< Isaya 1 >

1 Maono kuhusu Yuda na Yerusalemu ambayo Isaya mwana wa Amozi aliyaona wakati wa utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda.
Vision d'Ésaïe, fils d'Amoz, concernant Juda et Jérusalem, au temps d'Ozias, de Jotham, d'Achaz et d'Ézéchias, rois de Juda.
2 Sikieni, enyi mbingu! Sikilizeni, enyi dunia! Kwa maana Bwana amesema: “Nimewalisha watoto na kuwalea, lakini wameniasi mimi.
Écoutez, cieux, et écoute, terre, car Yahvé a parlé: « J'ai nourri et élevé des enfants et ils se sont rebellés contre moi.
3 Ngʼombe anamjua bwana wake, naye punda anajua hori la mmiliki wake, lakini Israeli hajui, watu wangu hawaelewi.”
Le bœuf connaît son propriétaire, et l'âne la crèche de son maître; mais Israël ne le sait pas. Mon peuple n'en tient pas compte. »
4 Lo! Taifa lenye dhambi, watu waliolemewa na uovu, uzao wa watenda mabaya, watoto waliozoelea upotovu! Wamemwacha Bwana, Wamemkataa kwa dharau yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli na kumgeuzia kisogo.
Ah nation pécheresse, un peuple chargé d'iniquité, la progéniture des méchants, les enfants qui font des affaires corrompues! Ils ont abandonné Yahvé. Ils ont méprisé le Saint d'Israël. Ils sont éloignés et arriérés.
5 Kwa nini mzidi kupigwa? Kwa nini kudumu katika uasi? Kichwa chako chote kimejeruhiwa, moyo wako wote ni mgonjwa.
Pourquoi devriez-vous être plus battu, que vous vous révoltez de plus en plus? La tête entière est malade, et le cœur entier s'évanouit.
6 Kutoka wayo wako wa mguu hadi kwenye utosi wa kichwa chako hakuna uzima: ni majeraha matupu na makovu na vidonda vitokavyo damu, havikusafishwa au kufungwa wala kulainishwa kwa mafuta.
De la plante du pied à la tête, il n'y a pas de solidité, mais les blessures, les zébrures et les plaies ouvertes. Elles n'ont pas été refermées, pansées, ou apaisées avec de l'huile.
7 Nchi yenu imekuwa ukiwa, miji yenu imeteketezwa kwa moto; nchi yenu imeachwa tupu na wageni mbele ya macho yenu, imeharibiwa kama vile imepinduliwa na wageni.
Ton pays est dévasté. Vos villes sont brûlées par le feu. Les étrangers dévorent votre terre en votre présence et elle est désolée, comme renversé par des étrangers.
8 Binti Sayuni ameachwa kama kipenu katika shamba la mizabibu, kama kibanda katika shamba la matikitimaji, kama mji uliohusuriwa.
La fille de Sion est abandonnée comme un abri dans une vigne, comme une cabane dans un champ de melons, comme une ville assiégée.
9 Kama Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asingelituachia walionusurika, tungelikuwa kama Sodoma, tungelifanana na Gomora.
A moins que Yahvé des armées ne nous ait laissé un tout petit reste, nous aurions été comme Sodome. Nous aurions été comme Gomorrah.
10 Sikieni neno la Bwana, ninyi watawala wa Sodoma; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora!
Écoutez la parole de Yahvé, chefs de Sodome! Écoutez la loi de notre Dieu, peuple de Gomorrhe!
11 Bwana anasema, “Wingi wa sadaka zenu, ni kitu gani kwangu? Ninazo sadaka za kuteketezwa nyingi kupita kiasi, za kondoo dume na mafuta ya wanyama walionona. Sipendezwi na damu za mafahali wala za wana-kondoo na mbuzi.
« Quelle est la multitude de vos sacrifices pour moi? », dit Yahvé. « J'en ai assez des holocaustes de béliers... et la graisse des animaux nourris. Je ne me délecte pas du sang des taureaux, ou d'agneaux, ou de chèvres mâles.
12 Mnapokuja kujihudhurisha mbele zangu, ni nani aliyewataka ninyi mfanye hivyo, huku kuzikanyaga nyua zangu?
Quand tu viendras comparaître devant moi, qui a exigé cela de ta main, pour piétiner mes cours?
13 Acheni kuniletea sadaka zisizokuwa na maana! Uvumba wenu ni chukizo kwangu. Miandamo ya Mwezi, Sabato na makusanyiko ya ibada: siwezi kuvumilia makusanyiko yenu maovu.
N'apportez plus d'offrandes vaines. L'encens est une abomination pour moi. Nouvelles lunes, sabbats, et convocations... Je ne supporte pas les assemblées maléfiques.
14 Sikukuu zenu za Miandamo ya Mwezi, na sikukuu zenu zilizoamriwa: moyo wangu unazichukia. Zimekuwa mzigo kwangu, nimechoka kuzivumilia.
Mon âme déteste vos nouvelles lunes et vos fêtes fixes. Ils sont un fardeau pour moi. Je suis fatigué de les supporter.
15 Mnaponyoosha mikono yenu katika maombi, nitaficha macho yangu nisiwaone; hata mkiomba maombi mengi sitasikiliza. Mikono yenu imejaa damu;
Quand tu étends tes mains, je te cache mes yeux. Oui, quand tu fais beaucoup de prières, je n'entends pas. Vos mains sont pleines de sang.
16 jiosheni na mkajitakase. Yaondoeni matendo yenu maovu mbele zangu! Acheni kutenda mabaya,
Lavez-vous. Rendez vous propres. Ôtez de devant mes yeux la méchanceté de vos actes. Cessez de faire le mal.
17 jifunzeni kutenda mema! Tafuteni haki, watieni moyo walioonewa. Teteeni shauri la yatima, wateteeni wajane.
Apprenez à bien faire. Cherchez la justice. Soulager les opprimés. Défendez les orphelins. Plaidez pour la veuve. »
18 “Njooni basi tuhojiane,” asema Bwana. “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu, zitakuwa nyeupe kama theluji; ingawa ni nyekundu sana kama damu, zitakuwa nyeupe kama sufu.
« Viens maintenant, et raisonnons ensemble », dit l'Éternel: « Si vos péchés sont comme l'écarlate, ils deviendront blancs comme la neige. Même s'ils sont rouges comme la cramoisie, ils seront comme la laine.
19 Kama mkikubali na kutii, mtakula mema ya nchi,
Si vous êtes volontaires et obéissants, vous mangerez le bien de la terre;
20 lakini kama mkikataa na kuasi, mtaangamizwa kwa upanga.” Kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena.
mais si vous refusez et vous rebellez, vous serez dévorés par l'épée; car la bouche de Yahvé l'a dit. »
21 Tazama jinsi mji uliokuwa mwaminifu umekuwa kahaba! Mwanzoni ulikuwa umejaa unyofu, haki ilikuwa inakaa ndani yake, lakini sasa ni wauaji!
Comment la ville fidèle est devenue une prostituée! Elle était pleine de justice. La droiture s'est logée en elle, mais maintenant il y a des meurtriers.
22 Fedha yenu imekuwa takataka, divai yenu nzuri imechanganywa na maji.
Votre argent est devenu de la poussière, votre vin mélangé à de l'eau.
23 Watawala wenu ni waasi, rafiki wa wevi, wote wanapenda rushwa na kukimbilia hongo. Hawatetei yatima, shauri la mjane haliletwi mbele yao lisikilizwe.
Tes princes sont rebelles et compagnons de voleurs. Tout le monde aime les pots-de-vin et suit les récompenses. Ils ne défendent pas les orphelins, la cause de la veuve ne leur revient pas non plus.
24 Kwa hiyo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mwenye Nguvu wa Israeli, asema hivi: “Lo, nitapata faraja kutoka kwa adui zangu na kujilipizia kisasi juu ya watesi wangu.
C'est pourquoi l'Éternel, le Yahvé des Armées, le Puissant d'Israël, dit: « Ah, je vais être soulagé de mes adversaires, et me venger de mes ennemis.
25 Nitauelekeza mkono wangu dhidi yenu, nitawasafisha takataka zenu zote na kuwaondolea unajisi wenu wote.
Je tournerai ma main vers toi, purgez complètement vos scories, et emportera tout ton étain.
26 Nitawarudishia waamuzi wenu kama ilivyokuwa siku za zamani, nao washauri wenu kama ilivyokuwa mwanzoni. Baadaye utaitwa, Mji wa Haki, Mji Mwaminifu.”
Je rétablirai vos juges comme au début, et vos conseillers comme au début. Ensuite, on t'appellera « la cité de la justice », une ville fidèle.
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, wale waliomo ndani yake waliotubu kwa uaminifu.
Sion sera rachetée avec justice, et ses convertis avec droiture.
28 Lakini waasi na wenye dhambi wote wataangamizwa, nao wanaomwacha Bwana wataangamia.
Mais la destruction des transgresseurs et des pécheurs sera commune, et ceux qui abandonnent Yahvé seront consumés.
29 “Mtaaibika kwa sababu ya hiyo mialoni ambayo mlifurahia, mtafadhaika kwa sababu ya bustani mlizozichagua.
Car ils auront honte des chênes que tu as désirés, et tu seras confondu pour les jardins que tu as choisis.
30 Mtakuwa kama mwaloni wenye majani yanayonyauka, kama bustani isiyokuwa na maji.
Car vous serez comme un chêne dont la feuille se fane, et comme un jardin qui n'a pas d'eau.
31 Mtu mwenye nguvu atatoweka kama majani makavu yawakayo moto, na kazi yake kama cheche ya moto; vyote vitaungua pamoja, wala hakuna wa kuuzima huo moto.”
Les forts seront comme de l'amadou, et son travail comme une étincelle. Ils brûleront tous les deux ensemble, et personne ne les éteindra. »

< Isaya 1 >