< Isaya 53 >
1 Ni nani aliyeamini ujumbe wetu, na mkono wa Bwana umefunuliwa kwa nani?
Maimouh ni pathang awh e lawk heh apinimaw a yuem. BAWIPA kut teh api koe maw a kamnue.
2 Alikua mbele yake kama mche mwororo na kama mzizi katika nchi kavu. Hakuwa na uzuri wala utukufu wa kutuvutia kwake, hakuwa na chochote katika sura yake cha kutufanya tumtamani.
Bangkongtetpawiteh, a hmalah talai hoi cati kapaw e patetlah ama teh, a paw. Ama ka hmu awh teh, ka ngai awh nahanelah, a meihawinae banghai tawn hoeh. Ngai kawi e minhmai awm hoeh.
3 Alidharauliwa na kukataliwa na wanadamu, mtu wa huzuni nyingi, ajuaye mateso. Kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, alidharauliwa, wala hatukumhesabu kuwa kitu.
Ama teh taminaw e dudam hoi pahnawt e lah ao. Reithainae ka tawn e hoi patawnae ka panuek e lah ao. Tami ni a minhmai a thung takhai e patetlah taminaw ni a dudam e lah ao teh, kaimouh ni hai banglah ka noutna van hoeh.
4 Hakika alichukua udhaifu wetu na akajitwika huzuni zetu, hata hivyo tulidhania kuwa amepigwa na Mungu, akapigwa sana naye, na kuteswa.
Ama ni ka patawnae hah a phu. Ka lungmathoenae hai a phu. Hatei, kaimouh ni, lungmathoenae ni na pha sin e hoi, Cathut ni na hemnae patawnae na poe e lah ka pouk awh.
5 Lakini alitobolewa kwa ajili ya makosa yetu, alichubuliwa kwa ajili ya maovu yetu; adhabu iliyotuletea sisi amani ilikuwa juu yake, na kwa majeraha yake sisi tumepona.
Hatei, kaimouh ni kâlawk ka ek awh kecu dawkvah pacekpahleknae hoi, ka yonae kecu dawkvah hemnae a khang. Ka lungmawng awh nahanelah yuenae teh amae tak dawk a pha sak teh, a hemnae hmâ dawk hoi ka dam awh.
6 Sisi sote, kama kondoo, tumepotea, kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe, naye Bwana aliweka juu yake maovu yetu sisi sote.
Tu patetlah kahma awh teh, lamthung lengkaleng ka phen awh. Hatdawkvah, BAWIPA ni ka yonnae naw hah amae a tak dawk a patue.
7 Alionewa na kuteswa, hata hivyo hakufungua kinywa chake; aliongozwa kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, kama vile kondoo anyamazavyo mbele ya wao wamkataye manyoya, hivyo hakufungua kinywa chake.
Ama teh repcoungroe e lah ao ei, lawkkamuem lah ao. Thei hanelah a ceikhai awh e tuca patetlah a muen ngaw pouh nah duem kaawm e tuca patetlah ao teh, a pahni hai a cakuep.
8 Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa. Nani awezaye kueleza kuhusu kizazi chake? Kwa maana alikatiliwa mbali na nchi ya walio hai, alipigwa kwa ajili ya makosa ya watu wangu.
Ama teh thongim thung hoi lawkcengnae lahoi a ceikhai awh. Apini maw a catoun hah a hram khai han. Kahringnaw e ram thung hoi ahni teh takhoe lah ao teh, ka taminaw ni kâ tapoenae kecu dawk ahni teh hem lah ao.
9 Wakamfanyia kaburi pamoja na waovu, pamoja na matajiri katika kifo chake, ingawa hakutenda jeuri, wala hapakuwa na hila kinywani mwake.
Payonnae sak boihoeh. Pahni dawk hoi dumyennae laithoe dei boihoeh. Hatei, a tangkom teh tamikahawihoehnaw koe rei pakawp hanelah a pouk awh. Hatei, a due hnukkhu hoi bawitangrengnaw koe ao.
10 Lakini yalikuwa ni mapenzi ya Bwana kumchubua na kumsababisha ateseke. Ingawa Bwana amefanya maisha yake kuwa sadaka ya hatia, ataona uzao wake na kuishi siku nyingi, nayo mapenzi ya Bwana yatafanikiwa mkononi mwake.
Hateiteh, ama a hemnae teh BAWIPA ngainae doeh. Patawnae hah a poe katang teh, a hringnae teh yon thuengnae dawk hno toteh, ca catounnaw a hmu vaiteh, a hringnae hnin hah a saw sak han. BAWIPA ngainae teh a kut dawk a kuep sak han.
11 Baada ya maumivu ya nafsi yake, ataona nuru ya uzima na kuridhika; kwa maarifa yake, mtumishi wangu mwenye haki atawafanya wengi kuwa wenye haki, naye atayachukua maovu yao.
A hringnae tawkphu a hmu vaiteh, a lung a kuep han toe. Ka lan e ka san hah panuenae lahoi, ahni ni tamikapap hah lannae dawk a caksak han. Ahnimae yonnaw hah a phu pouh han.
12 Kwa hiyo nitamgawia sehemu miongoni mwa wakuu, naye atagawana nyara pamoja na wenye nguvu, kwa sababu aliyamimina maisha yake hadi mauti, naye alihesabiwa pamoja na wakosaji. Kwa kuwa alichukua dhambi za wengi, na kuwaombea wakosaji.
Hatdawkvah, ama teh tami kalennaw ham ka rei han. Ahni ni a la e hnopainaw hah, athakaawme taminaw a rei han. Bangkongtetpawiteh, a hringnae teh, a due totouh a rabawk teh, kâlawk ka ek naw koe hmai touksin lah ao. Tami moikapap e yonnae hah a phu teh kâlawk kaeknaw hanlah a kâhei pouh.