< Isaya 63 >

1 Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu, kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu? Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari, anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake? “Mimi ndimi, nisemaye katika haki, mwenye nguvu wa kuokoa.”
Bozrah himbai a thimduk neh Edom lamkah aka pawk he nim? A pueinak nen mah a hiin coeng. Amah kah thadueng cungkuem neh aka khuum mai te. Khang khungdaeng ham khaw kamah long ni duengnah neh ka thui.
2 Kwa nini mavazi yako ni mekundu, kama ya yule akanyagaye shinikizo la zabibu?
Balae tih na pueinak te a thim? Na himbai khaw misur rhom khuiah a nook bangla.
3 “Nimekanyaga shinikizo la zabibu peke yangu; kutoka mataifa hakuna mtu aliyekuwa pamoja nami. Nimewaponda kwa miguu katika hasira yangu na kuwakanyaga chini katika ghadhabu yangu; damu yao ilitia matone kwenye mavazi yangu, na kutia madoa nguo zangu zote.
Sum khaw kamah bueng long ni ka huelh. Pilnam pakhat khaw kai taengah nuen pawh. Ka thintoek ah amih a neet tih ka kosi neh amih ka taelh. A thii loh ka himbai a haeh tih ka hnicu he a pum la ka nok.
4 Kwa kuwa siku ya kisasi ilikuwa moyoni mwangu, mwaka wa ukombozi wangu umefika.
Phulohnah hnin ham te ka lungbuei ah hing cakhaw kai ham tlannah kum ha pai coeng.
5 Nilitazama, lakini hakuwepo yeyote wa kunisaidia, nilishangaa kwa kuwa hakuwepo yeyote aliyetoa msaada; hivyo mkono wangu wenyewe ndio ulionifanyia wokovu, na ghadhabu yangu mwenyewe ndiyo iliyonitegemeza.
Ka paelki van akhaw aka bom om pawh. Ka pong bal akhaw aka talong om pawh. Ka bantha loh kamah ham a khang tih ka kosi loh amah la kai n'duel.
6 Nilikanyaga mataifa kwa miguu katika hasira yangu, katika ghadhabu yangu niliwalewesha, na kumwaga damu yao juu ya ardhi.”
Ka thintoek ah pilnam ka suntlae tih ka kosi neh amih ka rhuihmil sak. Amih thii te diklai dongah ka tlak sak.
7 Nitasimulia juu ya wema wa Bwana, kwa matendo ambayo apaswa kusifiwa, sawasawa na yote ambayo Bwana ametenda kwa ajili yetu: naam, mambo mengi mema aliyoyatenda kwa ajili ya nyumba ya Israeli, sawasawa na huruma zake na wema wake mwingi.
BOEIPA loh mamih ham boeih a thuung van bangla BOEIPA kah sitlohnah neh BOEIPA koehnah ni ka thui eh. Amih kah haidamnah bangla amah kah sitlohnah cangpai neh Israel imkhui te thennah neh muep a thuung.
8 Alisema, “Hakika wao ni watu wangu, wana ambao hawatanidanganya”; hivyo akawa Mwokozi wao.
“Amih ka pilnam he tah camoe khaw rhilat mahpawh,” a ti coeng dongah BOEIPA tah amih aka khang la om coeng.
9 Katika taabu zao zote naye alitaabika, na malaika wa uso wake akawaokoa. Katika upendo wake na rehema zake aliwakomboa, akawainua na kuwachukua siku zote zilizopita.
Amih kah citcai boeih dongahBOEIPAamah ham khaw khobing sut. A mikhmuh kah puencawn loh amih te a khang. A lungnah neh a thinphatnah dongah amih te a tlan. Khosuen lamkah hnin takuem amih te a poeh tih amih te a ludoeng.
10 Lakini waliasi, na kumhuzunisha Roho Mtakatifu wake. Hivyo aligeuka na kuwa adui yao, na yeye mwenyewe akapigana dhidi yao.
Tedae amih loh amah kah Mueihla cim te a koek tih kothae a paekuh. Te dongah amih taengla mael tih thunkha bangla amih te amah loh a vathoh thil.
11 Ndipo watu wake wakazikumbuka siku zilizopita, siku za Mose na watu wake: yuko wapi yeye aliyewaleta kupitia katikati ya bahari, pamoja na wachungaji wa kundi lake? Yuko wapi yule aliyeweka Roho wake Mtakatifu katikati yao,
Khosuen tue kah a pilnam Moses a thoelh. Amih te a boiva aka dawn neh tuipuei lamloh aka khuen te melae? A kotak ah a Mueihla Cim te aka khueh te melae?
12 aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu kuwa katika mkono wa kuume wa Mose, aliyegawa maji ya bahari mbele yao, ili kujipatia jina milele,
Amah kah boeimang bantha te Moses bantang ah aka pongpa sak, amah kah kumhal ming dang sak ham amih mikhmuh lamkah tui aka phih.
13 aliyewaongoza kupitia kwenye vilindi? Kama farasi katika nchi iliyo wazi, wao hawakujikwaa,
Amih te khosoek ah marhang bangla tuidung longah a mawt dae paloe uh pawh.
14 kama ngʼombe washukao bondeni kwenye malisho, walipewa pumziko na Roho wa Bwana. Hivi ndivyo ulivyowaongoza watu wako ili kujipatia mwenyewe jina tukufu.
Kolbawn la aka suntla rhamsa bangla BOEIPA Mueihla loh anih a duem sak. Boeimang ming te namah hut la khueh ham ni na pilnam khaw na hmaithawn tangloeng.
15 Tazama chini kutoka mbinguni ukaone kutoka kiti chako cha enzi kilichoinuliwa juu, kitakatifu na kitukufu. Uko wapi wivu wako na uweza wako? Umetuzuilia wema wako na huruma zako.
Vaan lamloh paelki lamtah na imhmuen cim lamloh hmuh lah. Na boeimang neh na thatlainah na thayung thamal melae? Na ko a hah neh na haidamnah he kai taengah thiim uh.
16 Lakini wewe ni Baba yetu, ingawa Abrahamu hatufahamu sisi wala Israeli hatutambui; wewe, Ee Bwana, ndiwe Baba yetu, Mkombozi wetu tangu zamani za kale ndilo jina lako.
Kaimih napa tah namah pai ni. Abraham loh kaimih m'ming moenih. Israel long khaw kaimih m'hmat moenih. Kaimih napa he Yahovah namah ni. Khosuen lamloh kaimih aka tlan khaw namah ming ni.
17 Ee Bwana, kwa nini unatuacha twende mbali na njia zako, na kuifanya mioyo yetu migumu hata hatukukuheshimu? Rudi kwa ajili ya watumishi wako, yale makabila ambayo ni urithi wako.
BOEIPA aw balae tih na longpuei lamloh kaimih kho nan hmang sak. Namah hinyahnah lamloh kaimih lungbuei na hit sak. Na rho koca na sal rhoek ham ha mael laeh.
18 Kwa maana kwa muda mfupi watu wako walimiliki mahali pako patakatifu, lakini sasa adui zetu wamepakanyaga mahali patakatifu pako.
Namah kah pilnam cim kolkalh a pang uh vaengah kaimih kah rhal rhoek loh na rhokso te a suntlae uh.
19 Sisi tumekuwa kama wale ambao hujawatawala kamwe, kama wale ambao hawajaitwa kwa jina lako.
Khosuen lamkah ka om uh coeng dae amih soah na taemrhai pawt dongah amih taengah na ming te khue van pawh. Vaan ke na phen koinih na mikhmuh ah na suntlak sak vetih tlang rhoek khaw moelh uh sue.

< Isaya 63 >