< Isaya 4 >

1 Katika siku ile wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe na kuvaa nguo zetu wenyewe, ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako. Utuondolee aibu yetu!”
And seuene wymmen schulen catche o man in that dai, and schulen seie, We schulen ete oure breed, and we schulen be hilid with oure clothis; oneli thi name be clepid on vs, do thou awei oure schenschip.
2 Katika siku ile Tawi la Bwana litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika.
In that dai the buriownyng of the Lord schal be in greet worschip and glorie; and the fruyt of erthe schal be hiy, and ful out ioye `schal be to hem that schulen be sauyd of Israel.
3 Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu.
And it schal be, ech that is left in Sion, and is resydue in Jerusalem, schal be clepid hooli; ech that is writun in lijf in Jerusalem;
4 Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto.
if the Lord waischith awei the filthis of the douytris of Sion, and waischith the blood of Jerusalem fro the myddis therof, in the spirit of doom, and in the spirit of heete.
5 Kisha Bwana ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.
And the Lord made on ech place of the hille of Sion, and where he was clepid to help, a cloude bi dai, and smoke, and briytnesse of fier flawmynge in the niyt; for whi hilyng schal be aboue al glorie.
6 Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.
And a tabernacle schal be in to a schadewynge place of the dai, fro heete, and in to sikirnesse and in to hidyng, fro whirlewynd and fro reyn.

< Isaya 4 >