< Isaya 43 >

1 Lakini sasa hili ndilo asemalo Bwana, yeye aliyekuumba, ee Yakobo, yeye aliyekuhuluku, ee Israeli: “Usiogope kwa maana nimekukomboa, nimekuita wewe kwa jina lako, wewe u wangu.
Aa le hoe t’Iehovà namboatse azo, ry Iakobe, i nitsene azoy, ry Israele; ko hembañe fa nijebañe azo iraho, fa nikoihako ami’ty tahina’o, Ahiko irehe.
2 Unapopita kwenye maji makuu, nitakuwa pamoja nawe, unapopita katika mito ya maji, hayatakugharikisha. Utakapopita katika moto, hutaungua, miali ya moto haitakuunguza.
Ie mitsake o ranoo irehe, hindrezako, ie miranga saka, tsy handipora’e; ie misorok’ afo am-pandia tsy ho mae, le tsy hiviañe ama’o ty firebareba’e.
3 Kwa kuwa Mimi ndimi Bwana, Mungu wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, Mwokozi wako. Ninaitoa Misri kuwa fidia yako, Kushi na Seba badala yako.
Izaho Iehovà Andrianañahare’o, t’i Masi’ Israele, i Mpijebañe azoy; natoloko ho vilin’ai’o ty Mitsraime, i Kose naho i Sebà ho azo.
4 Kwa kuwa wewe ni wa thamani na wa kuheshimiwa machoni pangu, nami kwa kuwa ninakupenda, nitatoa watu badala yako na mataifa badala ya maisha yako.
Aa kanao sarotse am-pañenteako, naho mañeva asiñe, vaho kokoako; le lahilahy maro ty ho tolorako ho azo, vaho rofoko ho solom-piai’o.
5 Usiogope, kwa kuwa mimi nipo pamoja nawe, nitawaleta watoto wako kutoka mashariki, na kukukusanya kutoka magharibi.
Ko hembañe, fa indrezako; hendeseko boak’atiñanañe añe ty tiri’o, vaho hatontoko boak’ ­ahandrefañe añe.
6 Nitaiambia kaskazini, ‘Watoe!’ nayo kusini, ‘Usiwazuie.’ Walete wana wangu kutoka mbali, na binti zangu kutoka miisho ya dunia:
Hanao ty hoe iraho amy avaratsey: Hahao, naho ami’ty atimo: Ko tana’o, endeso boak’e tsietoitane añe o ana-dahikoo, naho boak’ añ’olo’ ty tane toy o anak’ampelakoo—
7 kila mmoja ambaye ameitwa kwa Jina langu, niliyemuumba kwa utukufu wangu, niliyemhuluku na kumfanya.”
ze hene kanjieñe ami’ty añarako, o tsineneko ho ami’ty engekoo, o naoreko vaho namboarekoo.
8 Uwaongoze wale wenye macho lakini hawaoni, wenye masikio lakini hawasikii.
Akaro boak’ ao ondaty goa am-pihainoo, o giñe an-dravembiao.
9 Mataifa yote yanakutanika pamoja, na makabila yanakusanyika. Ni nani miongoni mwao aliyetangulia kutuambia haya, na kututangazia mambo yaliyopita? Walete mashahidi wao ili kuwathibitisha kuwa walikuwa sahihi, ili wengine waweze kusikia, waseme, “Ni kweli.”
Hene mifanontone o kilakila’ ndatio, songa mivory ondatio; ia am’ iereo ty mahafitsey izay, hitaroñe aman-tika o raha haehaeo? Ampiboaho o valolombelo’ iareoo hahazoa’ iareo to; hijanjiñañe, hanoañe ty hoe: To izay.
10 “Ninyi ni mashahidi wangu,” asema Bwana, “na mtumishi wangu niliyemchagua, ili mpate kunijua na kuniamini, na kutambua kwamba Mimi ndiye. Kabla yangu hakuna mungu aliyefanyizwa, wala hatakuwepo mwingine baada yangu.
Inahareo ro valolombeloko, hoe t’Iehovà, naho ty mpitoroko jinoboko; hahafohina’ areo naho hatokisa’ areo ahy, haharendreke te Ie iraho; tsy eo ty ‘ndrahare ­niforoñeñe taoloko, vaho tsy eo ty hanonjohy ahy.
11 Mimi, naam mimi, ndimi Bwana, zaidi yangu hakuna mwokozi.
Izaho le Izaho avao t’Iehovà; le naho tsy Izaho, tsy eo ty mpandrombake.
12 Nimedhihirisha, kuokoa na kutangaza: Mimi, wala si mungu mgeni katikati yenu. Ninyi ni mashahidi wangu,” asema Bwana, “kwamba Mimi ndimi Mungu.
Fa nitaroñe iraho, naho nandrombake, naho nañoke, te tsy aman’ Andrianañahare ila’e nahareo; aa le inahareo ro valolombeloko, hoe t’Iehovà, Izaho ro Andrianañahare.
13 Naam, tangu siku za kale, Mimi ndiye. Hakuna hata mmoja awezaye kuokoa kutoka mkononi wangu. Mimi ninapotenda, ni nani awezaye kutangua?”
Eka, boak’ amy àndro zay, le fa ie iraho, vaho tsy eo ty haha­tavañe ty an-tañako; hitoloñe iraho, le ia ty mahasebañe.
14 Hili ndilo Bwana asemalo, Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli: “Kwa ajili yenu nitatumana Babeli na kuwaleta Wakaldayo wote kama wakimbizi, katika meli walizozionea fahari.
Hoe t’Iehovà mpijebañe anahareo, ty Masi’ Israele: inahareo ro nañitrifako e Bavele añe, le fonga nafotsako ho gike iareo naho o nte-Kasdy mitreñe o laka’eo.
15 Mimi ndimi Bwana, yeye Aliye Mtakatifu wako, Muumba wa Israeli, Mfalme wako.”
Izaho Iehovà, Masi’ areo, i mpamboats’ Israeley, ty Mpanjaka’ areo.
16 Hili ndilo asemalo Bwana, yeye aliyefanya njia baharini, mahali pa kupita kwenye maji mengi,
Aa hoe t’Iehovà mpamboatse lalañe mitsake i riakey, naho oloñoloñe mitoañe o rano mitroñeo;
17 aliyeyakokota magari ya vita na farasi, jeshi pamoja na askari wa msaada, nao wakalala huko, wala hawatainuka tena kamwe, wakakomeshwa, na wakazimika kama utambi:
I mpañakatse i sarete reke-tsoavalaiy, o lahindefoñe naho haozara’eo— miharo fandreañe ao iereo, tsy hitroatse ka, fa mongotse, nakipeke hoe lamese.
18 “Msiyakumbuke mambo yaliyopita, wala msiyatafakari mambo ya zamani.
Ko mitsakore o raha taoloo, ko mañereñere o raha haehaeo.
19 Tazama, nitafanya jambo jipya! Sasa litachipuka, je, hamtalitambua? Nitafanya njia jangwani na vijito vya maji katika nchi kame.
Heheke te manao raha vao iraho, hitiry ami’ty manao zao; aa tsy ho rendre’ areo hao? hanatahako lalañe ka ty am-patrañe añe, naho saka an-dratraratra ao.
20 Wanyama wa mwituni wataniheshimu, mbweha na bundi, kwa sababu ninawapatia maji jangwani, na vijito katika nchi kame, ili kuwapa watu wangu maji, wale niliowachagua,
Hiasy ahy o biby an-kivokeo, o fanalokeo naho o voron-tsatrañeo, ty amo rano nanoeko am-patrañeo, naho o saka an-dratraratrao, hanjotsoako rano ondaty jinobokoo;
21 watu wale niliowaumba kwa ajili yangu, ili wapate kutangaza sifa zangu.
Ho talilie’ ondaty namboareko ho ahikoo, ty engeko.
22 “Hata hivyo hukuniita mimi, ee Yakobo, hujajitaabisha kwa ajili yangu, ee Israeli.
Fe tsy nikanjy ahy nahareo, ry Iakobe, namokoreko nahareo ry Israele.
23 Hujaniletea kondoo kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, wala kuniheshimu kwa dhabihu zako. Sikukulemea kwa sadaka za nafaka wala kukuchosha kwa kuhitaji uvumba.
Tsy nisoroña’o ty añondri’o; tsy niasia’o amo engaeñeo; tsy nampijinieko engan-kaneñe, tsy nivozaheko ami’ty tsotse.
24 Hukuninunulia uvumba wowote wenye manukato, wala hukunipa kwa ukarimu mafuta ya wanyama wa dhabihu zako. Lakini umenilemea kwa dhambi zako, na kunitaabisha kwa makosa yako.
Tsy nibanabana’o fare naho drala, tsy nahaeneñ’ Ahy ty safom-pisoroña’o; te mone nampavesare’o amako o tahi’oo, vaho namokore’o amo hakeo’oo.
25 “Mimi, naam mimi, ndimi nizifutaye dhambi zako, kwa ajili yangu mwenyewe, wala sizikumbuki dhambi zako tena.
Izaho le Izaho avao ty namaoke o fiolà’o amakoo. vaho tsy ho tiahiko ka o hakeo’oo.
26 Tafakari mambo yaliyopita, njoo na tuhojiane, leta shauri lako uweze kupewa haki yako.
Ajoño am-pitiahia’o ao iraho, antao hifaneseke; mitalilia hahazoa’o to.
27 Baba yako wa kwanza alitenda dhambi, wasemaji wako wameasi dhidi yangu.
Nandilatse i rae’o valoha’ey, vaho manan-kakeo amako ondati-aivo’oo;
28 Kwa hiyo nitawaaibisha wakuu wa Hekalu lako, nami nitamtoa Yakobo aangamizwe, na Israeli adhihakiwe.
Aa le vinetako o ana-dona’ i toetse miavakeio, nengaeko am-patse t’Iakobe, vaho an-teratera t’Israele.

< Isaya 43 >