< Yakobo 2 >

1 Ndugu zangu, kama waaminio katika imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwe na upendeleo kwa watu.
Ka püie, hlüngtaikia Bawi, mi Bawipa Jesuh Khritaw nami jumkia kya lü khyange a khawkpunga ami ngsuingsak cän bük lü käh jah mkhawimhnga ua.
2 Kwa maana kama akija mtu katika kusanyiko lenu akiwa amevaa pete ya dhahabu na mavazi mazuri, pia akaingia mtu maskini mwenye mavazi yaliyochakaa,
Bawimangki naw xüi kutcüp ja suisak kdaw suisa lü mpyenkse naw kpyawn suisa lü nami ngkhämnaka ami law vai cän ngai süm ua.
3 nanyi mkampa heshima yule aliyevaa mavazi mazuri na kumwambia, “Keti hapa mahali pazuri,” lakini yule maskini mkamwambia, “Wewe simama pale,” au “Keti hapa sakafuni karibu na miguu yangu,”
Suisak kdaw suisaki cän leisawng lü “khung akdaw üng ngawa” ti lü mpyenkse üngta “cäa ngdüia am ani üng ka khaw kung imcia ngawa,
4 je, hamjawabagua na kuwa mahakimu mioyoni mwenu mkihukumu kwa mawazo yenu maovu?
acukba anita nami ksunga ngkhawingpanak namät naw pawh uki lü nami ngaihtüh aksea khana tünei lü ngthumkhyahnak nami pawhkie ni.
5 Ndugu zangu, sikilizeni: Je, Mungu hakuwachagua wale walio maskini machoni pa ulimwengu kuwa matajiri katika imani na kuurithi Ufalme aliowaahidi wale wampendao?
Ka püie na ngai u! Pamhnam naw hin khawmdeka mpyenksee cän jah xü lü jumeinak üng bawimang u lü ani kphyanakia phäh khyütam a jah peta pe cän ka na khaie ni.
6 Lakini ninyi mmemdharau yule aliye maskini. Je, hao matajiri si ndio wanaowadhulumu na kuwaburuta mahakamani?
Nang, mpyenkse am na leisawngki ni! Acune ta nang naw jah mkhuhmhlihki lü ngthumkhyah mkhawngea veia na jah kaihe cän ni. Bawimang he ta ue ni.
7 Je, si wao wanaolikufuru Jina lile lililo bora sana mliloitiwa?
Nang üng ning peta ngming kdaw cän aksea pyenki cun bawimange ni.
8 Kama kweli mnaitimiza ile sheria ya kifalme inayopatikana katika Maandiko isemayo, “Mpende jirani yako kama unavyoipenda nafsi yako,” mnafanya vyema.
Cangcim üng vekia, “Na im pei lo ceng cän namät na kphyanaka kba jah kphya naa” tia Khyawngpea thum cän na läklam üngta akcang ni nang naw na bilawh kawm.
9 Lakini kama mnakuwa na upendeleo kwa watu, mnatenda dhambi, na sheria inawahukumu kuwa ninyi ni wakosaji.
Lüpi khyange akpung da ami ngsuingsak jah bük lü na ve üngta, nang cun mkhyekatnak pawhki lü thum na lümkanki tia Thum naw ni mkatei khai ni.
10 Kwa maana mtu yeyote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote.
Thum mat lümkan nakütki naw avan a lümkana kyaki ni.
11 Kwa sababu yeye aliyesema, “Usizini,” alisema pia, “Usiue.” Basi kama huzini lakini unaua, umekuwa mvunjaji wa sheria.
Mat üng a pyen ta, “Khyanga khyuca käh bäühmanak vai,” a ti be tü ta, “Khyang käh hnima,” a ti ni. Khyanga khyuca am na bäünak üngpi khyang na hnim üngta thum na lümkankia kyaki ni.
12 Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru.
Ngthumkhyah law üng thum naw a jah mhlät vai khyangea kba, vecawh jah pyensak ngsungkia ve ua.
13 Kwa kuwa hukumu bila huruma itatolewa kwa mtu yeyote asiyekuwa na huruma. Huruma huishinda hukumu.
Mpyeneinak am takia khyang cun ngthumkhyah law üng Pamhnam naw am mpyenei; lüpi mpyeneinak naw ngthumkhyahnak cun näng ve.
14 Ndugu zangu, yafaa nini ikiwa mtu atadai kuwa anayo imani lakini hana matendo? Je, imani kama hiyo yaweza kumwokoa?
Ka püie, nangmi üngka mat naw jumeinak ka taki ti lü pyen se, am a ngneisaknak üngta ia ngmangnak khai ni. Acuna jumeinak naw ning küikyan thei khai aw.
15 Ikiwa ndugu yako au dada hana mavazi wala chakula,
Na benae ja cinae naw ami suisak vai ja ei vai am ami tak vai cun ngai süma.
16 mmoja wenu akamwambia, “Enenda zako kwa amani, ukaote moto na kushiba,” pasipo kumpatia yale mahitaji ya mwili aliyopungukiwa, yafaa nini?
Ami phäha hlüki am jah pe xa lü, “Ak'üpawma ngsuingsa lü akhlima eiawa! Pamhnam naw dawnak ning pe se na ti cän ia pi am dawkya na khaie ni.
17 Vivyo hivyo, imani peke yake kama haikuambatana na matendo, imekufa.
Acukba kyase, jumeinak amät ve lü ngneisak am a ngpüi üngta acun hin akthi ni.
18 Lakini mtu mwingine atasema, “Wewe unayo imani; mimi ninayo matendo.” Nionyeshe imani yako pasipo matendo nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo.
Lüpi khyang mat naw, “Mat naw jumeinak ta ve, akce naw ngneisak kdaw ta ve,” a ti üng. “Ngneisak am ngpüi xa lü na jumeinak na mdana. Kei naw ka jumeinak cun ngneisak am ka mdan khai,” ti lü ka msang khai ni.
19 Unaamini kwamba kuna Mungu mmoja. Vyema! Hata mashetani yanaamini hivyo na kutetemeka.
Pamhnam mat däk veki tia na jumki aw. Daw ve! Khawyaie naw pi kyüheinak am ngkhet u lü jum ve u.
20 Ewe mpumbavu! Je, wataka kujua kwamba imani bila matendo haifai kitu?
Khyang nghmawng aw! Ngneisak am ngpüi xakia jumeinak hin am mdang ni ti cun na ksing hlüki aw.
21 Je, Abrahamu baba yetu hakuhesabiwa haki kwa kile alichotenda, alipomtoa mwanawe Isaki madhabahuni?
Mi pupa Abraham cän ihawkba ni Pamhnam üng a ngsungpyun ta. A ca Isak ngkengnaka khana ta lü ngneisak üng a mdana phäha ni.
22 Unaona jinsi ambavyo imani yake na matendo yake vilikuwa vinatenda kazi pamoja, nayo imani yake ikakamilishwa na kile alichotenda.
Am na hmu theiki aw. A jumeinak ja a vecawh atänga ngbilo ni lü a jumeinak cän a vecawha phäh kümceikia kyaki ni.
23 Kwa njia hiyo yakatimizwa yale Maandiko yasemayo, “Abrahamu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki,” naye akaitwa rafiki wa Mungu.
Cangcim cang lü, “Abraham naw Pamhnam jumki, acuna a jumeinak cun Pamhnam naw ngsungpyunkia dokhamei petki ni,” ti lü pyenki. Acunakyase, Abraham cun Pamhnama püia ngsui lawki.
24 Mnaona ya kwamba mtu huhesabiwa haki kwa yale anayotenda wala si kwa imani peke yake.
Büka, mi ngneisaka phäh Pamhnam am mi ngsungpyun law be lü mi jumeinak amät däka am kya ve.
25 Vivyo hivyo, hata Rahabu, yule kahaba, hakuhesabiwa haki kwa yale aliyotenda alipowapokea wale wapelelezi na kuwaambia waende njia nyingine?
Nghnumi kse Rahap üng ahin cun täng ve. Ani naw Isarel msäke jah dokham lü lam kce üng ami lät vaia a jah kueia phäh ani cun a ngneisaka phäh Pamhnam üng ngsungpyunnak yahki ni.
26 Kama vile ambavyo mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo imani pasipo matendo imekufa.
Pumsa cun Ngmüimkhya kaa akthia mäi ni, acuna kba vecawh am ngpüikia jumeinak cun akthi hnga ni.

< Yakobo 2 >