< Isaya 47 >
1 “Shuka uketi mavumbini, ee Bikira Binti Babeli; keti chini pasipo na kiti cha enzi, ee binti wa Wakaldayo. Hutaitwa tena mwororo wala wa kupendeza.
Hina Gode da fedege sia: amane sia: sa, “Ba: bilone! Dia fisu amo fisili, osoboga aligila sa: ili amola osobo su amoga fima. Di da musa: a:fini dunu hame dawa: digi agoane galu. Di da musa: moilai bai bagade, eno dunuga hame hasanasi agoane galu. Be wali dia da asaboi amola noga: iwane ba: su hame gala. Di da bu udigili hawa: hamosu dunu agoai hamoi dagoi.
2 Chukua mawe ya kusagia, usage unga, vua shela yako. Pandisha mavazi yako, ondoa viatu vyako, vuka vijito kwa shida.
Widi goudasu igi sisiga: su bebesoma! Widi goudama! Dia abula sawa: figisu fadegama! Dia abula sosone noga: idafa gisa: ma! Hano degemusa: , dia gaeya gogomone gadoma.
3 Uchi wako utafunuliwa na aibu yako itaonekana. Nitalipa kisasi; sitamhurumia hata mmoja.”
Dunu da dia da: i nabado ba: mu. Dia da fonoboi dagoi amola ilia da dia gogosiasu ba: mu. Na da dabe imunu amola enoga Na logo hedofamu da hamedei.”
4 Mkombozi wetu: Bwana Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake; ndiye yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.
Isala: ili ilia Hadigi Gode da ninia hahawane dogolegele masa: ne, logo doasisa. Ea dio da Hina Gode Bagadedafa.
5 “Keti kimya, ingia gizani, Binti wa Wakaldayo, hutaitwa tena malkia wa falme.
Hina Gode da Ba: bilone fi ilima amane sia: sa, “Di ouiya: le gasi ganodini fima. Musa: ilia da di da fifi asi gala huluane ilima hina bagade uda, ilia sia: i. Be agoane bu hame sia: mu.
6 Niliwakasirikia watu wangu na kuaibisha urithi wangu; niliwatia mikononi mwako, nawe hukuwaonea huruma. Hata juu ya wazee uliweka nira nzito sana.
Na da Na fi ilima ougi galu. Na da ilima asigi hou fisili, ilia da Na fi hame defele ilima hamosu. Di, Ba: bilone, ilima hasanasima: ne, Na da dia logo doasi. Di da ilima hame asigi. Dia da dunu huluane amola da: i hamoi dunu ilima mae asigili, ili se nabima: ne, gasa fi agoane hamoi.
7 Ukasema, ‘Nitaendelea kuwa malkia milele!’ Lakini hukutafakari mambo haya wala hukuwaza juu ya kile kingeweza kutokea.
Di da eso huluane hina bagade uda agoane esalumusa: dawa: i gala. Be di da dia hou hamobe, amola fa: no misunu hou hame dawa: i.
8 “Sasa basi, sikiliza, ewe kiumbe mpenda anasa, ukaaye mahali pako pa salama, na kujiambia mwenyewe, ‘Mimi ndiye, wala hakuna mwingine zaidi yangu. Kamwe sitakuwa mjane, wala sitafiwa na watoto.’
Ba: bilone! Hahawane hedesu hou hanai dunu! Nabima! Di da hahawane gagili sali dagoi dawa: lala. Dia da Gode defele, gasa bagadedafa esala, amola osobo bagadega eno fi di defele hame esala dawa: lala. Di da didalo hamone, amola dia mano huluane fisimu amo hamedafa dawa: i galu.
9 Haya mawili yatakupata, kufumba na kufumbua, katika siku moja: kufiwa na watoto, na ujane. Yote yatakupata kwa kipimo kikamilifu, ijapokuwa uchawi wako ni mwingi, na uaguzi wako ni mwingi.
Be hedolodafa eso afadafa amoga, amo hou aduna da dima doaga: mu. Di da fefedoasu hou bagade hamomu, be digua amola mano fisimu.
10 Umeutegemea uovu wako, nawe umesema, ‘Hakuna yeyote anionaye.’ Hekima yako na maarifa yako vinakupoteza unapojiambia mwenyewe, ‘Mimi ndiye, wala hakuna mwingine zaidi yangu.’
Dia da wadela: i hou hamobeba: le, disu da defele dawa: i galu. Dia hou da enoga ba: mu da hamedei agoane dawa: i galu. Dia da dia bagade dawa: su hou amoma fa: no bobogebeba: le, giadofale asi. Di da dima amane sia: i, “Na da Gode. Eno fi na defele da hame esala.”
11 Maafa yatakujia, nawe hutaweza kuyaondoa kwa uaguzi. Janga litakuangukia, wala hutaweza kulikinga kwa fidia; msiba mkuu usioweza kuutabiri utakujia ghafula.
Di da wadela: lesi dagoi ba: mu. Amola dia fefedoasu hou da dia dafasu gaga: mu gogolei. Wadela: su hou, amo di da hamedafa dawa: i galu, da dima doaga: mu.
12 “Endelea basi na uaguzi wako, na wingi wa uchawi wako, ambao umeutumikia tangu utoto wako. Labda utafanikiwa, labda unaweza ukasababisha hofu kuu.
Defea! Gabi liligi amola yagono dawa: su liligi mae fisili gaguma! Dia manohadi esoga, di da amo liligi amoga hamosu. Amabela: ? Amo liligi da di fidima: bela: ? Amoga hamosea, dia ha lai dunu da beda: ma: bela: ? Hamefa!
13 Ushauri wote uliopokea umekuchosha bure! Wanajimu wako na waje mbele, wale watazama nyota watabiriao mwezi baada ya mwezi, wao na wawaokoe na lile linalokuja juu yenu.
Dunu eno da dima fada: i sia: olelesa, be di da gasa hame ba: sa. Dia gasumuni ilia hou hogosu dunu da misini, di gaga: mu da defea. Ilia da gasumuni ilia hou hogole, amola mu amo ea alalo defei ba: sa. Amasea, oubi afae afae hobea dilima doaga: mu hou olelesa.
14 Hakika wako kama mabua makavu; moto utawateketeza. Hawawezi hata kujiokoa wao wenyewe kutokana na nguvu za mwali wa moto. Hapa hakuna makaa ya kumtia mtu yeyote joto; hapa hakuna moto wa kuota.
Be ilia da bioi gisi agoane foga mini asi dagoi ba: mu. Amola, lalu da ili nemu. Ilia da ilisu gaga: mu hamedei ba: mu. Amo lalu sawa: da baligili gia: iba: le, ilia da amoga udigili dogolomu hamedei agoane ba: mu.
15 Hayo ndiyo yote wanayoweza kuwatendea ninyi, hawa ambao umetaabika nao na kufanya nao biashara tangu utoto. Kila mmoja atatoroka; hakuna yeyote awezaye kukuokoa.
Dilia da dia esalusu eso huluane ganodini, amo gasumuni ba: la: lusu dunu ilia sia: ne iasu hogosu. Be ilia da di fidimu hame dawa: Ilia da di fisili, difawane da dia logo hogoi helema: ne yolesimu. Afae da di gaga: mu hamedafa ba: mu.”