< Isaya 48 >

1 “Sikilizeni hili, ee nyumba ya Yakobo, ninyi mnaoitwa kwa jina la Israeli, na mnaotoka katika ukoo wa Yuda, ninyi mnaoapa kwa jina la Bwana, mnaomwomba Mungu wa Israeli, lakini si katika kweli au kwa haki;
to hear: hear this house: household Jacob [the] to call: call by in/on/with name Israel and from water Judah to come out: come [the] to swear in/on/with name LORD and in/on/with God Israel to remember not in/on/with truth: true and not in/on/with righteousness
2 ninyi mnaojiita raiya wa mji mtakatifu, na kumtegemea Mungu wa Israeli, Bwana Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake:
for from city [the] holiness to call: call by and upon God Israel to support LORD Hosts name his
3 Nilitoa unabii mambo ya kwanza tangu zamani, kinywa changu kiliyatangaza na kuyafanya yajulikane; kisha ghafula nikayatenda, nayo yakatokea.
[the] first: previous from the past to tell and from lip my to come out: speak and to hear: proclaim them suddenly to make: do and to come (in): come
4 Kwa kuwa nalijua jinsi ulivyokuwa mkaidi; mishipa ya shingo yako ilikuwa chuma, kipaji chako cha uso kilikuwa shaba.
from to know I for severe you(m. s.) and sinew iron neck your and forehead your bronze
5 Kwa hiyo nilikuambia mambo haya tangu zamani, kabla hayajatokea nilikutangazia ili usije ukasema, ‘Sanamu zangu zilifanya hayo; kinyago changu cha mti na mungu wangu wa chuma aliyaamuru.’
and to tell to/for you from the past in/on/with before to come (in): come to hear: proclaim you lest to say idol my to make: do them and idol my and drink offering my to command them
6 Umesikia mambo haya; yaangalie hayo yote. Je, hutayakubali? “Kuanzia sasa na kuendelea nitakueleza mambo mapya, juu ya mambo yaliyofichika usiyoyajua.
to hear: hear to see all her and you(m. p.) not to tell to hear: proclaim you new from now and to watch and not to know them
7 Yameumbwa sasa, wala si tangu zamani; hukupata kuyasikia kabla ya siku ya leo. Hivyo huwezi kusema, ‘Naam, niliyajua hayo.’
now to create and not from the past and to/for face: before day and not to hear: hear them lest to say behold to know them
8 Hujayasikia wala kuyaelewa, tangu zamani sikio lako halikufunguka. Ninafahamu vyema jinsi ulivyo mdanganyifu, uliitwa mwasi tangu kuzaliwa kwako.
also not to hear: hear also not to know also from the past not to open ear your for to know to act treacherously to act treacherously and to transgress from belly: womb to call: call by to/for you
9 Kwa ajili ya Jina langu mwenyewe ninaichelewesha ghadhabu yangu, kwa ajili ya sifa zangu nimeizuia isikupate, ili nisije nikakukatilia mbali.
because name my to prolong face: anger my and praise my to restrain to/for you to/for lest to cut: eliminate you
10 Tazama, nimekusafisha, ingawa si kama fedha, nimekujaribu katika tanuru ya mateso.
behold to refine you and not in/on/with silver: money to choose you in/on/with furnace affliction
11 Kwa ajili yangu mwenyewe, kwa ajili yangu mwenyewe, nafanya hili. Jinsi gani niliache Jina langu lichafuliwe? Sitautoa utukufu wangu kwa mwingine.
because me because me to make: do for how? to profane/begin: profane and glory my to/for another not to give: give
12 “Ee Yakobo, nisikilize mimi, Israeli, ambaye nimekuita: Mimi ndiye; mimi ndimi mwanzo na mwisho.
to hear: hear to(wards) me Jacob and Israel to call: call to my I he/she/it I first also I last
13 Mkono wangu mwenyewe uliweka misingi ya dunia, nao mkono wangu wa kuume umezitanda mbingu; niziitapo, zote husimama pamoja.
also hand: power my to found land: country/planet and right my to extend heaven to call: call to I to(wards) them to stand: stand together
14 “Kusanyikeni, ninyi nyote, msikilize: Ni ipi miongoni mwa hizo sanamu ambayo imetabiri vitu hivi? Watu wa Bwana waliochaguliwa na kuungana watatimiza kusudi lake dhidi ya Babeli; mkono wa Mungu utakuwa dhidi ya Wakaldayo.
to gather all your and to hear: hear who? in/on/with them to tell [obj] these LORD to love: lover him to make: do pleasure his in/on/with Babylon and arm his Chaldea
15 Mimi, naam, Mimi, nimenena; naam, nimemwita yeye. Nitamleta, naye atafanikiwa katika lile nililomtuma.
I I to speak: speak also to call: call to him to come (in): bring him and to prosper way: journey his
16 “Nikaribieni na msikilize hili: “Tangu tangazo la kwanza sikusema kwa siri; wakati litokeapo, nitakuwako hapo.” Sasa Bwana Mwenyezi amenituma, kwa Roho wake.
to present: come to(wards) me to hear: hear this not from head: first in/on/with secrecy to speak: speak from time to be she there I and now Lord YHWH/God to send: depart me and spirit his
17 Hili ndilo asemalo Bwana, Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli: “Mimi ni Bwana, Mungu wako, nikufundishaye ili upate faida, nikuongozaye katika njia ikupasayo kuiendea.
thus to say LORD to redeem: redeem your holy Israel I LORD God your to learn: teach you to/for to gain to tread you in/on/with way: conduct to go: went
18 Laiti ungesikiliza kwa makini maagizo yangu, amani yako ingekuwa kama mto, haki yako kama mawimbi ya bahari.
if to listen to/for commandment my and to be like/as river peace your and righteousness your like/as heap: wave [the] sea
19 Wazao wako wangekuwa kama mchanga, watoto wako kama chembe zake zisizohesabika; kamwe jina lao lisingefutiliwa mbali, wala kuangamizwa kutoka mbele zangu.”
and to be like/as sand seed: children your and offspring belly your like/as grain his not to cut: eliminate and not to destroy name his from to/for face: before my
20 Tokeni huko Babeli, kimbieni kutoka kwa Wakaldayo! Tangazeni hili kwa kelele za shangwe na kulihubiri. Lipelekeni mpaka miisho ya dunia; semeni, “Bwana amemkomboa mtumishi wake Yakobo.”
to come out: come from Babylon to flee from Chaldea in/on/with voice cry to tell to hear: proclaim this to come out: send her till end [the] land: country/planet to say to redeem: redeem LORD servant/slave his Jacob
21 Hawakuona kiu alipowaongoza kupita jangwani; alifanya maji yatiririke kutoka kwenye mwamba kwa ajili yao; akapasua mwamba na maji yakatoka kwa nguvu.
and not to thirst in/on/with desolation to go: take them water from rock to flow to/for them and to break up/open rock and to flow: flowing water
22 “Hakuna amani kwa waovu,” asema Bwana.
nothing peace to say LORD to/for wicked

< Isaya 48 >