosi au bhakidala ndo jhailonda ghwa maguanda au kya kulya kya khila ligono.
16 mmoja wenu akamwambia, “Enenda zako kwa amani, ukaote moto na kushiba,” pasipo kumpatia yale mahitaji ya mwili aliyopungukiwa, yafaa nini?
Ni mmonga bhinu akabhajobhela, “Mulotayi kwa amani mukajhotayi muoto na mkaliajhi kinofu.” Lakini mukabhapelalepi mahitaji, mhimu gha mbele, ejhu jhifu ajhi kiki?
17 Vivyo hivyo, imani peke yake kama haikuambatana na matendo, imekufa.
Hali mebhu, imani jhiene kama jhibeli kujha ni matendu, jhifuili.
18 Lakini mtu mwingine atasema, “Wewe unayo imani; mimi ninayo matendo.” Nionyeshe imani yako pasipo matendo nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo.
Bado munu fulani i9bhwesya kujobha, “Ujhe ni imani, ni nene nijhe ni matendo.” Nilasiajhi imani jha jhobhi bila matendo, nani nibeta kulasya imani jha nene kwa matendo gha nene.
19 Unaamini kwamba kuna Mungu mmoja. Vyema! Hata mashetani yanaamini hivyo na kutetemeka.
Bhaamini kujha ajhe K'yara mmonga: ujhe sahihi. Lakini mapepo na ghene ghiamini mebhu ni kud'egeda.
20 Ewe mpumbavu! Je, wataka kujua kwamba imani bila matendo haifai kitu?
Je wilonda kumanya, ewe munu mpumbafu namna ambavyo imani ejhu bila matendo kyajholondekalepi?
21 Je, Abrahamu baba yetu hakuhesabiwa haki kwa kile alichotenda, alipomtoa mwanawe Isaki madhabahuni?
Je, Dadi jhinu Abramu lepi jhaabhalangibhu haki kwa matendo paambosili mwanamunu Isaka panani pa madhabhahu?
22 Unaona jinsi ambavyo imani yake na matendo yake vilikuwa vinatenda kazi pamoja, nayo imani yake ikakamilishwa na kile alichotenda.
Mwabhwene imani jha muene jhabhombili mbombo ni matendo gha muene, ni kwa matendo gha muene, imani jha muene jhafikili kusudio lya muene.
23 Kwa njia hiyo yakatimizwa yale Maandiko yasemayo, “Abrahamu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki,” naye akaitwa rafiki wa Mungu.
Majhandiku ghatimisibhu ghaghijobha, Abrahamu an'jobhili K'yara, na abhalangibhu kujha ndo mwenye haki.” Efyo Abrahamu akutibhu rafiki ghwa K'yara.
24 Mnaona ya kwamba mtu huhesabiwa haki kwa yale anayotenda wala si kwa imani peke yake.
Mwilola kujha kwa matendo munu ibhelangibhwa haki, na sio kwa imani jhiene.
25 Vivyo hivyo, hata Rahabu, yule kahaba, hakuhesabiwa haki kwa yale aliyotenda alipowapokea wale wapelelezi na kuwaambia waende njia nyingine?
Hali mabhu je, ajhelepi Rahabu jhola kahaba jhaabhalangibhu haki kwa matendo, bho abhakaribisi bhajumbe ni kubhapeleka kwa Baraba jhenge?
26 Kama vile ambavyo mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo imani pasipo matendo imekufa.
Kwa kujha kama vile mb'ele likabelajhi kujha ni roho ufuili fefuefu mebhu imani bila matendo jhifuili.