< Isaya 64 >

1 Laiti ungelipasua mbingu na kushuka chini, ili milima ingelitetemeka mbele zako!
Di da mu gadelale, afafane, osobo bagadega sa: imu da defea. Agoane hamosea, goumi da Di ba: sa ganiaba, beda: iba: le ilia da ugugula: loba.
2 Kama vile moto uteketezavyo vijiti na kusababisha maji kuchemka, shuka ukafanye jina lako lijulikane kwa adui zako, na kusababisha mataifa yatetemeke mbele zako!
Hano da gia: i laluga bubunuma heda: sa, amo defele ilia da ugugula: loba. Misa! Dia ha lai dunu ilima Dia gasa bagade hou olelema. Fifi asi gala da Dia manebe ba: sea uguguma: ne, misa.
3 Kwa maana ulipofanya mambo ya kutisha ambayo hatukuyatazamia, ulishuka, nayo milima ikatetemeka mbele zako.
Musa: Di da dunu beda: ma: ne, gasa bagade musa: hame dawa: i hou hamosu. Goumi da Di ba: beba: le, bagadewane beda: iba: le, ugugui.
4 Tangu nyakati za zamani hakuna yeyote aliyesikia, hakuna sikio lililotambua, hakuna jicho lililomwona Mungu mwingine ila wewe, anayetenda mambo kwa ajili ya wale wamngojeao.
Gode! Di da gasa bagade amola nowa dunu da Dima fa: no bobogesea, Di da e fidima: ne gasa bagade hou hamosa. Dunu huluane da Gode Diwane hamedafa ba: i amola Dia hou defele hamedafa nabi.
5 Uliwasaidia watu wale watendao yaliyo haki kwa furaha, wale wazikumbukao njia zako. Lakini wakati tulipoendelea kutenda dhambi kinyume na njia zako, ulikasirika. Tutawezaje basi kuokolewa?
Nowa dunu da moloi hou hamosa amola Dia hanai hamosa, amo Di da hahawane ba: sa. Di da ninima ougi galu be amo mae dawa: le, ninia da wadela: i hou hamonanu. Ninia da Dia ougi mae dawa: le, musa: amola fa: no wadela: i hou hamonanu.
6 Sisi sote tumekuwa kama mtu aliye najisi, nayo matendo yetu yote ya uadilifu ni kama matambaa machafu; sisi sote tunasinyaa kama jani, na kama upepo maovu yetu hutupeperusha.
Ninia huluanedafa da wadela: i hou hamosu dunu. Ninia hou noga: idafa da ledo abula agoai ba: sa. Ninia da ifa lubi biole nonoboi amola foga mini ahoabe agoai ba: sa.
7 Hakuna yeyote anayeliitia jina lako wala anayejitahidi kukushika, kwa kuwa umetuficha uso wako na kutuacha tudhoofike kwa sababu ya dhambi zetu.
Dunu afae da Dima sinidigili, sia: ne gadobe hame ba: sa. Dunu afae da Dia fidisu lala mabe hame ba: sa. Ninia wadela: i hou hamobeba: le, Dia da nini Di mae ba: ma: ne, wamoaligi dagoi.
8 Lakini, Ee Bwana, wewe ndiwe Baba yetu. Sisi ni udongo, wewe ndiye mfinyanzi; sisi sote tu kazi ya mkono wako.
Be Hina Gode! Di da ninia Ada. Ninia da osobo fawane, be Di da osoboga hamoi ofodo hahamosu dunu. Di da nini hahamoi dagoi.
9 Ee Bwana, usikasirike kupita kiasi, usizikumbuke dhambi zetu milele. Ee Bwana, utuangalie, twakuomba, kwa kuwa sisi sote tu watu wako.
Amaiba: le, ninima mae baligiliwane ougima. Eso huluane ninia wadela: i hou mae dawa: ma. Ninia da Dia dunu fi. Ninima asigili, gogolema: ne olofoma.
10 Miji yako mitakatifu imekuwa jangwa; hata Sayuni ni jangwa, Yerusalemu ni ukiwa.
Dia sema moilai bai bagade, ilia da hafoga: i wadela: i soge agoai ba: sa. Yelusaleme da dunu hame esalebe wadela: lesi dagoi ba: sa.
11 Hekalu letu takatifu na tukufu, mahali ambapo baba zetu walikusifu wewe, limechomwa kwa moto, navyo vitu vyote tulivyovithamini vimeharibika.
Amola ninia Debolo (amo da sema amola noga: idafa sogebi amo ganodini ninia aowalali da Dima nodosu) amo da laluga nene, wadela: lesi dagoi. Sogebi huluane amoma ninia da asigi galu, amo da mugululi, wadela: lesi dagoi.
12 Ee Bwana, baada ya haya yote, utajizuia? Je, utanyamaza kimya na kutuadhibu kupita kiasi?
Hina Gode! Di da amo hou huluane amoma hame asigibela: ? Di da ouiya: le esaloma: bela: ? Di da ninima se iasu baligiliwane ima: bela: ?

< Isaya 64 >