< Isaya 4 >

1 Katika siku ile wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe na kuvaa nguo zetu wenyewe, ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako. Utuondolee aibu yetu!”
O gün yedi kadın bir erkeği tutup, “Kendi yemeğimizi de giysimizi de sağlarız; yeter ki senin adını alalım. Utancımızı gider!” diyecekler.
2 Katika siku ile Tawi la Bwana litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika.
O gün RAB'bin dalı, İsrail halkından sağ kalanların güzelliği ve görkemi olacak; ülkenin meyvesi de onların kıvancı ve övüncü olacak.
3 Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu.
Siyon'da, yani Yeruşalim'de sağ kalanlara, “Yeruşalim'de yaşıyor” diye kaydedilenlere, “Kutsal” denilecek.
4 Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto.
Rab Siyon kızlarını pisliklerinden arındıracak. Yeruşalim'de dökülen kanı adil ve ateşten bir ruhla temizleyecek.
5 Kisha Bwana ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.
Sonra RAB Siyon Dağı'nın her yanını, orada toplananların üzerini gündüz bulutla, gece dumanla ve parlak alevle örtecek. Yüceliği onların üzerinde bir örtü olacak.
6 Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.
Bu, bir çardak, gündüzün sıcağına karşı gölge, yağmura, fırtınaya karşı sığınak ve korunak olacak.

< Isaya 4 >