< Isaya 58 >

1 “Piga kelele, usizuie. Paza sauti yako kama tarumbeta. Watangazieni watu wangu uasi wao, na kwa nyumba ya Yakobo dhambi zao.
Hina Gode da amane sia: sa, “Ha: giwane wele sia: ma! Na Isala: ili fi dunu ilia wadela: i hou ilima adoma.
2 Kwa maana kila siku hunitafuta, wanaonekana kutaka kujua njia zangu, kana kwamba walikuwa taifa linalotenda lililo sawa, na ambalo halijaziacha amri za Mungu wake. Hutaka kwangu maamuzi ya haki, nao hutamani Mungu awakaribie.
Ilia da eso huluane Nama nodosa. Ilia da Na hou dawa: mu hanai, amola Na sema amo nabawane hamomusa: hanai gala, ilisu da sia: sa. Na da ilima moloidafa malei imunusa: ilia da hanai, ilia da sia: sa. Amola ilia da Nama nodobeba: le, hahawane gala, amo ilia lafidili amane sia: sa.
3 Wao husema, ‘Mbona tumefunga, nawe hujaona? Mbona tumejinyenyekeza, nawe huangalii?’ “Lakini katika siku ya kufunga kwenu, mnafanya mnavyotaka na kuwadhulumu wafanyakazi wenu wote.
Na fi dunu da amane adole ba: sa, ‘Hina Gode da amo hame dawa: beba: le, ninia da abuliba: le ha: i mae nawane sia: ne gadoma: bela: ? Bai E da ninia hou hame ba: sa.’ Be Na da ilima bu adole iaha, ‘Dilia da ha: i mae nawane sia: ne gadosea, dilia da gilisili dili hanaiga hamosa amola dilia hawa: hamosu dunu ilima se iaha.
4 Kufunga kwenu huishia kwenye magomvi na mapigano, na kupigana ninyi kwa ninyi kwa ngumi za uovu. Hamwezi kufunga kama mnavyofanya leo na kutazamia sauti zenu kusikiwa huko juu.
Dilia ha: i hame nabeba: le, ougili sia: ga gegenanu amola gegesa. Na da amaiwane ha: i mae nawane hou ba: sea, dilia sia: ne gadosu nabima: bela: ? Hame mabu!
5 Je, hii ndiyo aina ya mfungo niliouchagua, siku moja tu ya mtu kujinyenyekeza? Je, ni kwa kuinamisha kichwa chini kama tete, na kwa kujilaza juu ya nguo ya gunia na majivu? Je, huo ndio mnaouita mfungo, siku iliyokubalika kwa Bwana?
Dilia da ha: i mae nawane sia: ne gadosea, dilia da se nabima: ne hamosa. Dilia dialuma amo gisi lubi defele guduli sa: ili, wadela: i abula amola nasubu legelalu, amo da: iya diaha. Amo da ha: i mae nawane sia: ne gadosu houdafala: ? Hame mabu! Na da agoaiwane ha: i mae nawane sia: ne gadosu hou hahawane hame ba: sa.
6 “Je, hii si ndiyo aina ya mfungo niliyoichagua: kufungua minyororo ya udhalimu, na kufungua kamba za nira, kuwaweka huru walioonewa, na kuvunja kila nira?
Be Na da ha: i mae nawane sia: ne gadosu hou eno hanai gala. Amo da dilia se ima: ne la: gisu eno dunuma fadegale, amola moloi hame hou fisili, se lai dunu hahawane halegale masa: ne, ilima banenesisu logo doasimu da defea.
7 Je, sio kushirikiana chakula chako na wenye njaa na kuwapatia maskini wasiokuwa na makao hifadhi, unapomwona aliye uchi, umvike, wala si kumkimbia mtu wa nyama na damu yako mwenyewe?
Dilia ha: i manu mogili eno ha: i bagade dunuma ima. Amola dunu amo da diasu hame gala, amo dunu dilia diasuga aowama. Dunu da abula hame ga: i, ilima abula ima, amola dilia sosogo fi dunu fidima: ne mae higama. Amo da ha: i mae nawane sia: ne gadosu houdafa.
8 Ndipo nuru yako itajitokeza kama mapambazuko na uponyaji wako utatokea upesi; ndipo haki yako itakapokutangulia mbele yako, na utukufu wa Bwana utakuwa mlinzi nyuma yako.
Amane hamosea, Na haha da hahabe mabe eso defele dilima hadigimu. Amola dilia fofa: gi da hedolo bahole uhi dagoi ba: mu. Na da eso huluane dili gaga: musa: , ani esalumu. Na da la: idi la: ididili huluane amoga dili gaga: mu.
9 Ndipo utaita, naye Bwana atajibu, utalia kuomba msaada, naye atasema: Mimi hapa. “Kama ukiiondoa nira ya udhalimu, na kunyoosha kidole na kuzungumza maovu,
Dilia da Nama sia: ne gadosea, Na da dilima bu adole imunu. Dilia da Nama wele sia: sea, Na da dili fidimusa: misunu. Dilia da gasa fili se iasu hou fisisia, amola enoma higasu hou fisisia, amola wadela: i sia: bu hamedafa sia: sea,
10 nanyi kama mkimkunjulia mtu mwenye njaa nafsi zenu na kutosheleza mahitaji ya walioonewa, ndipo nuru yenu itakapongʼaa gizani, nao usiku wenu utakuwa kama adhuhuri.
dilia da ha: i nabi dunuma ha: i manu iasea, amola hame gagui dunu sadima: ne, ilima liligi iasea, amasea gasi dunasi (dilia wali amo ganodini esala), amo da afadenene, bu esomogoa hadigi agoane ba: mu.
11 Bwana atakuongoza siku zote, atayatosheleza mahitaji yako katika nchi kame, naye ataitia nguvu mifupa yako. Utakuwa kama bustani iliyonyweshwa vizuri, kama chemchemi ambayo maji yake hayakauki kamwe.
Amola Na da mae yolele, dilima logo olelemu. Amola dili sadima: ne, liligi noga: i dilima imunu. Na hamobeba: le, dilia gasa bagade amola oloi hame gala agoane ba: mu. Dilia da nasegagi ifabi agoai ba: mu, amola hano si amo da hafoga: mu hamedei, agoaiwane ba: mu.
12 Watu wako watajenga tena magofu ya zamani na kuinua misingi ya kale; utaitwa Mwenye Kukarabati Kuta Zilizobomoka, Mwenye Kurejeza Barabara za Makao.
Dilia moilai diasu da ode bagohame mugului dagoi ba: i. Be dilia fi dunu da musa: bai amo da: iya, diasu bu gagumu. Amola eno dunu dilia hou olelema: ne da amane sia: mu, ‘Amo dunu fi da gagoi dobea mugului amo bu gagui dagoi. Amola ilia da diasu wadela: lesi amo huluane bu hahamoi.’”
13 “Kama ukitunza miguu yako isivunje Sabato, na kutokufanya kama vile upendavyo katika siku yangu takatifu, kama ukiita Sabato siku ya furaha na siku takatifu ya Bwana ya kuheshimiwa, kama utaiheshimu kwa kutoenenda katika njia zako mwenyewe, na kutokufanya yakupendezayo au kusema maneno ya upuzi,
Hina Gode da amane sia: sa, “Dilia da Sa: bade eso da sema noga: le dawa: sea, amola amo esoga dilia hanaiga hame hamosea, amola amo esoga hame hawa: hamobeba: le amola udigili sia: hame sia: beba: le, Na hadigi eso amoga nodosea,
14 ndipo utakapojipatia furaha yako katika Bwana, nami nitakufanya upande juu ya miinuko ya nchi na kusherehekea urithi wa Yakobo baba yako.” Kinywa cha Bwana kimenena haya.
amasea, dilia da Nama agoane hawa: hamobeba: le, hahawane bagade ba: mu. Amola Na da agoane hamomuba: le, fifi asi gala fi huluane da dilima nodomu. Amola dilia hahawane soge amo Na da dilia aowalali eda Ya: igobema i, amo ganodini esalumu. Na, Hina Gode, da sia: i dagoi.

< Isaya 58 >