< Isaya 49 >

1 Nisikilizeni, enyi visiwa, sikieni hili, ninyi mataifa mlio mbali: Kabla sijazaliwa, Bwana aliniita, tangu kuzaliwa kwangu, amelitaja jina langu.
Oe tuilum taminaw, ka lawk hah thai awh haw. Ahla koe e miphunnaw na hnâpakeng awh haw. Vonthung ka o nah roeroe vah BAWIPA ni na kaw toe. Anu e vonthung vah ka min a pakhum toe.
2 Akafanya kinywa changu kuwa kama upanga ulionolewa, katika uvuli wa mkono wake akanificha; akanifanya kuwa mshale uliosuguliwa, na kunificha katika podo lake.
Ka pahni hah tahloi kahran e patetlah a sak teh, a kut tâhlip dawk na hro. Pala pikhluk e patetlah na coung sak teh, a palabom dawkvah na pâseng.
3 Akaniambia, “Wewe u mtumishi wangu, Israeli, ambaye katika yeye nitaonyesha utukufu wangu.”
Oe Isarel nang teh kaie san doeh. Nang dawk hoi ka bawilennae a kamnue han telah ka ti toe.
4 Lakini nilisema, “Nimetumika bure, nimetumia nguvu zangu bure bila faida. Hata hivyo linalonistahili liko mkononi mwa Bwana, nao ujira wangu uko kwa Mungu wangu.”
Kai ni hai hawinae awm laipalah ka tawk toe. Ayawmyin lah ka tha hai a baw toe. Hatei, ka lannae tawkphu teh BAWIPA koe ao teh, ka tawkphu teh Cathut koe ao tie hah ka cai telah ati.
5 Sasa Bwana asema: yeye aliyeniumba tumboni kuwa mtumishi wake, kumrudisha tena Yakobo kwake na kumkusanyia Israeli, kwa maana nimepata heshima machoni pa Bwana, naye Mungu wangu amekuwa nguvu yangu;
Atuvah, BAWIPA ama koe Jakop bankhai hane hoi, ama koe Isarel ka pâkhueng hane a san lah o nahanelah, von thung hoi na kangdoutkhai e ni a dei. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA hmaitung vah ka sungren e lah ka o. Ka Cathut teh ka thasainae lah ao han.
6 yeye asema: “Je, ni jambo dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili kurejeza makabila ya Yakobo, na kuwarudisha wale Waisraeli niliowahifadhi? Pia nitakufanya uwe nuru kwa ajili ya watu wa Mataifa, ili upate kuleta wokovu wangu hata miisho ya dunia.”
Bokheiyah, ama ni, Jakop miphun kangdue sak hane hoi Isarelnaw thung dawk kahloutnaw hah bout kangdue sak hanelah, ka san lah na o e heh hno ka pâhawca doeh. Talai pout totouh ka rungngangnae lah na o nahan, Jentelnaw kaangsakkung lah onae hai na poe han.
7 Hili ndilo asemalo Bwana, yeye Mkombozi na Aliye Mtakatifu wa Israeli, kwake yeye aliyedharauliwa na kuchukiwa na taifa, kwa mtumishi wa watawala: “Wafalme watakuona na kusimama, wakuu wataona na kuanguka kifudifudi, kwa sababu ya Bwana, aliye mwaminifu, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, aliyekuchagua wewe.”
Isarelnaw hah a ratang teh, a tami kathoungnaw ayâ ni a pacekpahlek e, miphun ni a panuet e, lawkcengkung san, Jehovah ni hettelah a dei. Yuemkamcu, BAWIPA, Isarel tamikathoung, na karawikung kecu dawkvah, siangpahrangnaw ni hmawt awh vaiteh, a thaw awh han, bawinaw ni hai a bawk awh han telah ati.
8 Hili ndilo asemalo Bwana: “Wakati wangu uliokubalika nitakujibu, nami katika siku ya wokovu nitakusaidia; nitakuhifadhi, nami nitakufanya kuwa agano kwa ajili ya watu, ili kurudisha nchi na kugawanyia urithi tena wale waliokuwa ukiwa,
BAWIPA ni hettelah a dei. Ngai kaawm e tueng dawk na lawk hah ka tarawi toe. Rungngangnae hnin dawk nang hah na kabawp toe. Na ring vaiteh, miphunnaw hanelah lawkkamnae hah na poe han. Ram bout kangdue sak hane hoi kingkadi e râw lah bout coe hanelah,
9 kuwaambia mateka, ‘Tokeni nje,’ nao wale walio gizani, ‘Kuweni huru!’ “Watajilisha kando ya barabara na kupata malisho yao juu ya kila kilima kilicho kitupu.
Thongkabawtnaw koe tâcawt awh. Hmonae koe kaawmnaw koevah, kamphawng awh telah na dei thai nahanelah, na ta awh han. Lamthungnaw dawk cet awh vaiteh, arasangnae cailum hmuen dawk pawngpanae lah ao awh han.
10 Hawataona njaa wala kuona kiu, wala hari ya jangwani au jua halitawapiga. Yeye mwenye huruma juu yao atawaonyesha njia, na kuwaongoza kando ya chemchemi za maji.
Vonhlam awh mahoeh, tui kahran awh mahoeh. Khumbei ni runae poe awh mahoeh. Kanî raeng ni daw awh mahoeh. Bangkongtetpawiteh, ahnimouh ka pahren e ni cetkhai awh vaiteh, tui onae koe a ceikhai han.
11 Nitaifanya milima yangu yote kuwa barabara, na njia kuu zangu zitainuliwa.
Kaie mon pueng teh lamthung lah ka coung sak han. Kaie lam kalennaw hai ka tawm han.
12 Tazama, watakuja kutoka mbali: wengine kutoka kaskazini, wengine kutoka magharibi, wengine kutoka nchi ya Sinimu.”
Khenhaw! Ahnimanaw teh ahlanae koehoi tho hanelah a kâcai awh. Khenhaw! ahnimanaw teh atunglah hoi kanîloumlah hoi tho hanelah a kâcai awh. Ahnimouh teh Sinim ram hoi tho hanlah kâcai awh e naw doeh.
13 Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu; furahi, ee dunia; pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima! Kwa maana Bwana anawafariji watu wake, naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.
Oe kalvannaw lunghawi hoi la sak awh haw. Oe talai lunghawi haw. Oe monnaw la sak awh haw. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA ni a taminaw a lung a pahawi. Runae kâhmonaw hai a pahren han.
14 Lakini Sayuni alisema, “Bwana ameniacha, Bwana amenisahau.”
Hateiteh, Zion ni, Jehovah ni na ceitakhai teh, Bawipa ni na pahnim toe ati.
15 “Je, mama aweza kumsahau mtoto aliyeko matitini mwake akinyonya, wala asiwe na huruma juu ya mtoto aliyemzaa? Ingawa anaweza kusahau, mimi sitakusahau wewe!
Napui ni a ca a khe e hah, a pahren hoeh totouh, sanu a pânei lahun e camo a pahnim thai han na maw. Pahnim thai nakunghai kai ni na pahnim hoeh.
16 Tazama, nimekuchora kama muhuri katika vitanga vya mikono yangu, kuta zako zi mbele yangu daima.
Kai ni ka kuttabei dawk ca ka thut teh, na kâkalupnae rapan teh ka hmalah pou ao.
17 Wana wako wanaharakisha kurudi, nao wale waliokuteka wanaondoka kwako.
Na canu capanaw ni karanglah a kâroe awh han. Nang karaphoenaw hoi, nang ka hmawt sak e naw ni na tâco takhai han.
18 Inua macho yako ukatazame pande zote: wana wako wote wanakusanyika na kukujia. Kwa hakika kama vile niishivyo, utawavaa wote kama mapambo, na kujifunga nao kama bibi arusi,” asema Bwana.
Na tengpam vah khenhaw! Ahnimanaw teh a kamkhueng awh teh nang koe a tho awh. BAWIPA ni a dei e teh, Kai teh ka hring dawkvah, nang teh langa a kamthoup e patetlah phunkuep hoi na kamthoup dawkvah, rumram nahoeh ati.
19 “Ingawa uliangamizwa na kufanywa ukiwa, na nchi yako ikaharibiwa, sasa nafasi itakuwa finyu kwa ajili ya watu wako, nao wale waliokuangamiza watakuwa mbali sana.
Raphoe teh kingdi e hmuen hoi ka rawk tangcoung e na ram teh, atuvah kho ka sak e apap dawkvah, abueng toe. Nangmouh na kapayawpnaw teh ahlanae koe ao awh han.
20 Watoto waliozaliwa wakati wa msiba wako bado watakuambia, ‘Mahali hapa ni finyu sana kwetu, tupe eneo kubwa zaidi la kuishi.’
Na canaw a due hnukkhu, bout na tawm e capanaw ni hmuen khout awh mahoeh. A hmuen na poe ei telah a hei awh han.
21 Ndipo utasema moyoni mwako, ‘Ni nani aliyenizalia hawa? Nilikuwa nimefiwa, tena tasa; nilikuwa nimehamishwa na kukataliwa. Ni nani aliyewalea hawa? Niliachwa peke yangu, lakini hawa wametoka wapi?’”
Hatnavah, nang ni na lungthung hoi, hetnaw heh apinimouh na khe pouh aw, ka canaw be kadout niteh, madueng kaawm e, yuengyoe kâva e lah bout ka o. Hetnaw hah apinimouh a thokhai awh. Kai teh ka madueng kaawm e lah ka o dawkvah, hetnaw heh nâmouh ao awh aw na ti han.
22 Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi: “Tazama, nitawaashiria watu wa Mataifa, nitainua bendera yangu kwa mataifa; watawaleta wana wako mikononi yao, na kuwabeba binti zenu juu ya mabega yao.
Bawipa Jehovah ni a dei e teh, khenhaw! Kai ni khoram tangkuem kaawm e miphunnaw koe ka kut ka dâw teh, mitnoutnae hah ka vo pouh han. Ahnimouh ni nange na canu capanaw hah a kut hoi tawm awh vaiteh, a loung dawk hrawm awh vaiteh, a thokhai awh han.
23 Wafalme watakuwa baba zenu wa kuwalea, na malkia wao watakuwa mama zenu wa kuwalea. Watasujudu mbele yako nyuso zao zikigusa ardhi; wataramba mavumbi yaliyo miguuni mwako. Ndipo utajua ya kuwa Mimi ndimi Bwana; wale wanaonitumaini mimi hawataaibika.”
Siangpahrangnaw ni nange camo tawm awh vaiteh, siangpahrangnaw teh nange camo ka khoum e lah ao awh han. Na hmalah tabawk awh vaiteh, na khok dawk e vaiphu hah a palem awh han. Kai teh Jehovah lah ka o e hai thoseh, kai na kangaihawinaw teh kayanae a ohoehnae hai thoseh na panue han.
24 Je, nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa mashujaa wa vita, au mateka kuokolewa kutoka kwa watu wakali?
Athakaawme kut dawk hoi hnopai lawp han na maw. Taki ka tho e san hah rungngang han na maw.
25 Lakini hili ndilo asemalo Bwana: “Naam, mateka watachukuliwa kutoka kwa mashujaa, na nyara zitapokonywa kutoka kwa watu wakali. Nitashindana na wale wanaoshindana nawe, nami nitawaokoa watoto wako.
BAWIPA ni a dei e teh, atangcalah, athakaawme ni man tangcoung e tami hah bout la han. Takitho e ni lawp tangcoung e lawphno hah bout la han. Bangkongtetpawiteh, nang ka taran e hah kai ni ka taran vaiteh, na capanaw hah ka rungngang han.
26 Nitawafanya wale wanaokuonea kula nyama yao wenyewe, watalewa kwa damu yao wenyewe, kama vile kwa mvinyo. Ndipo wanadamu wote watajua ya kuwa Mimi, Bwana, ni Mwokozi wako, Mkombozi wako, niliye Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
Nang na karektapnaw hah amamae tak ka ca sak han. Amamae thi hah misurtui nei e patetlah koung ka boum lah a nei awh han. Hatdawkvah, kai Jehovah teh nang ka rungngangkung, nang karatangkung, Jakop miphun dawk athakaawme Cathut, ao tie hah tami pueng ni a panue awh han telah a dei.

< Isaya 49 >