< Isaya 63 >

1 Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu, kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu? Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari, anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake? “Mimi ndimi, nisemaye katika haki, mwenye nguvu wa kuokoa.”
“Dunu amo da Bosela moilai bai bagade Idome soge ganodini manebe da nowa dunula: ? Dunu amo da maga: me abula amoga gasisa: lili, gasawane mogodigili manebe da nowa dunula: ? Amo da Hina Gode, gasa bagade gaga: musa: esala. E da Ea hasalasu hou sisia: musa: maha.
2 Kwa nini mavazi yako ni mekundu, kama ya yule akanyagaye shinikizo la zabibu?
Ea abula da abuliba: le maga: me agoane gala. E da dunu amo da waini hano hamoma: ne waini fage ososa: gisa amo ea abula agoai ba: sa.
3 “Nimekanyaga shinikizo la zabibu peke yangu; kutoka mataifa hakuna mtu aliyekuwa pamoja nami. Nimewaponda kwa miguu katika hasira yangu na kuwakanyaga chini katika ghadhabu yangu; damu yao ilitia matone kwenye mavazi yangu, na kutia madoa nguo zangu zote.
Hina Gode da amane adole iaha, “Na da fifi asi gala waini fage agoane ososa: gi dagoi. Amola dunu afae da Na fidimusa: hame misi. Na da ilima ougiba: le, ili ososa: gi amola ilia maga: me da Na abula damana adagala: le ledo hamoi.
4 Kwa kuwa siku ya kisasi ilikuwa moyoni mwangu, mwaka wa ukombozi wangu umefika.
Na dawa: i da eso amoga Na da Na fi gaga: musa: amola ilia ha lai ilima se imunusa: , amo ilegei eso da doaga: i dagoi.
5 Nilitazama, lakini hakuwepo yeyote wa kunisaidia, nilishangaa kwa kuwa hakuwepo yeyote aliyetoa msaada; hivyo mkono wangu wenyewe ndio ulionifanyia wokovu, na ghadhabu yangu mwenyewe ndiyo iliyonitegemeza.
Be dunu afae da Na fidimusa: hame esala amo ba: loba, Na da bagade fofogadigi. Be Na ougiba: le gasa lai dagoi, amola Na fawane da hasanasi dagoi.
6 Nilikanyaga mataifa kwa miguu katika hasira yangu, katika ghadhabu yangu niliwalewesha, na kumwaga damu yao juu ya ardhi.”
Na da ougili, fifi asi gala ilima ososa: gi, amola ili goudane wadela: lesi. Na da ilia esalusu maga: me osoboga sogadigi.”
7 Nitasimulia juu ya wema wa Bwana, kwa matendo ambayo apaswa kusifiwa, sawasawa na yote ambayo Bwana ametenda kwa ajili yetu: naam, mambo mengi mema aliyoyatenda kwa ajili ya nyumba ya Israeli, sawasawa na huruma zake na wema wake mwingi.
Na da Hina Gode Ea mae fisili asigidafa hou olelemu. E da nini bagadedafa fidibiba: le, na da Ema nodosa. E da Isala: ili fi dunu ilima hahawane hou bagade hamosu. Bai E da mae fisili asigilala, amola E da gogolema: ne olofosu dawa:
8 Alisema, “Hakika wao ni watu wangu, wana ambao hawatanidanganya”; hivyo akawa Mwokozi wao.
Hina Gode da amane sia: i, “Ilia da Na fi dunu. Ilia da Nama hame ogogomu.” Amaiba: le, E da ili bu se mae nabima: ne, ili gaga: i.
9 Katika taabu zao zote naye alitaabika, na malaika wa uso wake akawaokoa. Katika upendo wake na rehema zake aliwakomboa, akawainua na kuwachukua siku zote zilizopita.
A: igele dunu da ili hame gaga: i, be Hina Gode Hisu da ili gaga: i. E da ilima asigiba: le amola ili gogolema: ne olofomusa: dawa: beba: le, ili gaga: i. E da musa: mae fisili, ili ouligisu.
10 Lakini waliasi, na kumhuzunisha Roho Mtakatifu wake. Hivyo aligeuka na kuwa adui yao, na yeye mwenyewe akapigana dhidi yao.
Be ilia da Ea sia: higa: iba: le, Ema odoga: beba: le, E da da: i dioi galu. Amaiba: le, E da ilima ha laiwane hamoi amola ilima gegei.
11 Ndipo watu wake wakazikumbuka siku zilizopita, siku za Mose na watu wake: yuko wapi yeye aliyewaleta kupitia katikati ya bahari, pamoja na wachungaji wa kundi lake? Yuko wapi yule aliyeweka Roho wake Mtakatifu katikati yao,
Be fa: no ilia da musa: hou bu dawa: i. Ilia da Mousese, Hina Gode Ea hawa: hamosu dunu, amo ea hou bu dawa: i, amola ilia da amane adole ba: i, “Hina Gode amo da musa: Ea fi dunu ouligisu dunu hanoga mae na dagoma: ne gaga: i, E da wali habila: ? Hina Gode Ea A: silibu Mousesema i, amo da habila: ?
12 aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu kuwa katika mkono wa kuume wa Mose, aliyegawa maji ya bahari mbele yao, ili kujipatia jina milele,
13 aliyewaongoza kupitia kwenye vilindi? Kama farasi katika nchi iliyo wazi, wao hawakujikwaa,
Hina Gode da Ea gasaga, Mousese fidi. E da hano wayabo bagade afafane, Ea fi hahawane masa: ne, logo fodoi. Amo hamobeba: le, dunu huluane Ea gasa bagade Dio dawa: i galu. Amo Hina Gode da habila: ?” Hina Gode da Ea fi oule ahoabeba: le, ilia da sigua hosi defele, dafasu hame dawa: i galu.
14 kama ngʼombe washukao bondeni kwenye malisho, walipewa pumziko na Roho wa Bwana. Hivi ndivyo ulivyowaongoza watu wako ili kujipatia mwenyewe jina tukufu.
Dunu da bulamagau amo nasegagi fago amoga oule ahoasea, ilia da helefisu ba: sa. Amo defele, Hina Gode da Ea fi dunu ilima helefisu i. E da Ea fi dunu oule asi, amola Ea hamobeba: le, ilia da Ea Dioba: le nodosu.
15 Tazama chini kutoka mbinguni ukaone kutoka kiti chako cha enzi kilichoinuliwa juu, kitakatifu na kitukufu. Uko wapi wivu wako na uweza wako? Umetuzuilia wema wako na huruma zako.
Hina Gode! Di da Hebene soge amo ganodini hadigi amola moloidafa esala. Ninia hou ba: ma! Di da ninima asigibala: ? Dia gasa bagade hou da habila: ? Di da ninia hou gogolema: ne olofoma: bela? Ninima mae higa: ma!
16 Lakini wewe ni Baba yetu, ingawa Abrahamu hatufahamu sisi wala Israeli hatutambui; wewe, Ee Bwana, ndiwe Baba yetu, Mkombozi wetu tangu zamani za kale ndilo jina lako.
Di da ninia ada! Ninia aowalali amo A: ibalaha: me amola Ya: igobe amola da nini hame dawa: , be Di, Hina Gode, da ninia ada amola Di da eso huluane nini gaga: su.
17 Ee Bwana, kwa nini unatuacha twende mbali na njia zako, na kuifanya mioyo yetu migumu hata hatukukuheshimu? Rudi kwa ajili ya watumishi wako, yale makabila ambayo ni urithi wako.
Ninia da eso huluane Dia logo fisimusa: dawa: lala. Be Di da abuliba: le ninia logo hame ga: sisala: ? Ninia da sia: mae nabawane, Di higasa amo ninia hamoma: ne, Di abuliba: le ninia hou agoane hamosala: ? Hina Gode! Di bu misa! Bai mogili ninia da Dia hawa: hamosa. Ninia mogili da eso huluane Dia fi esalu. Di ninima bu misa!
18 Kwa maana kwa muda mfupi watu wako walimiliki mahali pako patakatifu, lakini sasa adui zetu wamepakanyaga mahali patakatifu pako.
Ninia ha lai dunu ilia da nini, Dia hadigi fi dunu, gadili sefasi dagoi. Ilia da Dia Debolo amoga ososa: gi dagoi.
19 Sisi tumekuwa kama wale ambao hujawatawala kamwe, kama wale ambao hawajaitwa kwa jina lako.
Be Di da ninima hamedafa ouligi, amo defele Di hamosa. Amola ninia da Dia fi dunu hame esalu, amo defele Dia da nini ba: sa.

< Isaya 63 >