< Yakobo 1 >
1 Yakobo, mtumwa wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo: Kwa makabila kumi na mawili yaliyotawanyika ulimwenguni: Salamu.
Bawi Jesuh Khritaw ja Pamhnama mpya Jakuk üngkhyüh ni, Khawmdek avan üng ngpyeng hükie Pamhnama khyang avan ning jah hnukset veng.
2 Ndugu zangu, hesabuni kuwa ni furaha tupu mnapopatwa na majaribu mbalimbali,
Ka püie, nami cehnak üng akhak mjüküm a lawpha üng na kam dawki tia namimät ngaiei u,
3 kwa sababu mnajua ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.
akhake cun nami jumeinak naw a näng üng nami yah vai ta cuneinak khawh ni tia nami ksingki.
4 Saburi na iwe na kazi timilifu, ili mpate kuwa wakamilifu, mmekamilishwa, bila kupungukiwa na kitu chochote.
Nami cuneinak naw käh nami ngtawngpäkia aning jah cehpüi üng nami hlükaw käh ve lü kümcei lü nami bebang khai ni tia ngsingsak ua.
5 Kama mtu yeyote miongoni mwenu amepungukiwa na hekima na amwombe Mungu, yeye awapaye watu wote kwa ukarimu wala hana kinyongo, naye atapewa.
Pumngyam am na tak üng nang üng ning pe khawhkia Pamhnama vei na ktaiyü vai, isetiakyaküng, Pamhnam naw käh kpamei lü bäbangnak am avan üng jah peki ni.
6 Lakini anapoomba, lazima aamini wala asiwe na shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wimbi la bahari, lililochukuliwa na upepo na kutupwa huku na huku.
Lüpi na ktaiyü üng käh uplat lü jumnak am ktaiyüa. Uplatkia khyang cun khawkhi naw hmut lü ngnawk hüki mpanglai üng tängki ni.
7 Mtu kama huyo asidhani ya kuwa atapata kitu chochote kutoka kwa Bwana.
Acukba na ve ta, na pawhmsah naküt üng na mlung käh nängei lü am sikhyakia na ve khai ni. Bawipaa vei na ktaiyü na yah khaia pi käh ngai kawm pi.
8 Yeye ni mtu mwenye nia mbili, mwenye kusitasita katika njia zake zote.
9 Ndugu asiye na cheo kikubwa yampasa ajivunie hali hiyo maana ametukuzwa.
Mpyenksekiea Khritjane cän Pamhnam naw a jah jähsawn üng je u lü,
10 Lakini yeye aliye tajiri afurahi kwa kuwa ameshushwa, kwa sababu atatoweka kama ua la shambani.
bawimangkiea Khritjane cän Pamhnam naw a jah msumnemsak üng je u se. Bawimangnak cun mawa veki khyäipaia kba khyükleih khai ni.
11 Kwa maana jua kali lenye kuchoma huchomoza na kuliunguza, likayakausha majani, na ua lake likapukutika, nao uzuri wake huharibika. Vivyo hivyo tajiri naye atanyauka akiwa anaendelea na shughuli zake.
Khawnghngi lut law se ngling lü a dung cun ui law lü, a pai pi kyü khai, a ngtonak pi pyak khai ni. Bawimang he pi kunpan khaia ami ceh üng acukba kunga pyakmsai khaie ni.
12 Heri mtu anayevumilia wakati wa majaribu, kwa sababu akiisha kushinda hilo jaribio atapewa taji la uzima Mungu alilowaahidia wale wampendao.
Khuikha sawng üng sitih lü vekie cän je u se, isetiakyaküng, amimi naw camnak cun ami khe khawh üng Pamhnam kphyanakie üng khyütam a jah peta xünnaka ngkhyengnak yah khaie ni.
13 Mtu anapojaribiwa asiseme, “Ninajaribiwa na Mungu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu wala yeye hamjaribu mtu yeyote.
Acuna khuikhanake naw a jah hlawhlep üngta, “Ahin cun Pamhnam üngkhyüh lawkia hlawhlepnak ni” käh mi ti vai u. Pamhnam cun akse naw am hlawhlep thei, amät naw u pi akse am hlawhlep.
14 Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya.
Lüpi mimäta hlükaweie akse naw jah man lü a jah kaiha kcün üng ni hlawhlepnak mi khamei.
15 Basi ile tamaa mbaya ikishachukua mimba, huzaa dhambi, nayo ile dhambi ikikomaa, huzaa mauti.
Mi hlükawei akse naw mpyai lü mkhyenak a canak ni, mkhyenak cun däm law lü thihnak a canak law ni.
16 Ndugu zangu wapendwa, msidanganyike.
Ka püie, u naw pi käh ning jah mhleimhlak kawm!
17 Kila kitolewacho kilicho chema na kilicho kamili, hutoka juu, na hushuka kutoka kwa Baba wa mianga, ambaye kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.
Akdaw naküt teyet ja kümkia bänak hin khankhaw üngkhyüh lawki. Am ngthunghlai, am jah nghlata lü anghmüp pi am vesak, acun käna khankhaw akvaie pi jah Mhnünmcengki Pamhnam üngkhyüh lawki ni.
18 Kwa mapenzi yake mwenyewe alituzaa kwa neno la kweli, kusudi tuwe kama mazao ya kwanza katika viumbe vyake vyote.
Amäta ngjak'hlüa ngthungtak üngkhyüh a jah xün lawsaka kyase, a mhnünmceng nakütea ksunga akcüka hnün mi yahkie ni.
19 Ndugu zangu wapendwa, fahamuni jambo hili: Kila mtu awe mwepesi wa kusikiliza, lakini asiwe mwepesi wa kusema wala wa kukasirika.
Ka püie, hin hin süm ua! Avan cän ngjaknak üng jang lü pyensaknak ja mlungsonak üng cü yah khai ni.
20 Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu.
Nghngicima mlungsonak naw ngsungpyunkia Pamhnama nümnak cun am yah thei.
21 Kwa hiyo, ondoleeni mbali uchafu wote na uovu ambao umezidi kuwa mwingi, mkalipokee kwa unyenyekevu lile Neno lililopandwa ndani yenu ambalo laweza kuokoa nafsi zenu.
Acuna kyase, akse vecawh ja mtüihkse naküt cun jah lola ua. Pamhnama vei ngcuapei lü ning jah küikyan khawhkia ngthu nami mlunga a tak cän dokhamei ua.
22 Basi kuweni watendaji wa Neno wala msiwe wasikiaji tu, huku mkijidanganya nafsi zenu.
Ngjaknak sawxat üng namät käh mhlei lü acun cän ngneisak na a.
23 Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo
Ngthu cän ngja sawxatki lü am na ngneisaknak üngta hman üng amimät bükki khyange am ni na täng kawm.
24 na baada ya kujiona alivyo, huenda zake na mara husahau jinsi alivyo.
Amimät hman am bük u lü ami ceh hü üngta ia mäi lawki he ti cun am süm be ti u.
25 Lakini yeye anayeangalia kwa bidii katika sheria kamilifu, ile iletayo uhuru, naye akaendelea kufanya hivyo bila kusahau alichosikia, bali akalitenda, atabarikiwa katika kile anachofanya.
Khyang jah mhlät lü kümceikia thum cän k’et lü bük ua, acun cän bük kyet ua, käh mhnih lü käh ngai sawxat u lüpi nami ngneisaknak üngta nami bilawhnaka khana Pamhnam naw dawkyanak ning jah pe khai ni.
26 Kama mtu akidhani ya kuwa anayo dini lakini hauzuii ulimi wake kwa hatamu, hujidanganya moyoni mwake, wala dini yake mtu huyo haifai kitu.
Ka ningsaw mahki ti lü mat mat naw ngaiki aw. Lüpi na mlei am na mkhüp khawh üngta na ningsawnak ia am kya lü na mlung na mhleieikia ni a kya ta.
27 Dini iliyo safi, isiyo na uchafu, inayokubalika mbele za Mungu Baba yetu, ndiyo hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika dhiki zao na kujilinda usitiwe madoa na dunia.
Mi Pa Pamhnam naw ngcim lü kcangkia a ngaiha ningsaw ta: ngakyahe ja hmeinue khuikha lü ami ve üng jah mcei lü amimät pi khawmdek naw käh a jah kcimkpyehsak vaia mcei vai cän ni.