< Isaya 54 >

1 “Imba, ewe mwanamke tasa, wewe ambaye kamwe hukuzaa mtoto; paza sauti kwa kuimba, piga kelele kwa furaha, wewe ambaye kamwe hukupata utungu; kwa sababu watoto wa mwanamke aliyeachwa ukiwa ni wengi kuliko wa mwanamke mwenye mume,” asema Bwana.
Caya nu loh tamhoe laeh, aka cun noek pawt long khaw tamlung neh rhong saeh, aka vawn pawt khaw hlampan saeh. BOEIPA loh, “Rhukom kah a ca rhoek lakah aka pong kah a ca ping ngai coeng,” a ti.
2 “Panua mahali pa hema lako, tandaza mapazia ya hema lako uyaeneze mbali, wala usiyazuie; ongeza urefu wa kamba zako, imarisha vigingi vyako.
Na dap hmuen te aek lamtah na dungtlungim kah himbaiyan khaw yueng dae. Na liva hlawt ham khaw tuemsoem boel lamtah na hlingcong te caang sak.
3 Kwa maana utaenea upande wa kuume na upande wa kushoto; wazao wako watayamiliki mataifa na kukaa katika miji yao iliyoachwa ukiwa.
Banvoei bantang la na pungtai vetih na tiingan loh namtom te a pang. Te vaengah khopuei aka pong ah khaw kho a sak uh ni.
4 “Usiogope, wewe hutaaibika. Usiogope aibu, wewe hutaaibishwa. Wewe utasahau aibu ya ujana wako, wala hutakumbuka tena mashutumu ya ujane wako.
Rhih boeh, yah na pok mahpawh. Hmaithae na lo pawt vetih na hmai tal mahpawh. Na cacawn vaengkah yahpohnah na hnilh bitni. Na nuhmai vaengkah kokhahnah khaw na poek voel mahpawh.
5 Kwa maana Muumba wako ndiye mume wako, Bwana Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako, yeye anaitwa Mungu wa dunia yote.
Nang aka yuu nah tih nang aka saii kah a ming tah caempuei BOEIPA ni. Nang aka tlan, Israel kah a cim tah diklai pum kah Pathen la a khue.
6 Bwana atakuita urudi kana kwamba ulikuwa mke aliyeachwa na kuhuzunishwa rohoni; kama mke aliyeolewa bado angali kijana na kukataliwa,” asema Mungu wako.
A hnoo uh dongah mueihla ngaihlih nu bangla nang te BOEIPA loh ng'khue ni. Te dongah na camoe kah na Pathen loh, “Na yuu te khaw a hnawt,” a ti.
7 “Kwa kitambo kidogo nilikuacha, lakini kwa huruma nyingi nitakurudisha.
Mikhaptok ca nang kan hnoo dae haidamnah neh a tanglue la nang kan coi bitni.
8 Katika ukali wa hasira nilikuficha uso wangu kwa kitambo, lakini kwa fadhili za milele nitakuwa na huruma juu yako,” asema Bwana Mkombozi wako.
“Thinhul tuiphul vaengah tah ka maelhmai he nang taeng lamloh mikhaptok ah ka thuh coeng dae kumhal kah sitlohnah neh nang kan haidam,” tila nang aka tlan Yahovah loh a thui.
9 “Kwangu mimi jambo hili ni kama siku za Noa, nilipoapa kuwa maji ya Noa kamwe hayatafunika tena dunia. Hivyo sasa nimeapa sitawakasirikia ninyi, kamwe sitawakemea tena.
Kai ham tah tahae kah he Noah kah tui van pawn ni. Noah tui loh a khuk vaengah diklai ham ka toemngam te nang taengkah ka thintoek ah ni ka toemngam tih nang kan tluung.
10 Ijapotikisika milima, na vilima viondolewe, hata hivyo upendo wangu usiokoma kwenu hautatikisika, wala agano langu la amani halitaondolewa,” asema Bwana, mwenye huruma juu yenu.
“Tlang rhoek te nong uh tih som rhoek ke tuen uh cakhaw kai kah sitlohnah he nang taeng lamloh nong mahpawh. Kai kah rhoepnah paipi tah tuen mahpawh,” tila nang aka haidam BOEIPA loh a thui.
11 “Ewe mji uliyeteswa, uliyepigwa kwa dhoruba na usiyetulizwa, nitakujenga kwa almasi, nitaweka misingi yako kwa yakuti samawi.
Mangdaeng loh a thikthuek khaw damti pawh. Kai loh namah kah canglung lungto neh kan kol sak dongah minhum dongah nang kan hol bitni.
12 Nitafanya minara yako ya akiki, malango yako kwa vito vingʼaavyo, nazo kuta zako zote za vito vya thamani.
Na puthue te aithilung, na vongka te hmaihli lungto neh, na khorhi boeih te danngaih lungto neh kan saii ni.
13 Watoto wako wote watafundishwa na Bwana, nayo amani ya watoto wako itakuwa kuu.
Na ca rhoek te BOEIPA loh boeih a lolmang thil vetih na ca rhoek kah rhoepnah khaw ping ni.
14 Kwa haki utathibitika: Kuonewa kutakuwa mbali nawe; hutaogopa chochote. Hofu itakuwa mbali nawe; haitakukaribia wewe.
Duengnah dongah n'cikngae sak vetih, hnaemtaeknah lamloh na lakhla pawn ni. Na rhih voel pawt vetih porhaknah khaw nang taengla ha pawk voel mahpawh.
15 Kama mtu yeyote akikushambulia, haitakuwa kwa ruhusa yangu; yeyote akushambuliaye atajisalimisha kwako.
A mae la aka mae te khaw kai lamkah moenih he. Nang aka mae te khaw namah taengah cungku bitni.
16 “Tazama, ni mimi niliyemuumba mhunzi, yeye afukutaye makaa kuwa moto, na kutengeneza silaha inayofaa kwa kazi yake. Tena ni mimi niliyemwambia mharabu kufanya uharibifu mwingi.
Hmaisa-aek hmai aka hmut kutthai khaw kamah long ni ka suen ne. A bisai te hnopai la a poeh sak akhaw laikoi sak ham kutcaihnah khaw kai loh ka suen pah coeng.
17 Hakuna silaha itakayofanyizwa dhidi yako itakayofanikiwa, nawe utauthibitisha kuwa mwongo kila ulimi utakaokushtaki. Huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana na hii ndiyo haki yao itokayo kwangu,” asema Bwana.
Hnopai tom te nang taengah hlinsai cakhaw thaihtak mahpawh. Laitloeknah dongah ol cungkuem loh nang n'tlai thil cakhaw na boe mahpawh. BOEIPA kah olphong dongah tah tahae kah he BOEIPA sal rhoek kah rho neh kamah taeng lamkah duengnah la om.

< Isaya 54 >

A Dove is Sent Forth from the Ark
A Dove is Sent Forth from the Ark