< Isaya 8 >
1 Bwana akaniambia, “Chukua gombo kubwa, uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida jina: Maher-Shalal-Hash-Bazi.
Hina Gode da nama amane sia: i, “Dia meloa bioi bagade lale, amoga dunu noga: le idima: ne agoane dedemu, ‘Ma: ihi Sia: ila: ile Ha: isaba: se ‘(dawaloma: ne da hedolo wamolale, gaguli masa)’
2 Nami nitawaita kuhani Uria, na Zekaria mwana wa Yeberekia kama mashahidi wangu waaminifu.”
Amo dedei dafawaneyale ba: ma: ne, ba: su dunu moloidafa aduna ilegemu. Amo da gobele salasu ouligisu ea dio amo Iulaia amola Segalaia (Yibeligaia egefe) ilegema.
3 Kisha nikaenda kwa nabii mke, naye akapata mimba, akazaa mwana. Kisha Bwana akaniambia, “Mwite huyo mtoto Maher-Shalal-Hash-Bazi.
Fa: no, na uda da abula agui ba: i. Ania dunu mano lalelegeloba, Hina Gode da nama amane sia: i, “Dia manoma ‘Ma: ihi Sia: ila: ile Ha: isiaba: se” dio asulima.
4 Kabla mtoto hajaweza kusema ‘Baba yangu’ au ‘Mama yangu,’ utajiri wa Dameski na nyara za Samaria zitachukuliwa na mfalme wa Ashuru.”
E da fonobahadi fawane asigilale, ‘Ada’ amola ‘Ame’ amo sia: musa: dawa: mu. Be hidadea, amo sia: mu hamedei galea, Asilia hina bagade da Dama: sagase amola Samelia, amo ea muni amola liligi ida: iwane wamolale, gaguli masunu.”
5 Bwana akasema nami tena:
Hina Gode da bu nama sia: i.
6 “Kwa sababu watu hawa wamekataa maji ya Shilo yatiririkayo taratibu wakamfurahia Resini na mwana wa Remalia,
E da amane sia: i, “Yuda dunu da Hano Siloua: me ea olofoi hano amo higa: i dagoi. Amola ilia da hina bagade Lisini amola hina bagade Biga amoma beda: iba: le, yagugusa.
7 kwa hiyo Bwana yu karibu kuleta dhidi yao mafuriko makubwa ya Mto: yaani mfalme wa Ashuru na fahari yake yote. Yatafurika juu ya mifereji yake yote, yatamwagikia juu ya kingo zake zote,
Amaiba: le, Na, Hina Gode, da Asilia hina bagade amola ea dadi gagui dunu huluane, amo Yuda dunu fi ilima doagala: musa: oule misunu. Iufala: idisi Hano da neda: le, ea bega: nabale aduga: le daha amo defele ilia da misunu.
8 na kufika hadi Yuda, yakizunguka kwa kasi juu yake, yakipita katikati na yakifika hadi shingoni. Mabawa yake yaliyokunjuliwa yatafunika upana wa nchi yako, Ee Imanueli!”
Ilia da Yuda sogega hano bagade neda: i agoane misini, bagade heda: le, liligi huluane dedebomu.” Gode da nini esala! Ea ougia ligia gadole da ninia soge gaga: sa.
9 Inueni kilio cha vita, enyi mataifa, na mkavunjwevunjwe! Sikilizeni, enyi nyote nchi za mbali. Jiandaeni kwa vita, nanyi mkavunjwevunjwe! Jiandaeni kwa vita, nanyi mkavunjwevunjwe!
Dilia fifi asi gala dunu fi huluane beda: iwane gilisima! Soge sedaga fi huluane, nabima! Gegemusa: momagema, be beda: ma! Dafawane! Momagema, be beda: iwane dawa: ma!
10 Wekeni mikakati yenu, lakini itashindwa; fanyeni mipango yenu, lakini haitafanikiwa, kwa maana Mungu yu pamoja nasi.
Gegemusa: ilegema! Be dilia ilegesu da dafamu. Baligiliwane fada: i sia: ma! Be dilia momagesu da hamedei. Bai Gode da ninima esala.
11 Bwana alisema nami mkono wake wenye nguvu ukiwa juu yangu, akinionya nisifuate njia za taifa hili. Akasema:
Hina Gode da Ea gasa bagade amoga, na da Yuda dunu eno ilima mae fa: no bobogema: ne sisane sia: i.
12 “Usiite fitina kila kitu ambacho watu hawa hukiita fitina, usiogope kile wanachokiogopa, wala usikihofu.
E da amane sia: i, “Di da amo dunu ilia ilegesu amoma mae gilisima, amola liligi amoma ilia da beda: i, amoba: le di mae beda: ma.
13 Bwana Mwenye Nguvu Zote ndiye peke yake ikupasaye kumheshimu kuwa mtakatifu, ndiye peke yake utakayemwogopa, ndiye peke yake utakayemhofu,
Na, Hina Gode Bagadedafa da Hadigi (Houli)! Amo mae gogolema! Di da eno dunuma mae beda: ne, Nama fawane beda: ma.
14 naye atakuwa mahali patakatifu; lakini kwa nyumba zote mbili za Israeli atakuwa jiwe lile linalosababisha watu kujikwaa na mwamba wa kuwaangusha. Kwa watu wa Yerusalemu, atakuwa mtego na tanzi.
Na da baligili Hadigidafa. Amaiba: le, Na da fedege agoane, igi amoga dunu da emo udasisu gala. Na da sani amoga Yuda amola Isala: ili dunu amola Yelusaleme dunu daha.
15 Wengi wao watajikwaa; wataanguka na kuvunjika, watategwa na kunaswa.”
Dunu bagohame da dafane, goudai dagoi ba: mu. Ilia da amo saniga sa: imu.”
16 Funga ushuhuda na kutia muhuri sheria miongoni mwa wanafunzi wangu.
Dilia! Na adoba: su dunu! Dilia sia: , amo Gode da nama i, amo noga: le ouligima!
17 Nitamngojea Bwana, ambaye ameificha nyumba ya Yakobo uso wake. Nitaliweka tumaini langu kwake.
Hina Gode da Ea fi dunu E mae ba: ma: ne, wamoaligi dagoi. Be na da Ea hou dafawaneyale dawa: be, amola E da fa: no misunu hou amo noga: le ouligisu na dawa:
18 Niko hapa, pamoja na watoto ambao Bwana amenipa. Sisi ni ishara na mfano wake katika Israeli, kutoka kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote, anayeishi juu ya Mlima Sayuni.
Na amola mano amo Hina Gode da nama i, da lela. Hina Gode Bagadedafa Ea Fisu da Saione Goumiga gala, amola E da nini sia: ne iasu esala agoane Isala: ili fi dunu ilima asunasi dagoi.
19 Wakati watu wanapowaambia ninyi kutafuta ushauri kwa waaguzi na wenye kuongea na mizimu, ambao hunongʼona na kunungʼunika, je, watu wasingeuliza kwa Mungu wao? Kwa nini watake shauri kwa wafu kwa ajili ya walio hai?
Be eno dunu da dilia udigili ba: la: lusu dunu amola gesami dasu (amo da gesami hea: sa amola hehedosa) amoma adole ba: ma: ne sia: mu. Be abuliba: le esala dunu fidima: ne, bogoi dunu amoma adole ba: ma: bela: ?”
20 Kwa sheria na kwa ushuhuda! Kama hawatasema sawasawa na neno hili, hawana mwanga wa mapambazuko.
Be dilia bu adole ima, “Gode Ea sema amola Ea dedei huluane amo fawane dawa: ma. Gesami dasu dunu ilia sia: maedafa nabima! Eno dunu da Gode Ea sia: defele hame sia: sea, amo dunu da hadigi hame, ogogosu fawane dawa: ma.”
21 Watazunguka katika nchi yote, wakiwa na dhiki na njaa. Watakapotaabika kwa njaa, watapatwa na hasira kali, nao, wakiwa wanatazama juu, watamlaani mfalme wao na Mungu wao.
Isala: ili dunu da ha: i nabawane amola da: i dione, udigili soge ganodini lalumu. Ilia da ha: iba: le amola ougiba: le, ba: le gadole ilia Hina bagade amola Godema gagabusu aligima: ne sia: mu.
22 Kisha wataangalia duniani na kuona tu dhiki na giza, hofu na huzuni tupu, nao watasukumiwa kwenye giza nene kabisa.
Amasea, ilia da osoboga ba: le guduli, be bidi hamoi amola gasi amola beda: ma: ne gasi amoga Gode da ili sefasilala, amo fawane ba: mu.