< Isaya 56 >

1 Hili ndilo asemalo Bwana: “Dumisheni haki na mkatende lile lililo sawa, kwa maana wokovu wangu u karibu na haki yangu itafunuliwa upesi.
Hina Gode da Ea fi dunu ilima amane sia: sa, “Moloidafa hou mae fisima! Molole hamoma! Bai Na gaga: su doaga: mu da gadenei. Amola Na Moloidafa hou da gadenenewane ba: mu.
2 Amebarikiwa mtu yule atendaye hili, mtu yule alishikaye kwa uthabiti, yeye ashikaye Sabato bila kuinajisi, auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.”
Na da nowa dunu da Sa: bade eso sema noga: le hamosa amola amo hame wadela: sa, ilima hahawane dogolegele imunu. Amola nowa dunu da wadela: i hou hame hamosea, ema amola Na da hahawane dogolegele hamomu.
3 Usimwache mgeni aambatanaye na Bwana aseme, “Hakika Bwana atanitenga na watu wake.” Usimwache towashi yeyote alalamike akisema, “Mimi ni mti mkavu tu.”
Ga fi dunu da Hina Gode Ea fi dunu ilima gilisisia, e da “Na da Gode Ea fi dunu gilisili Ema nodone sia: ne gadomu da hamedei. Bai Hina Gode da na logo hedofai, “amo sia: mu da noga: i hame. Amola gulusu danai dunu, e da mano lamu hamedeiba: le, Gode Ea fi amo ganodini esalumu da hamedei, amo dawa: mu da noga: i hame.
4 Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa matowashi washikao Sabato zangu, ambao huchagua kile kinachonipendeza na kulishika sana agano langu:
Be Hina Gode da gulusu danai dunu ilima amane sia: sa, “Di da Nama nodomusa: , Sa: bade eso sema noga: le nabawane hamosea, amola Na hahawane ba: ma: ne, Na gousa: su noga: le hamosea,
5 hao nitawapa ndani ya Hekalu langu na kuta zake kumbukumbu na jina bora kuliko kuwa na watoto wa kiume na wa kike: nitawapa jina lidumulo milele, ambalo halitakatiliwa mbali.
dia dio da Na Debolo ganodini amola Na fi amo ganodini hamedafa gogolei ba: mu. Amola dunu da dunu mano amola uda mano esala, amo ea dio da hame gogolei ba: mu. Be dia dio da baligiliwane hame gogolei ba: mu.
6 Wageni wanaoambatana na Bwana ili kumtumikia, kulipenda jina la Bwana, na kumwabudu yeye, wote washikao Sabato bila kuinajisi na ambao hushika sana agano langu:
Amola ga fi dunu da Hina Gode Ea fi dunu ilima madelagisia, amola Hina Godema asigiba: le, Ea hawa: hamosea, amola Sa: bade eso dawa: le, Ea gousa: su amola noga: le hamosea, ilima Hina Gode da amane sia: sa,
7 hawa nitawaleta kwenye mlima wangu mtakatifu na kuwapa furaha ndani ya nyumba yangu ya sala. Sadaka zao za kuteketeza na dhabihu zao zitakubalika juu ya madhabahu yangu; kwa maana nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa mataifa yote.”
“Na da dili, Na hadigi sema agolo, amo Saione amoma oule misunu. Na da Na sia: ne gadosu diasua, dilima hahawane dogolegesu hou imunu. Amola dia gobele salasu liligi di da Nama ima: ne ‘oloda’ da: iya ligisisa, amo Na da hahawane lamu. Na Debolo da fifi asi gala huluane ilia sia: ne gadosu diasu hamoi dagoiba: le, ilia da amo dio (Fifi Asi Gala Huluane Sia: ne Gadosu Diasu) asulimu.
8 Bwana Mwenyezi asema, yeye awakusanyaye Waisraeli waliohamishwa: “Bado nitawakusanya wengine kwao zaidi ya hao ambao wamekusanywa tayari.”
Hina Gode Ouligisudafa da Ea fi (Isala: ili) musa: mugululi asi, amo buhagima: ne, oule misi dagoi. Amola E da eno dunu ilima gilisima: ne oule misunu ilegele sia: i dagoi.
9 Njooni, enyi wanyama wote wa kondeni, njooni mle, ninyi wanyama wote wa mwituni!
Hina Gode da ga fifi asi gala ilima ilia da sigua ohe fi defele, Ea fi na dagoma: ne, misa: ne sia: i dagoi.
10 Walinzi wa Israeli ni vipofu, wote wamepungukiwa na maarifa; wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kubweka; hulala na kuota ndoto, hupenda kulala.
E da amane sia: sa, “Isala: ili fi sosodo ouligisu dunu da Na fi dunu ilima sisasu imunu da defea galu. Be ilia huluane da si dofoi dunu agoai. Ilia da asigi dawa: su hame gala. Ilia da sosodo aligisu wa: me agoai mae yayale olobolalebe agoane. Ilia da udigili golale, simasia ba: lumusa: fawane. Ilia golamusa: bagade hanai.
11 Ni mbwa wenye tamaa kubwa, kamwe hawatosheki. Wao ni wachungaji waliopungukiwa na ufahamu; wote wamegeukia njia yao wenyewe, kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.
Ilia da uasu wa: me agoai. Sadimu da hamedei. Ilia da asigi dawa: su hamedafa gala. Dunu huluane afae afae da hi hanaiga hamosa, amola hi gagui fidima: ne fawane hamosa.
12 Kila mmoja hulia, “Njooni, tupate mvinyo! Tunywe kileo sana! Kesho itakuwa kama leo, au hata bora zaidi.”
Ilia da adini ba: su dunu agoane amane sia: sa, “Defea! Ninia waini hano lale manu, amoga sadimu da defea. Wali eso da hahawane bagade eso, be aya da wali eso baligimu.”

< Isaya 56 >