< Yakobo 1 >
1 Yakobo, mtumwa wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo: Kwa makabila kumi na mawili yaliyotawanyika ulimwenguni: Salamu.
U Yakobo ukungwa va Nguluve nu gwa Ntwa Yesu Klisite, ku makabila ekinchigo na kuvili avayaganighe nikuponja.
2 Ndugu zangu, hesabuni kuwa ni furaha tupu mnapopatwa na majaribu mbalimbali,
Mvalage uluhekelo fincho, valukolo lwangu, wumgenda mbukuvilwa wingi,
3 kwa sababu mnajua ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.
Mgalumanye uhugeliwa kulwedeko lwenyo khukhupata ukwiyumilincha.
4 Saburi na iwe na kazi timilifu, ili mpate kuwa wakamilifu, mmekamilishwa, bila kupungukiwa na kitu chochote.
Muleghe ukwiyumilincha, mmale imbombo ya mwene, ukhuta mudulughe vunono, pasita khupungukiwa khulilyoni.
5 Kama mtu yeyote miongoni mwenu amepungukiwa na hekima na amwombe Mungu, yeye awapaye watu wote kwa ukarimu wala hana kinyongo, naye atapewa.
Igava umunu pagati paliyumu ilonda ulugano, adovage ukhuma kwa Nguluve, uvihumya khukisa ulwa uhuva ihumya ghinchila khuhovela kuvidova, euhuvapa ulugano.
6 Lakini anapoomba, lazima aamini wala asiwe na shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wimbi la bahari, lililochukuliwa na upepo na kutupwa huku na huku.
Mdovaghe kulwidiko, pasita uvudwanchi, ulwa kuva uvudwanchi vuhwanine nde mepo eyelimunyanja, yitoliwa ne mepu nu khutagiwa khona nukhwo.
7 Mtu kama huyo asidhani ya kuwa atapata kitu chochote kutoka kwa Bwana.
Ulwakhuva umunu uyo alekhe ukusaga ukhuta akwambililiwa inogwa ncha mwene nu Nguluve;
8 Yeye ni mtu mwenye nia mbili, mwenye kusitasita katika njia zake zote.
Umunu uyo alinamasage gavili, inchila lwidiko mnchila ncha mwene nchoni.
9 Ndugu asiye na cheo kikubwa yampasa ajivunie hali hiyo maana ametukuzwa.
Ulukolo uganchu inogiwa ukhiwnye ukhwima khukyanya,
10 Lakini yeye aliye tajiri afurahi kwa kuwa ameshushwa, kwa sababu atatoweka kama ua la shambani.
usikhi gugugwa utayari mumbudwanchi wa mwene, ulwakhuva iyaga ndili vuva elyakukihulu mkhiyalo ekheegenda.
11 Kwa maana jua kali lenye kuchoma huchomoza na kuliunguza, likayakausha majani, na ua lake likapukutika, nao uzuri wake huharibika. Vivyo hivyo tajiri naye atanyauka akiwa anaendelea na shughuli zake.
Elinchuva likhuma amafughe ghinyanya emibeki, amavuva khikwuma khiyancha uvunonu waghene, wifwa. vule vule avanu avatajiri viva vaghanchu kumbombo nchavene.
12 Heri mtu anayevumilia wakati wa majaribu, kwa sababu akiisha kushinda hilo jaribio atapewa taji la uzima Mungu alilowaahidia wale wampendao.
Isayiwa umunu uvikwumilila mugelo, ulwakhuva aghalesye engelo incho, inkwambilila etaji ya wumi, yevikhiwe kuvala avagholofu wa Nguluve.
13 Mtu anapojaribiwa asiseme, “Ninajaribiwa na Mungu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu wala yeye hamjaribu mtu yeyote.
Umunu uviavencha siwesya ukhunchova upwu egeliwa, “Egelo encho nchihuma khwa Nguluve,” ulwakuva uNguluve sigeliwa ni mbivi, nu Nguluve yuywa sikhugela umunu.
14 Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya.
Khila munu egeliwa nu vunogwe wa mwene uvuvivi inchikusonga ukhukwega khuvutali.
15 Basi ile tamaa mbaya ikishachukua mimba, huzaa dhambi, nayo ile dhambi ikikomaa, huzaa mauti.
Ulwakhuva uvunogwe wa mbivi wigega unchigo, uvutulanongwa vuholiwa, imbimbi yegadulughe vunonu sisilila khuvufwe.
16 Ndugu zangu wapendwa, msidanganyike.
Vagane valukolo lwango msite ukhusyovegha.
17 Kila kitolewacho kilicho chema na kilicho kamili, hutoka juu, na hushuka kutoka kwa Baba wa mianga, ambaye kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.
Unkwohela khunonu, nukhwohela khwihuma khukyanya, khukwigha pasi, ukhuma khwa Dada va lumuri. Lusiku sikhwanduka ndu mwinchinchi umwukhukwadukhila.
18 Kwa mapenzi yake mwenyewe alituzaa kwa neno la kweli, kusudi tuwe kama mazao ya kwanza katika viumbe vyake vyote.
UNguluve atukhali ufwe ukhutupa uwumi wa limyu lya lweli, tuve ukhuhwanana ndavaholiwa avakhanda avavikhwani fya mwene.
19 Ndugu zangu wapendwa, fahamuni jambo hili: Kila mtu awe mwepesi wa kusikiliza, lakini asiwe mwepesi wa kusema wala wa kukasirika.
Mlemanyile eli, vagane valukololwagwa, kila munu yinogiwa avinchaghe epepe va khupulika, asitaghe ukhuva epepe vakhunchova nukhukalala,
20 Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu.
Ulwa kuva iliyoyo lya munu salilivomba uluhungu lwa Nguluve.
21 Kwa hiyo, ondoleeni mbali uchafu wote na uovu ambao umezidi kuwa mwingi, mkalipokee kwa unyenyekevu lile Neno lililopandwa ndani yenu ambalo laweza kuokoa nafsi zenu.
Lino muvinchage kuvuvtali uvulami wa mbivi ni nogwa nchoni, nulwinyisyo mwupelilaghe ilimenyu elivyaliwe ngati yeno, iliwisya ukupoka inumbula nchiyo.
22 Basi kuweni watendaji wa Neno wala msiwe wasikiaji tu, huku mkijidanganya nafsi zenu.
Litiini neno, msilisikie tu, mkijidanganya nafsi zenu wenyewe.
23 Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo
Uviavenchaga uviepulika elimenyu sikulivombela imbombo avile nde munu uviekilola kumiho nkyovo.
24 na baada ya kujiona alivyo, huenda zake na mara husahau jinsi alivyo.
Ukwilola kumincho, usenki usupi isamwa ikihwani kya mwene umwavelile.
25 Lakini yeye anayeangalia kwa bidii katika sheria kamilifu, ile iletayo uhuru, naye akaendelea kufanya hivyo bila kusahau alichosikia, bali akalitenda, atabarikiwa katika kile anachofanya.
Umunu uvielola vunonu endangilo nchoni, endagilo eya vudekedeke mbologolo ukwidika endagilo ulwakhuva umwene epulihencha sisamwa, umunu uyu esayiwa wivomba.
26 Kama mtu akidhani ya kuwa anayo dini lakini hauzuii ulimi wake kwa hatamu, hujidanganya moyoni mwake, wala dini yake mtu huyo haifai kitu.
Engave umunu uviavinchaga esaga yuywa ukhuta munu va lwidiko, elemwa ukwulemilila ululimi lwa mwene ekuyesyova enumbula ya mwene na Lwediko lwa mwene.
27 Dini iliyo safi, isiyo na uchafu, inayokubalika mbele za Mungu Baba yetu, ndiyo hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika dhiki zao na kujilinda usitiwe madoa na dunia.
Ulwidiko ulunonu salunaghike mbologolo mwa Nguluve vitu, ukuvatanga avapina, na vafwele mbugatale wa vene, ukwilolela vavo uvuliasi wa nkilunga.