< Isaya 4 >

1 Katika siku ile wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe na kuvaa nguo zetu wenyewe, ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako. Utuondolee aibu yetu!”
I chopí se sedm žen muže jednoho v ten den, a řeknou: Chléb svůj jísti budeme, a rouchem svým se odívati, toliko ať po tobě se jmenujeme; odejmi pohanění naše.
2 Katika siku ile Tawi la Bwana litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika.
V ten den bude výstřelek Hospodinův ušlechtilý a slavný, a plod země výtečný a krásný, totiž ti, kteříž zachováni budou z Izraele.
3 Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu.
I stane se, že kdož bude zanechán na Sionu, a pozůstaven bude v Jeruzalémě, svatý slouti bude, každý, kdož jest zapsán k životu v Jeruzalémě,
4 Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto.
Když Pán smyje nečistotu dcer Sionských, a krev Jeruzaléma vyplákne z něho v duchu soudu a v duchu horlivosti.
5 Kisha Bwana ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.
A stvoří Hospodin nad každým obydlím hory Sion, a nad každým shromážděním jejím oblak ve dne, a dým a blesk plápolajícího ohně v noci; nebo nad všecku slávu bude zastření.
6 Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.
A bude stánkem k zastěňování ve dne před horkem, a za útočiště a skrýši před přívalem a deštěm.

< Isaya 4 >