< Isaya 60 >
1 “Ondoka, angaza, kwa kuwa nuru yako imekuja na utukufu wa Bwana umezuka juu yako.
Fedege agoane, Yelusaleme, di wa: legadole, eso agoane diga: ma. Hina Gode Ea hadigi da dima hadigisa.
2 Tazama, giza litaifunika dunia na giza kuu litayafunika mataifa, lakini Bwana atazuka juu yako na utukufu wake utaonekana juu yako.
Fifi asi gala eno da gasi dunasi amoga dedeboi dagoi ba: mu. Be Hina Gode Ea hadigi da dima hadigimu. Ea hadigi esalebe da dima dafulili lelumu.
3 Mataifa watakuja kwenye nuru yako na wafalme kwa mwanga wa mapambazuko yako.
Fifi asi gala fi da dia hadigi ba: sea, dima gilisimusa: dawa: mu. Amola dia hou da hehebolo mabe galu defele, amo ba: sea, hina bagade ilia da dima gilisimusa: dawa: mu.
4 “Inua macho yako na utazame pande zote: Wote wanakusanyika na kukujia, wana wako wanakuja toka mbali, nao binti zako wanabebwa mikononi.
Hou wali hamonana, amo ba: ma: ne ba: le gagama. Dia fi dunu da buhagimusa: gilisisa. Dia gofelali da soge sedaga ganini buhagimu. Didiwi da mano fonobahadi defele, enoga ouga: ne, oule misunu ba: mu.
5 Ndipo utatazama na kutiwa nuru, moyo wako utasisimka na kujaa furaha, mali zilizo baharini zitaletwa kwako, utajiri wa mataifa utakujilia.
Di da amo ba: sea, hahawane bagade ba: mu. Di da hahawane fofogadigiba: le, yagugumu. Bagade gagui fifi asi gala ilia liligi da dilima gaguli manebe ba: mu. Soge amo da hano wayabo bagade na: iyadodili diala, amoga ilia liligi noga: i dima gaguli manebe ba: mu.
6 Makundi ya ngamia yatajaa katika nchi yako, ngamia vijana wa Midiani na Efa. Nao wote watokao Sheba watakuja, wakichukua dhahabu na uvumba na kutangaza sifa za Bwana.
Ga: mele dada: lesu bagade da Midia: ne amola Ifa amola Siba amoga gouli amola gabusiga: manoma liligi gaguli manebe ba: mu. Dunu da sia: ida: iwane gala amo Hina Gode Ea hamobe, amo fifi asi gala ilima hahawane adomu.
7 Makundi yote ya Kedari yatakusanyika kwako, kondoo dume wa Nebayothi watakutumikia, watakubalika kama sadaka juu ya madhabahu yangu, nami nitalipamba Hekalu langu tukufu.
Gida amola Nebaiode dunu da ilia sibi huluane amo Hina Gode hahawane ba: ma: ne, ‘oloda’ da: iya gobele salimusa: dilima gaguli misunu. Hina Gode da Ea Debolo bu hahamomu. Amola ea gaheabolo hadigi da musa: hadigi baligi dagoi ba: mu.
8 “Ni nani hawa warukao kama mawingu, kama hua kuelekea kwenye viota vyao?
Na da adi liligi manebe ba: sala: ? Ilia da dusagai, amo da mu mobi hehenabe, amola “dafe” sio amo ea diasuga buhagisia hehenabe, agoai ba: sa.
9 Hakika visiwa vinanitazama, merikebu za Tarshishi ndizo zinazotangulia, zikiwaleta wana wenu kutoka mbali, wakiwa na fedha na dhahabu zao, kwa heshima ya Bwana, Mungu wenu, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, kwa maana amekujalia utukufu.
Ilia da dusagai amo da Gode Ea fi dunu soge sedaga esalu, amo ilia sogedafa amoga buhagimusa: , gaguli manebe ba: sa. Ilia da Hina Gode amo Ea Dio amoma nodomusa: , silifa amola gouli gaguli maha. Ilia da Isala: ili ilia Hadigi Gode (Ea hamobeba: le, osobo bagade fifi asi gala huluane da Ea fi ilima nodomu) Ema nodomusa: maha.
10 “Wageni watazijenga upya kuta zako, na wafalme wao watakutumikia. Ingawa katika hasira nilikupiga, lakini katika upendeleo wangu nitakuonyesha huruma.
Hina Gode da fedege agoane, Yelusaleme amoma amane sia: sa, “Ga fi dunu da dia gagoi bu gagumu, amola ilia hina bagade, ilia da dima hawa: hamosu dunu agoane ba: mu. Na da ougiba: le, dima se iasu. Be wali Na da Na asigi hou amola gogolema: ne olofosu dima olelemu.
11 Malango yako yatakuwa wazi siku zote, kamwe hayatafungwa, mchana wala usiku, ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa: wafalme wao wakiongoza maandamano ya ushindi.
Fifi asi gala hina bagade ilia da dima ilia noga: i liligi gaguli misa: ne, dia logo ga: su da gasia amola esoga hamedafa ga: si ba: mu.
12 Kwa maana taifa au ufalme ule ambao hautakutumikia utaangamia; utaharibiwa kabisa.
Be fifi asi gala amo ilia da dima hawa: hame hamosea, ilia da wadela: lesi dagoi ba: mu.
13 “Utukufu wa Lebanoni utakujilia, msunobari, mvinje pamoja na mteashuri, ili kupapamba mahali pangu patakatifu, nami nitapatukuza mahali pa miguu yangu.
Ilia da ifa baligili noga: idafa amo “saibalase” amola ‘yuniba’ amola ‘baine’ amo Lebanone sogega, di Yelusaleme bu gagumusa: , amola Na Debolo Diasu bu noga: musa: , amola Na moilai hadigi lamusa: , gaguli misunu.
14 Wana wa wale waliokuonea watakuja wakisujudu mbele yako, wote wanaokudharau watasujudu kwenye miguu yako, nao watakuita Mji wa Bwana, Sayuni ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.
Dunu amo da musa: dima se iasu, amo ilia egefe da misini, ilia dilima nodosu olelema: ne, gududafa begudumu. Dunu da musa: dima higasu, ilia da dia emo gadenene midadili gudu gala: la sa: ili, dilima nodomu. Ilia da dima amane sia: mu, ‘Hina Gode Ea Moilai Bai Bagade’ amola ‘Saione da Isala: ili Fi ilia Hadigi Hina Gode, Ea Moilai Bai Bagade.’
15 “Ingawa umeachwa na kuchukiwa, bila yeyote anayesafiri ndani yako, nitakufanya kuwa fahari ya milele, na furaha ya vizazi vyote.
Di da moilai bai bagade yaloi dialu, amola dunu eno ilia da di higa: i. Di da wadela: lesi dagoi ba: i. Be amo hou fisili, Na da di afadenene, bu bagade amola noga: i ba: su amo di bu hahamomu. Amasea, di da eso huluane hahawane hou fawane ba: mu.
16 Utanyonya maziwa ya mataifa, na kunyonyeshwa matiti ya wafalme. Ndipo utakapojua kwamba Mimi, Bwana, ni Mwokozi wako, Mkombozi wako, niliye Mwenye Nguvu wa Yakobo.
Fifi asi gala amola hina bagade, ilia da ame da ea manoma dodo maga: me iaha, amo defele di asigiliwane ouligimu. Amola Na, Hina Gode, da dili gaga: i dagoi, amo dilia dawa: mu. Amola Isala: ili Gode Bagadedafa da di halegale masa: ne, dia se iasu diasu logo doasi dagoi, amo di da dawa: mu.
17 Badala ya shaba nitakuletea dhahabu, na fedha badala ya chuma. Badala ya mti nitakuletea shaba, na chuma badala ya mawe. Nitafanya amani kuwa mtawala wako, na haki kuwa mfalme wako.
Na da dia ‘balase’ lale, bu gouli noga: i amo dima gaguli misunu. Amola Na da dia ouli amola ifa lale bu silifa amola ‘balase’ noga: i dima gaguli misunu. Amola Na da dia igi lale bu ouli noga: i dima gaguli misunu. Dia ouligisu dunu da dima se bu hame imunu. Na hamobeba: le, ilia da moloidafa amola olofoiwane fofada: nanu, noga: le ouligimu.
18 Jeuri hazitasikika tena katika nchi yako, wala maangamizi au uharibifu ndani ya mipaka yako, lakini utaita kuta zako Wokovu, na malango yako Sifa.
Dia da gegesu halasu bu hame nabimu. Dia soge da bu wadela: lesi hame ba: mu. Na da di ouligimu, amola gasa bagade gagoi ea gaga: i defele, di gaga: mu. Amola Na da di gaga: iba: le, dia da Nama nodomu.
19 Jua halitakuwa tena nuru yako mchana, wala mwangaza wa mwezi hautakuangazia, kwa maana Bwana atakuwa nuru yako ya milele, naye Mungu wako atakuwa utukufu wako.
Eso da esomogoa hadigisa. Be amo esoga, eso da dima bu hame hadigimu amola gasia, oubi da dima bu hame hadigimu. Bai Na, Hina Gode da dima eso huluane hadigilalumu. Na gadodafa hadigi hou da dima hadigiwane dialumu.
20 Jua lako halitazama tena, nao mwezi wako hautafifia tena; Bwana atakuwa nuru yako milele, nazo siku zako za huzuni zitakoma.
Dia da: i diosu eso da dagomu. Na, Hina Gode da dima eso huluane hadigilalumu. Eso amola oubi amola da dagomu. Be Na hadigi da hamedafa dagomu.
21 Ndipo watu wako wote watakuwa waadilifu, nao wataimiliki nchi milele. Wao ni chipukizi nililolipanda, kazi ya mikono yangu, ili kuonyesha utukufu wangu.
Dia fi dunu da hou moloidafa fawane hamomu amola ilia da eso huluane Isala: ili soge gagulalumu. Na da Na gasa bagade hou amoga Na fi hahamoi amola Isala: ili sogega ili bugi dagoi, dunu huluane da ba: mu.
22 Aliye mdogo kwenu atakuwa elfu, mdogo kuliko wote atakuwa taifa lenye nguvu. Mimi ndimi Bwana; katika wakati wake nitayatimiza haya upesi.”
Amola dia baligili fonobahadidafa sosogo fi da alele, gasa bagade fifi asi gala defele ba: mu. Na ilegei eso da doaga: sea, Na da amo hedolowane hamomu. Na da Hina Gode!