< Isaya 59 >

1 Hakika mkono wa Bwana si mfupi hata usiweze kuokoa, wala sikio lake si zito hata lisiweze kusikia.
Hina Gode da gasa hameba: le dili gaga: mu da hamedei o ge ga: iba: le dilia fidima: ne wele sia: su nabimu gogolei, amo mae dawa: ma.
2 Lakini maovu yenu yamewatenga ninyi na Mungu wenu, dhambi zenu zimewaficha ninyi uso wake, ili asisikie.
Dilia da wadela: i hou hamobeba: le fawane, E da dilia wele sia: su hame naba. Amola dilia Ema nodone sia: ne gadomusa: dawa: sea, dilia wadela: i hou da dili Godema afafasa.
3 Kwa maana mikono yenu imetiwa mawaa kwa damu na vidole vyenu kwa hatia. Midomo yenu imenena uongo, nazo ndimi zenu zimenongʼona mambo maovu.
Dilia da ogogosu hou, amola gegesu hou, amola medole legesu hou, bagade dawa:
4 Hakuna hata mmoja anayedai kwa haki; hakuna hata mmoja anayetetea shauri lake kwa haki. Wanategemea mabishano matupu na kusema uongo, huchukua mimba ya magomvi na kuzaa uovu.
Dilia da fofada: musa: ahoa, be moloidafa hou hame dawa: Fofada: su amo ganodini, dilia da eno dunuma baligimusa: , bagadewane ogogosa. Dilia da eno dunuma se ima: ne ilegesa.
5 Huangua mayai ya nyoka wenye sumu kali na kutanda wavu wa buibui. Yeyote alaye mayai yao atakufa, na wakati moja lianguliwapo, nyoka hutoka humo.
6 Utando wao wa buibui haufai kwa nguo; hawawezi kujifunika kwa kile walichokitengeneza. Matendo yao ni matendo maovu, vitendo vya jeuri vipo mikononi mwao.
Dilia wadela: i ilegesu da medosu saya: be ea oso defele, bogosu liligi gala. Oso goudasea, saya: be da gadili maha! Be dilia wadela: i ilegesu da dili hame fidimu. Ilia da abula amo afalea diasu amoga hamoi agoane hamedei liligi.
7 Miguu yao hukimbilia kwenye dhambi, ni myepesi kumwaga damu isiyo na hatia. Mawazo yao ni mawazo maovu; uharibifu na maangamizi huonekana katika njia zao.
Dilia da eso huluane wadela: le hamomusa: gini ilegesa, amola amo hamoma: ne, hanaiwane esala. Dilia da wadela: i hame hamosu noga: i dunu amo medole legemusa: hame higasa. Dilia ahoasea, liligi huluane da mugului amola wadela: lesi dagoi ba: sa,
8 Hawajui njia ya amani, hakuna haki katika mapito yao. Wameyageuza kuwa njia za upotovu, hakuna apitaye njia hizo atakayeifahamu amani.
amola dilia esalea, dunu eno da gaga: su hame dawa: Dilia hou huluane da moloi hame. Dilia da gugaloi logo amoga ahoa, amola nowa dunu da amo logoga ahoasea, da gaga: su hame dawa: mu.
9 Hivyo uadilifu uko mbali nasi, nayo haki haitufikii. Tunatazamia nuru, kumbe! Yote ni giza, tunatazamia mwanga, lakini tunatembea katika giza kuu.
Dunu da amane sia: sa, “Dafawane! Ninia wadela: i hou hamobeba: le, Gode da ninima banenesisu dunu ilima hame gaga: sa. Ninia da hadigi ganodini masusa: hanai gala, be gasi fawane ba: sa.
10 Tunapapasa ukuta kama kipofu, tunapapasa katika njia zetu kama watu wasio na macho. Adhuhuri tunajikwaa kama wakati wa gizagiza; katikati ya wenye nguvu, tuko kama wafu.
Ninia da si dofoi dunu defele, logo hogomusa: ahoa. Ninia da gasi ganodini ahoabe defele, amola bogosu gasi dunasi sogebi ganodini ahoabe defele, esomogoa dafasa.
11 Wote tunanguruma kama dubu; tunalia kwa maombolezo kama hua. Tunatafuta haki, kumbe hakuna kabisa; tunatafuta wokovu, lakini uko mbali.
Ninia da beda: i bagade amola se naba. Ninia da Gode nini se nabasu amola wadela: i hou amoga gaga: ma: ne bagade hanai gala, be Ea gaga: su hame ba: sa.
12 Kwa sababu makosa yetu ni mengi machoni pako, na dhambi zetu zinashuhudia dhidi yetu. Makosa yetu yako pamoja nasi daima, nasi tunayatambua maovu yetu:
Hina Gode! Ninia da wadela: i hou bagohame Dima hamosu. Ninia wadela: i hou da ninima diwaneya udidisu agoane. Ninia wadela: i hou huluane ninia dawa: dagoi.
13 Uasi na udanganyifu dhidi ya Bwana, kumgeuzia Mungu wetu kisogo, tukichochea udhalimu na maasi, tukinena uongo ambao mioyo yetu imeuhifadhi.
Ninia da Dima odoga: i amola Di higa: i amola Dima fa: no bobogemu higa: i dagoi. Ninia da eno dunuma se ima: ne hasanasi, amola Dima baligi fa: su. Ninia asigi dawa: su da ogogosu fawane amola ninia lafi amoga ogogosu sia: fawane sia: sa.
14 Hivyo uadilifu umerudishwa nyuma, nayo haki inasimama mbali, kweli imejikwaa njiani, uaminifu hauwezi kuingia.
Ninia da moloi hou sefasi dagoi, amola hou noga: i da ninima hamedei agoane ba: sa. Dafawane hou da moilai amo ganodini dafasa, amola moloidafa hou da dialoma: ne sogebi hame ba: sa.
15 Kweli haipatikani popote, na yeyote aepukaye uovu huwa mawindo. Bwana alitazama naye akachukizwa kwamba hapakuwepo haki.
Moloidafa hou da hamedafa gala. Amaiba: le, nowa da wadela: i hou eno dunuma hamosu yolesisia, eno dunu da ema wadela: le hamomu.” Hina Gode da amo hou huluane ba: i dagoi. Amola moloidafa hou da hameba: le, E da hahawane hame.
16 Aliona kuwa hakuwepo hata mtu mmoja, akashangaa kwamba hakuwepo hata mmoja wa kuingilia kati; hivyo mkono wake mwenyewe ndio uliomfanyia wokovu, nayo haki yake mwenyewe ndiyo iliyomtegemeza.
Dunu da se naba banenesi dunu amo fidimusa: da hame, amola Hina Gode da amo ba: beba: le, fofogadigisa. Amaiba: le, E da Hi gasaga amo dunu gaga: mu, amola ilia ha lai hasanasimu.
17 Alivaa haki kama dirii kifuani mwake, na chapeo ya wokovu kichwani mwake, alivaa mavazi ya kisasi naye akajifunga wivu kama joho.
E da moloidafa hou gaga: su bulu agoane idiniginisimu, amola hasalasu hou gaga: su habuga agoane figisimu. E da wadela: i hou bu hahamomusa: , amola wadela: i hamosu dunuma se dabe imunusa: , bagade hanai gala.
18 Kulingana na kile walichokuwa wametenda, ndivyo atakavyolipa ghadhabu kwa watesi wake na kisasi kwa adui zake, atavilipa visiwa sawa na wanavyostahili.
E da Ea ha lai dunu, gadenene amola soge sedagaga esala, ilima ilia wadela: i hou hamoi defele se bidi imunu.
19 Kuanzia magharibi, watu wataliogopa jina la Bwana na kuanzia mawio ya jua, watauheshimu utukufu wake. Wakati adui atakapokuja kama mafuriko, Roho wa Bwana atainua kiwango dhidi yake na kumshinda.
Soge gusugoe asili, gududili doaga: le, dunu huluanedafa da Ema amola Ea gasa bagade hou amoma beda: mu. E da hehenasu hano amola gasa bagade isu defele, manebe ba: mu.
20 “Mkombozi atakuja Sayuni, kwa wale wa Yakobo wanaozitubu dhambi zao,” asema Bwana.
Hina Gode da Ea fi ilima amane sia: sa, “Na da Yelusalemega dili fidimusa: misunu. Amola nowa da ea wadela: i hou fisili, Nama sinidigisia, Na da amo dunu gaga: musa: misunu.
21 “Kwa habari yangu mimi, hili ndilo agano langu nao,” asema Bwana. “Roho wangu, aliye juu yenu, na maneno yangu ambayo nimeyaweka katika vinywa vyenu, havitaondoka vinywani mwenu, wala kutoka vinywani mwa watoto wenu, wala kutoka vinywani mwa wazao wao, kuanzia sasa na hata milele,” asema Bwana.
Amola Na da dilima gousa: su hamomu. Na da Na gasa hou amola Na olelesu amo dilia eso huluane gaguma: ne, dilima i dagoi. Wali amola fa: no amola, dilia Na sia: nabima. Amola dilia mano amola diligaga fi da Na sia: mae fisili eso huluane nabasu hou hamoma: ne, ilima olelema.”

< Isaya 59 >