< Isaya 61 >
1 Roho wa Bwana Mwenyezi yu juu yangu, kwa sababu Bwana amenitia mafuta kuwahubiria maskini habari njema. Amenituma kuwaganga waliovunjika moyo, kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari za kufunguliwa kwao;
Hina Gode Ouligisudafa da Ea A: silibu Ida: iwane Gala, amo na ouligima: ne, nama i dagoi. E da na ilegei amola na asunasi dagoi. Na da hame gagui dunu ilima sia: ida: iwane olelema: ne, amola da: i dioi bagade dunu ilia dogo denesima: ne, amola si dofoi dunu amo ilia siga bu ba: ma: ne, amola se iasu diasuga sali dunu ilia logo doasima: ne, E da na asunasi dagoi.
2 kutangaza mwaka wa Bwana uliokubaliwa, na siku ya kisasi ya Mungu wetu, kuwafariji wote waombolezao,
E da na osobo bagade dunu ilima olelema: ne asunasi dagoi. Amo eso amoga Hina Gode da Ea fi dunu gaga: mu, amola ilia ha lai amo hasanasili, dabe imunu, amo olelema: ne, E da na asunasi. Amola nowa da da: i dioiba: le dinana, amo ilia dogo denesima: ne, E da na asunasi.
3 na kuwapa mahitaji wale wanaohuzunika katika Sayuni, ili kuwapa taji ya uzuri badala ya majivu, mafuta ya furaha badala ya maombolezo, vazi la sifa badala ya roho ya kukata tamaa. Nao wataitwa mialoni ya haki, pando la Bwana, ili kuonyesha utukufu wake.
Hina Gode da Ea fi dunu, ilia da wali Saione amo ganodini dinana amo ilia da: i dioi fadegale, hahawane hou imunu. E da ilia dinanebe afadenene, ilima nodosu gesami hea: su imunu. Ilia da ifa noga: i, Hina Gode Ea bugi liligi defele ba: mu. Ilia moloidafa hou fawane hamomu, amola dunu huluane da Gode Ea hamoiba: le, Ema nodomu.
4 Watajenga upya magofu ya zamani na kupatengeneza mahali palipoachwa ukiwa zamani; watafanya upya miji iliyoharibiwa, iliyoachwa ukiwa kwa vizazi vingi.
Moilai bai bagade amo da eso bagohame mugululi wadela: lesi dagoi ba: i, amo ilia da bu gagumu.
5 Wageni watayachunga makundi yenu, wageni watafanya kazi katika mashamba yenu, na kutunza mashamba yenu ya mizabibu.
Na fi dunu! Ga fi dunu da dilia hawa: hamosu hamomu. Ilia da dilia ohe wa: i ouligimu, amola dilia ifabi amola waini efe sagai ouligimu.
6 Nanyi mtaitwa makuhani wa Bwana, mtaitwa watumishi wa Mungu wetu. Mtakula utajiri wa mataifa, nanyi katika utajiri wao mtajisifu.
Amola dilia da Hina Gode Ea gobele salasu dunu amola Gode Ea hawa: hamosu dunu esala, amo dunu huluane da dawa: mu. Dilia da fifi asi gala ilia gagui liligi huluane, amo dilia da hahawane gagumu.
7 Badala ya aibu yao watu wangu watapokea sehemu maradufu, na badala ya fedheha watafurahia katika urithi wao; hivyo watarithi sehemu maradufu katika nchi yao, nayo furaha ya milele itakuwa yao.
Dilia gogosiasu da dagoi. Dilia da dilia sogedafa amo ganodini esalumu. Dilia wali gagui da baligili, aduna agoane gagui dagoi ba: mu. Amola dilia hahawane hou da mae fisili, eso huluane dialalalumu.
8 “Kwa maana Mimi, Bwana, napenda haki, na ninachukia unyangʼanyi na uovu. Katika uaminifu wangu nitawapa malipo yao na kufanya agano la milele nao.
Hina Gode da amane sia: sa, “Na da moloidafa hou bagade hanai amola dunu se iasu amola wadela: i hou bagade higasa. Na da dafawane Na fi dunu ilima noga: i bidi imunu, amola gousa: su gaheabolo eso huluane dialulaloma: ne ilima hamomu.
9 Wazao wao watajulikana miongoni mwa mataifa, na uzao wao miongoni mwa kabila za watu. Wale wote watakaowaona watatambua kuwa ni taifa ambalo Bwana amelibariki.”
Ilia da fifi asi gala amo ganodini sogebi gadodafa lamu. Dunu huluane da Na da Na fi ilima hahawane bagade hamosu, amo ilia da dawa: mu.”
10 Ninafurahia sana katika Bwana, nafsi yangu inashangilia katika Mungu wangu. Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu, na kunipamba kwa joho la haki, kama vile bwana arusi apambavyo kichwa chake kama kuhani, na kama bibi arusi ajipambavyo kwa vito vyake vya thamani.
Hina Gode Ea hamoiba: le, Yelusaleme da hahawane bagade hamosa. E da uda e gaguli labe amoga hahawane ahoabe agoane ba: sa. Fedege agoane, Gode da gaga: su hou amola hasalasu hou amo abula agoane Yelusaleme amoma idiniginisi.
11 Kwa maana kama vile ardhi ifanyavyo chipukizi kuota, na bustani isababishavyo mbegu kuota, ndivyo Bwana Mwenyezi atafanya haki na sifa zichipuke mbele ya mataifa yote.
Ha: i manu hawa: da fudagala: le, sono heda: le, amola heda: sa. Amo defele, Hina Gode Ouligisudafa da Ea fi gaga: mu. Amola fifi asi gala dunu huluane da Ema nodomu.