< Isaya 4 >

1 Katika siku ile wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe na kuvaa nguo zetu wenyewe, ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako. Utuondolee aibu yetu!”
در آن زمان تعداد مردان به قدری کم خواهد بود که هفت زن دست به دامن یک مرد شده، خواهند گفت: «ما خود خوراک و پوشاک خود را تهیه می‌کنیم. فقط اجازه بده تو را شوهر خود بخوانیم تا نزد مردم شرمگین نشویم.»
2 Katika siku ile Tawi la Bwana litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika.
در آن روز شاخهٔ خداوند زیبا و پرشکوه خواهد بود و ثمری که خداوند در اسرائیل تولید نموده است مایۀ فخر و زینت نجات یافتگان آن سرزمین خواهد گردید.
3 Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu.
کسانی که برگزیده شده‌اند تا در اورشلیم زنده بمانند، در امان خواهند بود و قوم پاک خدا نامیده خواهند شد.
4 Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto.
خداوند نجاست دختران صهیون را خواهد شست و لکه‌های خون اورشلیم را با روح داوری و روح آتشین پاک خواهد کرد.
5 Kisha Bwana ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.
سایهٔ خداوند بر سر همهٔ ساکنان اورشلیم خواهد بود و او مانند گذشته، در روز با ابر غلیظ و در شب با شعلهٔ آتش از ایشان محافظت خواهد کرد.
6 Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.
جلال او در گرمای روز سایبان ایشان خواهد بود و در باران و طوفان پناهگاه ایشان.

< Isaya 4 >