< Isaya 1 >
1 Maono kuhusu Yuda na Yerusalemu ambayo Isaya mwana wa Amozi aliyaona wakati wa utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda.
Judah manghai rhoek Uzziah, Jotham, Ahaz neh Hezekiah tue vaengah Judah neh Jerusalem ham Amoz capa Isaiah loh a mangthui a hmuh.
2 Sikieni, enyi mbingu! Sikilizeni, enyi dunia! Kwa maana Bwana amesema: “Nimewalisha watoto na kuwalea, lakini wameniasi mimi.
Vaan rhoek loh ya uh lamtah diklai long khaw hnakaeng saeh. BOEIPA loh, “Ka ca rhoek he ka pantai sak tih ka pomsang coeng dae, amamih long ni kai taengah boe a koek uh.
3 Ngʼombe anamjua bwana wake, naye punda anajua hori la mmiliki wake, lakini Israeli hajui, watu wangu hawaelewi.”
Vaito loh amah aka lai te a ming tih laak long a boei kah kongduk te a hmat. Ka pilnam Israel loh ming voel pawt tih yakming voel pawh.
4 Lo! Taifa lenye dhambi, watu waliolemewa na uovu, uzao wa watenda mabaya, watoto waliozoelea upotovu! Wamemwacha Bwana, Wamemkataa kwa dharau yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli na kumgeuzia kisogo.
A nunae, namtom laihmuh aih, thaesainah loh a payawk pilnam, thaehuet kah tiingan, poci kah a ca rhoek, BOEIPA te a hnoo uh tih Israel kah aka cim te a tlaitlaek dongah a hnuk la kholong uh coeng.
5 Kwa nini mzidi kupigwa? Kwa nini kudumu katika uasi? Kichwa chako chote kimejeruhiwa, moyo wako wote ni mgonjwa.
Balae tih koep kang ngawn eh? Koeknah te na koei uh tih na lu te a tlohtat kak la, na thinko boeih khaw hal coeng.
6 Kutoka wayo wako wa mguu hadi kwenye utosi wa kichwa chako hakuna uzima: ni majeraha matupu na makovu na vidonda vitokavyo damu, havikusafishwa au kufungwa wala kulainishwa kwa mafuta.
A kho khopha lamloh a lu due hlang la om voel pawh. A tloh neh a hma, hmasoe a haeng khaw yawt uh pawt tih poi uh pawh, situi nen khaw yaih sak pawh.
7 Nchi yenu imekuwa ukiwa, miji yenu imeteketezwa kwa moto; nchi yenu imeachwa tupu na wageni mbele ya macho yenu, imeharibiwa kama vile imepinduliwa na wageni.
Na khohmuen te khopong la om coeng. Na khopuei rhoek hmai neh a hoeh coeng. Na diklai khaw na mikhmuh ah kholong loh han caak coeng. Te dongah khopong neh imrhong- bangla a kholong boeih coeng.
8 Binti Sayuni ameachwa kama kipenu katika shamba la mizabibu, kama kibanda katika shamba la matikitimaji, kama mji uliohusuriwa.
Zion nu misur dum kah poca bangla, uitang lo kah tlak bangla, khopuei a dum bangla hoei sut coeng,” a ti.
9 Kama Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asingelituachia walionusurika, tungelikuwa kama Sodoma, tungelifanana na Gomora.
Caempuei BOEIPA loh mamih he rhaengnaeng la bet n'hlun pawt koinih Sodom bangla ng'om vetih Gomorrah bangla n'lutlat uh.
10 Sikieni neno la Bwana, ninyi watawala wa Sodoma; sikilizeni sheria ya Mungu wetu, enyi watu wa Gomora!
Sodom rhalboei rhoek BOEIPA olka te ya uh lah. Gomorrah pilnam loh mamih Pathen kah olkhueng te hnakaeng thil lah.
11 Bwana anasema, “Wingi wa sadaka zenu, ni kitu gani kwangu? Ninazo sadaka za kuteketezwa nyingi kupita kiasi, za kondoo dume na mafuta ya wanyama walionona. Sipendezwi na damu za mafahali wala za wana-kondoo na mbuzi.
Nangmih hmueih aka khawk te kai ham ee te? BOEIPA loh, “Hmueihhlutnah tutal, puetsuet kah a tha, vaito thii, tuca neh kikong loh n'lawt tih ka ngaih moenih.
12 Mnapokuja kujihudhurisha mbele zangu, ni nani aliyewataka ninyi mfanye hivyo, huku kuzikanyaga nyua zangu?
Kai mikhmuh ah phoe hamla na pawk uh vaengah na kut dongkah he unim aka suk tih kai kah vongup nan taelh uh.
13 Acheni kuniletea sadaka zisizokuwa na maana! Uvumba wenu ni chukizo kwangu. Miandamo ya Mwezi, Sabato na makusanyiko ya ibada: siwezi kuvumilia makusanyiko yenu maovu.
A Poeyoek la khocang nang khuen neh ng'koei boeh. Bo-ul khaw kai ham tueilaehkoi ni. Hlasae neh Sabbath ah tingtunnah a khue te khaw, boethae neh pahong khaw ka ueh thai pawh.
14 Sikukuu zenu za Miandamo ya Mwezi, na sikukuu zenu zilizoamriwa: moyo wangu unazichukia. Zimekuwa mzigo kwangu, nimechoka kuzivumilia.
Nangmih kah hlasae neh na tingtunnah te ka hinglu loh a hmuhuet tih, kai ham laipuei la a poeh dongah ka phueih ka ngak.
15 Mnaponyoosha mikono yenu katika maombi, nitaficha macho yangu nisiwaone; hata mkiomba maombi mengi sitasikiliza. Mikono yenu imejaa damu;
Na kut na phuel uh vaengah nangmih taeng lamloh ka mik vik ka him ni. Thangthuinah loh puh cakhaw na kut ah hlang thii a bae dongah ka hnatun mahpawh.
16 jiosheni na mkajitakase. Yaondoeni matendo yenu maovu mbele zangu! Acheni kutenda mabaya,
Sil uh lamtah cim uh. Na khoboe thaenah khaw khoe uh lamtah ka mikhmuh lamkah thaehuet te toeng uh.
17 jifunzeni kutenda mema! Tafuteni haki, watieni moyo walioonewa. Teteeni shauri la yatima, wateteeni wajane.
Voelphoeng hamla cang uh. Tiktamnah te tlap. Hlang hnaepnah te toel uh. Cadah te rhuun uh lamtah, nuhmai ham te oelh pah.
18 “Njooni basi tuhojiane,” asema Bwana. “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu, zitakuwa nyeupe kama theluji; ingawa ni nyekundu sana kama damu, zitakuwa nyeupe kama sufu.
Ha mop uh lamtah tluung uh thae pawn sih. BOEIPA loh, “Nangmih kah tholhnah te lingdik bangla om cakhaw vuel bangla om ni. Talam bangla thimyum cakhaw tumul bangla om ni,” a ti.
19 Kama mkikubali na kutii, mtakula mema ya nchi,
Na huem uh tih na hnatun uh atah khohmuen kah a thennah te na caak uh ni.
20 lakini kama mkikataa na kuasi, mtaangamizwa kwa upanga.” Kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena.
Tedae na aal tih na koek uh atah BOEIPA ol a thui coeng dongah cunghang na yook uh ni.
21 Tazama jinsi mji uliokuwa mwaminifu umekuwa kahaba! Mwanzoni ulikuwa umejaa unyofu, haki ilikuwa inakaa ndani yake, lakini sasa ni wauaji!
Khorha cakrhuet, tiktamnah neh aka bae te baelae tih pumyoi la poeh. Duengnah khaw a khuiah rhaehrhong dae hlang a ngawn coeng.
22 Fedha yenu imekuwa takataka, divai yenu nzuri imechanganywa na maji.
Nangmih kah ngun te aek la poeh tih na yuhuem khaw tui neh poek uh coeng.
23 Watawala wenu ni waasi, rafiki wa wevi, wote wanapenda rushwa na kukimbilia hongo. Hawatetei yatima, shauri la mjane haliletwi mbele yao lisikilizwe.
Na mangpa rhoek a thinthah uh tih a pum la hlanghuen neh hui uh thae. Kapbaih a lungnah tih kapbaih ni a hloem. Cadah te laitloek pa uh pawt tih nuhmai kah tuituknah khaw amamih taengah phoe puei pawh.
24 Kwa hiyo Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mwenye Nguvu wa Israeli, asema hivi: “Lo, nitapata faraja kutoka kwa adui zangu na kujilipizia kisasi juu ya watesi wangu.
Te dongah caempuei Boeipa, Yahovah, Israel kah samrhang olphong loh, “A nunae, Ka thunkha rhoek soah phu ka loh daengah ni ka rhal rhoek taengah dam ka ti pueng eh.
25 Nitauelekeza mkono wangu dhidi yenu, nitawasafisha takataka zenu zote na kuwaondolea unajisi wenu wote.
Nangmih taengah ka kut kan thuung ni. Te vaengah na khen te lunghuem neh ka dung vetih na ti boeih ka khong ni.
26 Nitawarudishia waamuzi wenu kama ilivyokuwa siku za zamani, nao washauri wenu kama ilivyokuwa mwanzoni. Baadaye utaitwa, Mji wa Haki, Mji Mwaminifu.”
Na laitloek te hnukbuet kah bangla, na olrhoep khaw lamhma kah bangla kan thuung ni. Tahae lamkah tah nang te duengnah khopuei, uepom khorha la ng'khue ni.
27 Sayuni itakombolewa kwa haki, wale waliomo ndani yake waliotubu kwa uaminifu.
Zion te tiktamnah neh a lat vetih duengnah neh ha mael ni.
28 Lakini waasi na wenye dhambi wote wataangamizwa, nao wanaomwacha Bwana wataangamia.
Tedae boekoek rhoek neh BOEIPA aka hnoo hlangtholh rhoek tah pocinah loh rhenten a khah ni.
29 “Mtaaibika kwa sababu ya hiyo mialoni ambayo mlifurahia, mtafadhaika kwa sababu ya bustani mlizozichagua.
Thingnu na nai uh te yak vetih, dum na tuek uh dongah khaw na hmai tal uh ni.
30 Mtakuwa kama mwaloni wenye majani yanayonyauka, kama bustani isiyokuwa na maji.
Rhokael te a hnah a hoo bangla, tui loh dum te a kaktah bangla na om uh ni.
31 Mtu mwenye nguvu atatoweka kama majani makavu yawakayo moto, na kazi yake kama cheche ya moto; vyote vitaungua pamoja, wala hakuna wa kuuzima huo moto.”
Aka tlung khaw malpawt la, a bisai te hmaidi la poeh ni. Te vaengah a boktlap la rhenten a dom vetih thih uh mahpawh.