< Isaya 65 >
1 “Nilijifunua kwa watu wale ambao hawakuniulizia. Nimeonekana na watu wale ambao hawakunitafuta. Kwa taifa lile ambalo halikuliita Jina langu, nilisema, ‘Niko hapa, niko hapa.’
Hina Gode da amane sia: i, “Na da Na fi dunu ilia sia: ne gadosu amoma adole imunusa: momagele esalu, be ilia da Nama hame sia: ne gadoi. Ilia da Na hogoi helele, ba: mu, Na da dawa: i galu. Be ilia da hame hogoi helei. Na da eso huluane Isala: ili fi fidimusa: ouesalu, be ilia da Nama hame sia: ne gadoi. Be Na da ilima adole imunusa: , “Na da wea! Na da dili fidimu!” amo sia: ma: ne momagele esalu.
2 Mchana kutwa nimeinyoosha mikono yangu kwa watu wakaidi, wanaokwenda katika njia ambazo si nzuri, wafuatao mawazo yao wenyewe:
Na fi dunu da higale, wadela: i hou hamosa, amola ilia hanaiga fawane ahoa. Be Na da eso huluane ili hahawane aowamusa: ouesalu.
3 taifa ambalo daima hunikasirisha machoni pangu, wakitoa dhabihu katika bustani na kufukiza uvumba juu ya madhabahu za matofali;
Ilia da mae gogosiane, Na ougima: ne hamonana. Ilia da sema ifabi ganodini, ogogosu ‘gode’ liligi ilima gobele salasu hou hamosa. Amola ogogosu ‘gode’ ilia oloda da: iya, gabusiga: manoma gobesisa.
4 watu waketio katikati ya makaburi na kukesha mahali pa siri, walao nyama za nguruwe, nazo sufuria zao zina mchuzi wa nyama zilizo najisi,
Gasia, ilia da magufu gelabo amola bogoi uli dogoi amoga bogoi a: silibu ilima sia: sa: imusa: ahoa. Ilia da gebo huna bobodole gobei amo ogogosu ‘gode’ma gobele salimusa: hamoi, amo naha.
5 wasemao, ‘Kaa mbali; usinikaribie, kwa maana mimi ni mtakatifu mno kwako!’ Watu wa aina hiyo ni moshi katika pua zangu, ni moto uwakao mchana kutwa.
Amalalu, ilia da eno dunuma amane sia: sa, “Gadenene mae misa! Nini mae digili ba: ma! Bai ninia da sema hadigi hamoi dagoi.” Na da agoaiwane dunu bagade higa: i. Na ilima ougi da lalu bagade amo da ha: ba: domu hame gala, agoaiwane gobesisa.
6 “Tazama, jambo hili hubakia limeandikwa mbele zangu: sitanyamaza, bali nitalipiza kwa ukamilifu; nitalipiza mapajani mwao:
Na da amo dunu ilima se iasu ilegele dedei dagoi. Na da ilia wadela: i hou hame gogolemu be dabe ilima imunu.
7 dhambi zenu na dhambi za baba zenu,” asema Bwana. “Kwa sababu walitoa dhabihu za kuteketezwa juu ya milima na kunichokoza mimi juu ya vilima, nitawapimia mapajani mwao malipo makamilifu kwa matendo yao ya zamani.”
Ilia da wadela: i hou hamoiba: le, amola ilia aowalali dunu da wadela: i hamoiba: le, Na da ilima dabe imunu. Ilia da ogogosu ‘gode’ ilia agolo da: iya gagui sia: ne gadosu sogebi amoga gabusiga: manoma gobesi amola Na Dio wadela: lesi. Amaiba: le, ilia wadela: i hou hamoi amo defele, Na da ilima dabe imunu.”
8 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kama vile divai mpya ingali bado inapatikana katika kishada cha zabibu, nao watu husema, ‘Usikiharibu, kwa kuwa bado kuna kitu kizuri ndani yake,’ hivyo ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu; sitawaangamiza wote.
Hina Gode da amane sia: sa, “Dunu da waini fage noga: i amo udigili hame wadela: lesisa. Be amo lale, ilia da waini hano hamosa. Na amola da Na fi huluanedafa hame gugunufinisimu. Be mogili da Nama fa: no bobogebeba: le, Na da ili gaga: mu.
9 Nitawaleta wazao kutoka kwa Yakobo, na kutoka kwa Yuda wale watakaomiliki milima yangu, nao watu wangu wateule watairithi, nako huko wataishi watumishi wangu.
Na da Isala: ili dunu amo da Yuda fi amo ganodini esala ilima hahawane hamomu. Iligaga fi da Na goumi soge gagumu. Na ilegei fi dunu amo da Na hawa: hamonana, amo da amo sogega esalumu.
10 Sharoni itakuwa malisho kwa ajili ya makundi ya kondoo, na Bonde la Akori mahali pa kupumzikia kwa makundi ya ngʼombe, kwa ajili ya watu wangu wanaonitafuta.
Ilia da Nama nodomu. Amola ilia da ilia sibi amola bulamagau gisi moma: ne Sielone Umi gududili gala amola Bidi Hamosu Fago gusudili gala amoga oule masunu.
11 “Bali kwenu ninyi mnaomwacha Bwana na kuusahau mlima wangu mtakatifu, ninyi mnaoandaa meza kwa ajili ya Bahati, na kujaza mabakuli ya mvinyo uliochanganywa kwa ajili ya Ajali,
Be dilia mogili da Na hou fisiagale, Na sema agolo Saione higasa amola ogogosu ‘gode’ Ga: de amola Meni (amo da hahawane doaga: su hou amola udigili manebe hou ilia da sia: sa) amoma fa: no bobogesa. Be hou hisu da dilima doaga: mu.
12 nitawaagiza mfe kwa upanga, nanyi nyote mtainama chini ili kuchinjwa; kwa kuwa niliwaita lakini hamkuitika, nilisema lakini hamkusikiliza. Mlitenda maovu machoni pangu, nanyi mkachagua mambo yale yanayonichukiza.”
Dilia da se nabawane bogomu. Bai Na da wele sia: beba: le, dilia da hame bu adole i, amola Na da sia: beba: le, dilia da nabimu higa: i. Be dilia da Na sia: mae nabima: ne amola wadela: i hou hamoma: ne, ilegei dagoi.
13 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi: “Watumishi wangu watakula, lakini ninyi mtaona njaa; watumishi wangu watakunywa lakini ninyi mtaona kiu; watumishi wangu watafurahi, lakini ninyi mtaona haya.
Amaiba: le, Na dilima amane sia: sa, ‘Nowa da Nama nodone sia: ne gadosea, amola Na sia: nabasea, da ha: i manu amola hano moma: ne defele ba: mu. Be dilia da ha: mu amola hano hanamu. Ilia da hahawane esalumu be dilia da gogo sia: su ba: mu.
14 Watumishi wangu wataimba kwa furaha ya mioyo yao, lakini ninyi mtalia kutokana na uchungu wa moyoni, na kupiga yowe kwa sababu ya uchungu wa roho zenu.
Ilia da hahawaneba: le, gesami hea: mu. Be dilia da se bagade nababeba: le, dinanawane wele sia: mu.
15 Mtaliacha jina lenu kuwa laana kwa watu wangu waliochaguliwa; Bwana Mwenyezi atawaua ninyi, lakini watumishi wake atawapa jina jingine.
Na ilegei fi dunu da dilia dioba: le, gagabusu aligima: ne sia: mu. Na, Hina Bagade Ouligisudafa, da dili medole lelegemu. Be nowa da Nama fa: no bobogesea, Na da ilima dio gaheabolo asulimu.
16 Yeye aombaye baraka katika nchi atafanya hivyo kwa Mungu wa kweli; yeye aapaye katika nchi ataapa kwa Mungu wa kweli. Kwa kuwa taabu za zamani zitasahaulika na kufichwa kutoka machoni pangu.
Nowa Isala: ili soge ganodini esala dunu da Nama hahawane dogolegele iasu adole ba: sea, Na, Dafawane Hamosu Gode, da ema hahawane dogolegele iasu imunu. Nowa da dafawane sia: musa: dawa: sea, e da Dafawane Hamosu Gode, amo Ea Dioba: le, dafawaneyale sia: mu. Musa: bidi hamosu da bu hame ba: mu, gogolei dagoi ba: mu.”
17 “Tazama, nitaumba mbingu mpya na dunia mpya. Mambo ya zamani hayatakumbukwa, wala hayatakuja akilini.
Hina Gode da amane sia: sa, “Na da osobo bagade gaheabolo amola mu gaheabolo hahamomu. Musa: hamoi hou da gogolei dagoi ba: mu.
18 Lakini furahini na kushangilia daima katika hivi nitakavyoumba, kwa kuwa nitaumba Yerusalemu uwe wa kupendeza, nao watu wake wawe furaha.
Na gaheabolo liligi hamomuba: le, dilia eso huluane hahawane bagade ba: mu da defea. Gaheabolo Yelusaleme Na da hamomu amo ganodini da hahawane hou fawane ba: mu amola ea fi dunu da hahawane bagade ganumu.
19 Nami nitaifurahia Yerusalemu na kuwafurahia watu wangu; sauti ya maombolezo na ya kilio haitasikika humo tena.
Na Nisu da Yelusaleme amola ea fi dunu ba: sea, hahawane ba: mu. Amo ganodini da disu amola fidima: ne wele sia: su bu hame ba: mu.
20 “Kamwe hatakuwepo tena ndani yake mtoto mchanga atakayeishi siku chache tu, au mzee ambaye hataishi akatimiza miaka yake. Yeye atakayekufa akiwa na umri wa miaka mia moja atahesabiwa kwamba ni kijana tu, yeye ambaye hatafika miaka mia moja, atahesabiwa kuwa amelaaniwa.
Mano ilia dudubusu esoga da bu hame bogomu amola dunu huluane ilia ode ilegei defele esalumu. Nowa da ode 100 esalebe ba: sea, amo dunu da da: i hame, ayeligi fawane ilia da sia: mu. Be nowa da ode 100 amoga hame doaga: sea, e da Na se iasu lai dagoi, ilia da dawa: mu.
21 Watajenga nyumba na kuishi ndani yake; watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.
22 Hawatajenga nyumba, nao watu wengine waishi ndani yake, au kupanda mazao na wengine wale. Kwa kuwa kama zilivyo siku za mti, ndivyo zitakavyokuwa siku za watu wangu, wateule wangu watafurahia kwa siku nyingi kazi za mikono yao.
Dunu da ilia diasu gaguli, amo ganodini eno dunu hame be ilisu da esalumu. Ilia da waini efe sagale, eno dunu ilima hame imunu be ilisu fawane da amo waini hano manu. Na dunu da ifa agoane, ode bagohame esalumu. Ilia da hawa: hamobeba: le, liligi lasea, ilisu da amo liligi hahawane gagumu.
23 Hawatajitaabisha kwa kazi bure, wala hawatazaa watoto ili wapatwe na majanga, kwa kuwa watakuwa taifa lililobarikiwa na Bwana, wao na wazao wao pamoja nao.
Ilia hawa: hamosu da hahawane hehenane, didili hamoi dagoi ba: mu. Amola ilia mano da gugunufinisisu hame ba: mu. Na da mae fisili, eso huluane iligaga fi amo hahawane fidilalumu.
24 Kabla hawajaita, nitajibu, nao wakiwa katika kunena, nitasikia.
Ilia da Nama sia: ne gadolala, sia: ne gadosu da hame dagosea, Na da hedolowane ilia sia: ne: gadosu adole ba: i liligi ilima imunu.
25 Mbwa mwitu na mwana-kondoo watalisha pamoja, naye simba atakula nyasi kama maksai, lakini mavumbi yatakuwa chakula cha nyoka. Hawatadhuru wala kuharibu katika mlima wangu mtakatifu wote,” asema Bwana.
Wufi wa: me amola sibi mano da gilisili ha: i manu. Laione wa: me da bulamagau defele gisi manu amola gasonasu sania da gasonasea, dunu da bu hame bogomu. Na sema agolo Saione, amo ganodini da wadela: i liligi o wadela: lesisu liligi hamedafa ba: mu.”