< Yakobo 1 >

1 Yakobo, mtumwa wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo: Kwa makabila kumi na mawili yaliyotawanyika ulimwenguni: Salamu.
Xoossaanne Godaa Yesuus Kiristtoosa aylley, Yayqoobi, biitta ubban laalettida tammanne nam77u sheeshatas kiittida kiita. Saro, ay mela de7eetii?
2 Ndugu zangu, hesabuni kuwa ni furaha tupu mnapopatwa na majaribu mbalimbali,
Ta ishato, hinttena dumma dumma paacey gakkiya wode hintte lo77obaa demmidaada kumetha ufayssan ekkite.
3 kwa sababu mnajua ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.
Hintte ammanuwa paacetethay dandda7a hinttew immeyssa ereeta.
4 Saburi na iwe na kazi timilifu, ili mpate kuwa wakamilifu, mmekamilishwa, bila kupungukiwa na kitu chochote.
Hintte wurssethi gakkanaw dandda7ikko aybi pacey baynna polonne kumethi gideta.
5 Kama mtu yeyote miongoni mwenu amepungukiwa na hekima na amwombe Mungu, yeye awapaye watu wote kwa ukarimu wala hana kinyongo, naye atapewa.
Hinttefe oodeskka cinccatethi dhayikko Xoossaa woosso. Iyaw imettana. Xoossay oonakka boronna ubbaas keehatethan immiya Xoosse.
6 Lakini anapoomba, lazima aamini wala asiwe na shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wimbi la bahari, lililochukuliwa na upepo na kutupwa huku na huku.
Shin I woossiya wode sidhonna ammanon Xoossaa woosso. Sidhiya oonikka carkkoy sugin qaaxxiya abbaa zule mela.
7 Mtu kama huyo asidhani ya kuwa atapata kitu chochote kutoka kwa Bwana.
Nam77u qofi de7eynne ba ogiyan eqqonna oonikka Godaappe aykkoka demmana gidi qoppofo.
8 Yeye ni mtu mwenye nia mbili, mwenye kusitasita katika njia zake zote.
9 Ndugu asiye na cheo kikubwa yampasa ajivunie hali hiyo maana ametukuzwa.
Ammaniya manqo asati, Xoossay enttana dhoqqu oothiya wode ufaytto.
10 Lakini yeye aliye tajiri afurahi kwa kuwa ameshushwa, kwa sababu atatoweka kama ua la shambani.
Qassi ammaniyaa dure asati Xoossay enttana ziqqi oothiya wode ufaytto. Dure asati ciishshada dhayana.
11 Kwa maana jua kali lenye kuchoma huchomoza na kuliunguza, likayakausha majani, na ua lake likapukutika, nao uzuri wake huharibika. Vivyo hivyo tajiri naye atanyauka akiwa anaendelea na shughuli zake.
Away ba mishaara keyidi maataa melisin, ciishshay serees; iya lo77otethayka dhayees. Hessadakka, dure asati bantta oosuwan daaburishe dhayana.
12 Heri mtu anayevumilia wakati wa majaribu, kwa sababu akiisha kushinda hilo jaribio atapewa taji la uzima Mungu alilowaahidia wale wampendao.
Metuwa xoonidi aadhdhidaappe guye, Xoossay bana siiqeyssatas immana gidi qaala gelida de7o kallachcha ekkana gisho, meton gencciya asi anjjettidayssa.
13 Mtu anapojaribiwa asiseme, “Ninajaribiwa na Mungu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu wala yeye hamjaribu mtu yeyote.
Oonikka paacettiya wode, “Tana Xoossay paaces” gooppo. Xoossay iitan paacettenna; qassi I oonakka paaccenna.
14 Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya.
Shin issi issi asi ba iita amuwaan gooshettiya wodenne cimettiya wode paacettees.
15 Basi ile tamaa mbaya ikishachukua mimba, huzaa dhambi, nayo ile dhambi ikikomaa, huzaa mauti.
Hessafe guye, amotethi qanthattidi nagara yelees; qassi nagari diccidi hayqo yelees.
16 Ndugu zangu wapendwa, msidanganyike.
Ta siiqo ishato, cimettofite.
17 Kila kitolewacho kilicho chema na kilicho kamili, hutoka juu, na hushuka kutoka kwa Baba wa mianga, ambaye kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.
Lo77o imoynne kumetha anjjo ubbay saloppenne saluwa poo7uwa medhdhida Xoossaa aawappe yees. Xoossay kuyada ubba wode laamettenna.
18 Kwa mapenzi yake mwenyewe alituzaa kwa neno la kweli, kusudi tuwe kama mazao ya kwanza katika viumbe vyake vyote.
Nuuni, iya medhetethaas koyro gidana mela nuna tuma qaalan ba shenen yelis.
19 Ndugu zangu wapendwa, fahamuni jambo hili: Kila mtu awe mwepesi wa kusikiliza, lakini asiwe mwepesi wa kusema wala wa kukasirika.
Ta siiqo ishato, hayssa akeekite. Asi ubbay si7anaw elleso, shin odettanawunne hanqettanaw ellesoppo.
20 Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu.
Asa hanqoy Xoossay koyaa xillotethaa ehenna.
21 Kwa hiyo, ondoleeni mbali uchafu wote na uovu ambao umezidi kuwa mwingi, mkalipokee kwa unyenyekevu lile Neno lililopandwa ndani yenu ambalo laweza kuokoa nafsi zenu.
Hessa gisho, tuna hanotanne iitatetha ubbaa diggidi, Xoossay hintte wozanan tokkida hintte shemppuwa ashshanaw dandda7iya qaala aadatethan ekkite.
22 Basi kuweni watendaji wa Neno wala msiwe wasikiaji tu, huku mkijidanganya nafsi zenu.
Shin Xoossaa qaala ooson peeshshiteppe attin sissa xalaalan hinttena cimmofite.
23 Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo
Qaalaa si7idi oothonna asi, I ba som77uwa masttoten be7iya asa mela.
24 na baada ya kujiona alivyo, huenda zake na mara husahau jinsi alivyo.
I ba som77uwa be7idi bees, shin I ay daaniyakko ellesi dogees.
25 Lakini yeye anayeangalia kwa bidii katika sheria kamilifu, ile iletayo uhuru, naye akaendelea kufanya hivyo bila kusahau alichosikia, bali akalitenda, atabarikiwa katika kile anachofanya.
Shin oonikka aylletethafe kessiya polo higgiya akeekan be7idi, kaallidi naagey, si7idayssa dogonna ooson peeshshiya uray, ba ooso ubban anjjettana.
26 Kama mtu akidhani ya kuwa anayo dini lakini hauzuii ulimi wake kwa hatamu, hujidanganya moyoni mwake, wala dini yake mtu huyo haifai kitu.
Ba inxarssaa naagonna ammanays giya uray bana cimmees; iya ammanoy hada.
27 Dini iliyo safi, isiyo na uchafu, inayokubalika mbele za Mungu Baba yetu, ndiyo hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika dhiki zao na kujilinda usitiwe madoa na dunia.
Xoossaa Aawa sinthan borey baynna geeshsha ammanoy hayssa: aaya aawu baynna naytanne am77eta maadonne alamiya tunaappe bana naago.

< Yakobo 1 >