< Isaya 4 >
1 Katika siku ile wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe na kuvaa nguo zetu wenyewe, ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako. Utuondolee aibu yetu!”
Sete mulheres tomarão posse de um homem naquele dia, dizendo: “Comeremos nosso próprio pão e usaremos nossa própria roupa”. Que nos chamem pelo seu nome. Tire-nos nossa reprovação”.
2 Katika siku ile Tawi la Bwana litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika.
Naquele dia, o ramo de Yahweh será belo e glorioso, e o fruto da terra será a beleza e a glória dos sobreviventes de Israel.
3 Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu.
Acontecerá que aquele que ficar em Sião e aquele que permanecer em Jerusalém será chamado santo, mesmo todo aquele que estiver escrito entre os vivos em Jerusalém,
4 Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto.
quando o Senhor tiver lavado a sujeira das filhas de Sião, e tiver purificado o sangue de Jerusalém de dentro dela, pelo espírito de justiça e pelo espírito de ardor.
5 Kisha Bwana ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.
Yahweh criará sobre toda a habitação do Monte Sião e sobre suas assembléias, uma nuvem e fumaça de dia, e o resplendor de um fogo ardente de noite, pois sobre toda a glória será um dossel.
6 Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.
Haverá um pavilhão para uma sombra durante o dia, para um refúgio e para um abrigo das tempestades e da chuva.