< Isaya 49 >

1 Nisikilizeni, enyi visiwa, sikieni hili, ninyi mataifa mlio mbali: Kabla sijazaliwa, Bwana aliniita, tangu kuzaliwa kwangu, amelitaja jina langu.
Fifi asi gala fi sedagawane esala! Na sia: nabima! Musa: hemonega na da hame lalelegeiya, Hina Gode da na Ea hawa: hamomusa: gini ilegei dagoi.
2 Akafanya kinywa changu kuwa kama upanga ulionolewa, katika uvuli wa mkono wake akanificha; akanifanya kuwa mshale uliosuguliwa, na kunificha katika podo lake.
E da na sia: , amo gegesu gobihei mei bagade defele hamoi dagoi. E da Ea loboga na gaga: i, amola na hou e da dadi agoane, agesoi amola hawa: hamomusa: momagei dagoi, agoane hamoi.
3 Akaniambia, “Wewe u mtumishi wangu, Israeli, ambaye katika yeye nitaonyesha utukufu wangu.”
E da nama amane sia: i, “Isala: ili! Di da Na hawa: hamosu dunu. Dia hawa: hamobeba: le, dunu huluane da Nama nodomu.”
4 Lakini nilisema, “Nimetumika bure, nimetumia nguvu zangu bure bila faida. Hata hivyo linalonistahili liko mkononi mwa Bwana, nao ujira wangu uko kwa Mungu wangu.”
Na da amane sia: i, “Na da hawa: hamoi, be hamedei agoane ba: i. Na gasa da ebelei dagoi, be na da udigili hawa: hamoi dagoi. Be Hina Gode da na hou amola na asigi dawa: su huluane dawa: beba: le, na hawa: hamoi defele Nama bidi imunu.
5 Sasa Bwana asema: yeye aliyeniumba tumboni kuwa mtumishi wake, kumrudisha tena Yakobo kwake na kumkusanyia Israeli, kwa maana nimepata heshima machoni pa Bwana, naye Mungu wangu amekuwa nguvu yangu;
Na da hame lalelegeiya, Hina Gode da na ilegei. E da Ea fi dunu amo Isala: ili dunu afafai dagoi, amo bu oule misa: ne, E da na hawa: hamomusa: ilegei dagoi. Hina Gode da nama nodosa, amola E da nama gasa i dagoi.
6 yeye asema: “Je, ni jambo dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili kurejeza makabila ya Yakobo, na kuwarudisha wale Waisraeli niliowahifadhi? Pia nitakufanya uwe nuru kwa ajili ya watu wa Mataifa, ili upate kuleta wokovu wangu hata miisho ya dunia.”
Hina Gode da nama amane sia: i, “Dafawane! Di da Isala: ili dunu amo da hame bogoi esala, ilima ilia musa: gasa bagade hou ilima bu imunu. Be amo baligili, osobo bagade fifi asi gala huluane da gaga: sudafa ba: ma: ne, Na da di Dienadaile dunu ilima gamali agoane asunasimu.
7 Hili ndilo asemalo Bwana, yeye Mkombozi na Aliye Mtakatifu wa Israeli, kwake yeye aliyedharauliwa na kuchukiwa na taifa, kwa mtumishi wa watawala: “Wafalme watakuona na kusimama, wakuu wataona na kuanguka kifudifudi, kwa sababu ya Bwana, aliye mwaminifu, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, aliyekuchagua wewe.”
Isala: ili fi ilia Hadigi Gode amola Gaga: su dunu, da dunu ilima eno dunu amola fifi asi gala ilia bagade higasa, amola dunu amo da ouligisu dunu ilia udigili hawa: hamosu dunu esala, E da ilima amane sia: sa, “Hina bagade dunu ilia da di ba: sea, ilia da dima nodomusa: wa: legadomu. Hina bagade ilia mano amola ilia di ba: sea, dima nodomusa: , gududafa begudumu. Bai Hina Gode da Ea hawa: hamosu dunu ilegei dagoi. Amola Isala: ili fi ilia Hadigi Gode, da Ea ilegele sia: i amo fisimusa: hame dawa:
8 Hili ndilo asemalo Bwana: “Wakati wangu uliokubalika nitakujibu, nami katika siku ya wokovu nitakusaidia; nitakuhifadhi, nami nitakufanya kuwa agano kwa ajili ya watu, ili kurudisha nchi na kugawanyia urithi tena wale waliokuwa ukiwa,
Hina Gode da Ea fi dunu ilima amane sia: sa, “Dilia gaga: su eso ilegei doaga: sea, Na da hahawane hou dilima olelemu. Dilia da Nama fidima: ne disia, Na da di fidimusa: adole imunu. Na da dili gaga: mu amola dilia dioba: le, fifi asi gala fi huluane ilima gousa: su hamomu. Wali dilia soge da wadela: lesi dagoi diala. Be Na hamobeba: le, dilia da amo soge ganodini bu esala sodomu.
9 kuwaambia mateka, ‘Tokeni nje,’ nao wale walio gizani, ‘Kuweni huru!’ “Watajilisha kando ya barabara na kupata malisho yao juu ya kila kilima kilicho kitupu.
Na da se dabe iasu diasu ganodini sali dunu ilima, “Hahawane gadili masa! Amola dunu gasi ganodini esala, ilima ‘Hadigi amoga misa’, amane sia: mu. Ilia da sibi amo da agologa gisi naha, amo defele ba: mu.
10 Hawataona njaa wala kuona kiu, wala hari ya jangwani au jua halitawapiga. Yeye mwenye huruma juu yao atawaonyesha njia, na kuwaongoza kando ya chemchemi za maji.
Ilia da hame ha: mu amola hano hame hanamu. Eso da gia: sea amola hafoga: i sogega gia: sea ilia da se hame nabimu. Bai ilima asigi Dunu da ili oule masunu. E da ili hano si galoba amoga oule masunu.
11 Nitaifanya milima yangu yote kuwa barabara, na njia kuu zangu zitainuliwa.
Na fi dunu hahawane masa: ne, Na da logo bagade amo goumiga masa: ne hahamomu.
12 Tazama, watakuja kutoka mbali: wengine kutoka kaskazini, wengine kutoka magharibi, wengine kutoka nchi ya Sinimu.”
Na fi dunu da soge sedaga amoga bu misunu. Ilia da soge ga (north) amola gusudili, amola Asawane ga (south) soge amoga misunu.
13 Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu; furahi, ee dunia; pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima! Kwa maana Bwana anawafariji watu wake, naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.
Fedege sia: Muagado dialebe liligi! Dilia gesami hea: ma! Osobo bagade! Hahawaneba: le, wele sia: ma! Goumi amola da fudagala: lewane gesami hea: mu da defea. Hina Gode da Ea fi ilia dogo denesimu. Ilia da se bagade naba, be E da ilima asigimu.
14 Lakini Sayuni alisema, “Bwana ameniacha, Bwana amenisahau.”
Be Yelusaleme dunu da amane sia: sa, “Hina Gode da nini yolesi dagoi. E da nini gogolei dagoi.”
15 “Je, mama aweza kumsahau mtoto aliyeko matitini mwake akinyonya, wala asiwe na huruma juu ya mtoto aliyemzaa? Ingawa anaweza kusahau, mimi sitakusahau wewe!
Amaiba: le, Hina Gode da bu adole iaha, “Uda da ea dudubu mano gogolema: bela: ? E da ea mano lalelegei amoma hame asigima: bela: ? Hame mabu! Be osobo bagade ame da ea mano gogolei ganiaba, Na da dili hamedafa gogolemu.
16 Tazama, nimekuchora kama muhuri katika vitanga vya mikono yangu, kuta zako zi mbele yangu daima.
Yelusaleme! Na da di gogolemu da hamedei. Na da dia dio amo Na lobo gafe da: iya dedei dagoi.
17 Wana wako wanaharakisha kurudi, nao wale waliokuteka wanaondoka kwako.
Yelusaleme! Di da mugului dagoi. Be dunu ilia da di bu gagumusa: misunu da gadenesa. Dunu ilia da di wadela: lesi amo da fisili masunu.
18 Inua macho yako ukatazame pande zote: wana wako wote wanakusanyika na kukujia. Kwa hakika kama vile niishivyo, utawavaa wote kama mapambo, na kujifunga nao kama bibi arusi,” asema Bwana.
Ba: le gagale, hou hamobe ba: ma! Isala: ili fi da gilisilala. Ilia da di Yelusaleme amoga buhagimu. Na da Godedafa esala, amo dafawaneyale dawa: ma. Amo defele, di da dia bu misunu mano amo hahawane ba: mu. A: fini da ea uda gaguli lasu eso amoga ea nina: hamoi liligi hahawane ba: sa, amo defele di da ili hahawane ba: mu.
19 “Ingawa uliangamizwa na kufanywa ukiwa, na nchi yako ikaharibiwa, sasa nafasi itakuwa finyu kwa ajili ya watu wako, nao wale waliokuangamiza watakuwa mbali sana.
Dia soge da wadela: lesi dagoi, amola dunu hame esalebe ba: i. Be wali dunu bagohame da buhagili manebe ba: beba: le, dia soge da fonobahadidafa agoane ba: mu. Amola dunu ilia da di wadela: lesili, fisili asi, amo da dima sedagadafa esalebe ba: mu.
20 Watoto waliozaliwa wakati wa msiba wako bado watakuambia, ‘Mahali hapa ni finyu sana kwetu, tupe eneo kubwa zaidi la kuishi.’
Amola dia fi dunu ilia da mugululi asi soge amo ganodini lalelegei, eso enoga da dima amane sia: mu, “Amo soge da fonobahadidafa. Ninia eno soge amo ganodini esaloma: ne hanai.”
21 Ndipo utasema moyoni mwako, ‘Ni nani aliyenizalia hawa? Nilikuwa nimefiwa, tena tasa; nilikuwa nimehamishwa na kukataliwa. Ni nani aliyewalea hawa? Niliachwa peke yangu, lakini hawa wametoka wapi?’”
Amasea, di da dima amane gobele sia: mu, “Amo mano huluane wali esalebe, nowa da nama ima: ne lalelegebela: ? Na da na mano huluane fisi dagoi amola eno lalelegemu hamedei ba: i. Na da enoga sefasili, mugululi asi. Nowa da amo mano asigilama: ne, fofobela: ? Na da nisu esalebe ba: i! Amo mano huluane da habidili misibela: ?”
22 Hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi: “Tazama, nitawaashiria watu wa Mataifa, nitainua bendera yangu kwa mataifa; watawaleta wana wako mikononi yao, na kuwabeba binti zenu juu ya mabega yao.
Hina Gode Ouligisudafa da Ea fi dunu ilima amane sia: sa, “Na da fifi asi gala ilima dawa: digisu olelemu. Amasea, ilia da dia mano dima bu oule misunu.
23 Wafalme watakuwa baba zenu wa kuwalea, na malkia wao watakuwa mama zenu wa kuwalea. Watasujudu mbele yako nyuso zao zikigusa ardhi; wataramba mavumbi yaliyo miguuni mwako. Ndipo utajua ya kuwa Mimi ndimi Bwana; wale wanaonitumaini mimi hawataaibika.”
Hina bagade ilia da dima ada agoane ba: mu amola hina bagade uda da dima ame agoane ba: mu. Ilia dima beguduli, dima nodomu. Ilia da ilia hou fofonobone, dima nodomu. Amasea, Na da Hina Godedafa amo di da dawa: mu. Nowa da Na fidisu lama: ne ouesalea, e da da: i diosu hame ba: mu.”
24 Je, nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa mashujaa wa vita, au mateka kuokolewa kutoka kwa watu wakali?
Di da dadi gagui dunu ea wamolai liligi bu samogemu dawa: bela: ? Di da nimi bagade ouligisu dunu amo ea se dabe iasu diasu hamosu dunu gagulaligi, amo gaga: mu dawa: bela: ? Hame mabu!
25 Lakini hili ndilo asemalo Bwana: “Naam, mateka watachukuliwa kutoka kwa mashujaa, na nyara zitapokonywa kutoka kwa watu wakali. Nitashindana na wale wanaoshindana nawe, nami nitawaokoa watoto wako.
Be Hina Gode da amane bu adole iaha, “Na da amo defele hamomu. Na da dadi gagui ea se iasu diasu hamosu dunu gagulaligi, amo bu samogemu. Amola nimi bagade ouligisu dunu ea liligi lai amo bu samogemu. Nowa da dima gegesea, Na da ilima gegemu. Amola Na da dia manolali gaga: mu.
26 Nitawafanya wale wanaokuonea kula nyama yao wenyewe, watalewa kwa damu yao wenyewe, kama vile kwa mvinyo. Ndipo wanadamu wote watajua ya kuwa Mimi, Bwana, ni Mwokozi wako, Mkombozi wako, niliye Mwenye Nguvu wa Yakobo.”
Na da hamobeba: le, dima se iasu dunu da sinidigili, sama da ea sama medole legemu. Ilia da medole legesu hou, amola ougi bagade hou hamonanebeba: le, adini bagade ba: i dunu agoane ba: mu. Amasea, Na da Hina Gode, dilia gaga: su dunu, amola dilia se iasu diasu logo doasisu dunu, amo osobo bagade dunu huluanedafa da dawa: mu. Na da Isala: ili dunu ilia gasa bagade Gode, amo ilia da dawa: mu.

< Isaya 49 >