< Isaya 57 >
1 Mwenye haki hupotea, wala hakuna hata mmoja awazaye hilo moyoni mwake; watu wanaomcha Mungu huondolewa, wala hakuna hata mmoja anayeelewa kuwa wenye haki wameondolewa ili wasipatikane na maovu.
Os justos perecem, e ninguém se preocupa com isso. Os homens misericordiosos são levados embora, e ninguém considera que o justo é tirado do mal.
2 Wale waendao kwa unyofu huwa na amani; hupata pumziko walalapo mautini.
Ele entra em paz. Eles descansam em suas camas, cada um que caminha em sua retidão.
3 “Lakini ninyi: Njooni hapa, ninyi wana wa wachawi, ninyi wazao wa wazinzi na makahaba!
“Mas aproximem-se aqui, seus filhos de uma feiticeira, seus descendentes de adúlteros e prostitutas.
4 Mnamdhihaki nani? Ni nani mnayemcheka kwa dharau, na kumtolea ndimi zenu? Je, ninyi si watoto wa waasi, uzao wa waongo?
De quem você escarnece? Contra quem você faz uma boca larga e colocar sua língua de fora? Vocês não são filhos da desobediência? e descendentes de falsidade,
5 Mnawaka tamaa katikati ya mialoni na chini ya kila mti uliotanda matawi; mnawatoa kafara watoto wenu kwenye mabonde na chini ya majabali yenye mianya.
vocês que se inflamam entre os carvalhos, sob cada árvore verde; que matam as crianças nos vales, sob as fendas das rochas?
6 “Sanamu zilizo katikati ya mawe laini ya mabondeni ndizo fungu lenu; hizo ndizo sehemu yenu. Naam, kwa hizo mmemimina sadaka za vinywaji, na kutoa sadaka za nafaka. Katika haya yote, niendelee kuona huruma?
Entre as pedras lisas do vale está sua porção. Eles, eles são o seu lote. Você até mesmo lhes fez uma oferta de bebida. Você fez uma oferta. Devo ser apaziguado por estas coisas?
7 Umeweka kitanda chako juu kwenye kilima kirefu kilichoinuka, huko ulikwenda kutoa dhabihu zako.
Em uma montanha alta e sublime você montou sua cama. Você também foi até lá para oferecer sacrifício.
8 Nyuma ya milango yako na miimo yako umeweka alama zako za kipagani. Kwa kuniacha mimi, ulifunua kitanda chako, umepanda juu yake na kukipanua sana; ulifanya patano na wale ambao unapenda vitanda vyao, nawe uliangalia uchi wao.
Você montou seu memorial atrás das portas e dos postes, pois você se expôs a alguém além de mim, e subiram. Você ampliou sua cama e fez um convênio com eles. Você adorou o que viu na cama deles.
9 Ulikwenda kwa Moleki ukiwa na mafuta ya zeituni, na ukaongeza manukato yako. Ukawatuma wajumbe wako mbali sana, ukashuka kwenye kaburi lenyewe! (Sheol )
Você foi para o rei com óleo, aumentou seus perfumes, enviou seus embaixadores para longe, e se degradou até mesmo ao Sheol. (Sheol )
10 Ulikuwa umechoshwa na njia zako zote, lakini hukusema, ‘Hakuna tumaini.’ Ulipata uhuisho wa nguvu zako, kwa sababu hiyo hukuzimia.
Você estava cansado com a extensão de seus caminhos; mas você não disse: “É em vão”. Você encontrou um reavivamento de suas forças; portanto, você não desmaiou.
11 “Ni nani uliyemhofu hivyo na kumwogopa hata ukawa mwongo kwangu, wala hukunikumbuka au kutafakari hili moyoni mwako? Si ni kwa sababu nimekuwa kimya muda mrefu hata huniogopi?
“Quem você temeu e temeu, para que você minta, e não se lembraram de mim, nem o colocaram no seu coração? Já não me calo há muito tempo, e você não me teme?
12 Nitaifunua haki yako na matendo yako, nayo hayatakufaidi.
Declararei sua retidão; e quanto às suas obras, elas não o beneficiarão.
13 Utakapolia kwa kuhitaji msaada, sanamu zako ulizojikusanyia na zikuokoe! Upepo utazipeperusha zote, pumzi peke yake itazipeperusha, Lakini mtu atakayenifanya kimbilio lake, atairithi nchi na kuumiliki mlima wangu mtakatifu.”
Quando você chora, deixe que aqueles que você reuniu o entreguem, mas o vento vai levá-los. Um sopro os levará a todos, mas aquele que se refugiar em mim, possuirá a terra, e herdará minha montanha sagrada”.
14 Tena itasemwa: “Jengeni, jengeni, itengenezeni njia! Ondoeni vikwazo katika njia ya watu wangu.”
Ele dirá: “Construa, construa, prepare o caminho! Tire o tropeço do caminho do meu povo”.
15 Kwa maana hili ndilo asemalo Aliye juu, yeye aliyeinuliwa sana, yeye aishiye milele, ambaye jina lake ni Mtakatifu: “Ninaishi mimi mahali palipoinuka na patakatifu, lakini pia pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na mwenye roho ya unyenyekevu, ili kuzihuisha roho za wanyenyekevu na kuihuisha mioyo yao waliotubu.
Para o alto e sublime que habita a eternidade, cujo nome é Santo, diz: “Eu moro no alto e santo lugar, com ele também que é de espírito contrito e humilde”, para reavivar o espírito dos humildes, e para reanimar o coração do contrito.
16 Sitaendelea kulaumu milele, wala sitakasirika siku zote, kwa kuwa roho ya mwanadamu ingezimia mbele zangu: yaani pumzi ya mwanadamu niliyemuumba.
Pois não vou contender para sempre, nem sempre estarei zangado; pois o espírito desmaiaria diante de mim, e as almas que eu fiz.
17 Nilighadhibika na tamaa yake ya dhambi; nilimwadhibu, nikauficha uso wangu kwa hasira, na bado aliendelea katika njia zake za tamaa.
Fiquei furioso por causa da iniquidade de sua avareza e o golpeei. Eu me escondi e fiquei com raiva; e ele continuou a recuar no caminho de seu coração.
18 Nimeziona njia zake, lakini nitamponya, nitamwongoza na kumrudishia upya faraja,
Já vi seus caminhos e vou curá-lo. Eu o liderarei também, e restaurar o conforto para ele e para suas carpideiras.
19 nikiumba sifa midomoni ya waombolezaji katika Israeli. Amani, amani, kwa wale walio mbali na kwa wale walio karibu,” asema Bwana. “Nami nitawaponya.”
Eu crio o fruto dos lábios: Paz, paz, para aquele que está longe e para aquele que está perto”. diz Yahweh; “e eu os curarei”.
20 Bali waovu ni kama bahari ichafukayo, ambayo haiwezi kutulia, mawimbi yake hutupa takataka na matope.
Mas os ímpios são como o mar bravo; pois não pode descansar e suas águas lançam lama e lama.
21 Mungu wangu asema, “Hakuna amani kwa waovu.”
“Não há paz”, diz meu Deus, “para os ímpios”.