< Isaya 4 >

1 Katika siku ile wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe na kuvaa nguo zetu wenyewe, ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako. Utuondolee aibu yetu!”
I u ono vrijeme sedam æe žena uhvatiti jednoga èovjeka govoreæi: svoj æemo hljeb jesti i svoje æemo odijelo nositi, samo da se zovemo tvojim imenom, skini s nas sramotu.
2 Katika siku ile Tawi la Bwana litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika.
U ono vrijeme biæe klica Gospodnja na slavu i èast, i plod zemaljski na krasotu i diku ostatku Izrailjevu.
3 Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu.
I ko ostane u Sionu i ko još bude u Jerusalimu, zvaæe se svet, svaki ko bude zapisan za život u Jerusalimu,
4 Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto.
Kad Gospod opere neèistotu kæeri Sionskih i iz Jerusalima oèisti krv njegovu duhom koji sudi i sažiže.
5 Kisha Bwana ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.
Gospod æe stvoriti nad svakim stanom na gori Sionskoj i nad zborovima njezinijem oblak danju s dimom i svjetlost plamena ognjenoga noæu, jer æe nad svom slavom biti zaklon.
6 Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.
I biæe koliba, da sjenom zaklanja danju od vruæine i da bude utoèište i zaklon od poplave i od dažda.

< Isaya 4 >