< Isaya 4 >

1 Katika siku ile wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe na kuvaa nguo zetu wenyewe, ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako. Utuondolee aibu yetu!”
Hiche nikho chuleh pasal lhomcha kidalhading, numei sagiin pasal khat atuhchah-uva, “Keiho khat cheh hi neikichenpi jengun. Keiho le keiho kivah-ungting, sil le chen jong kingaito nauvinge. Naminin najinu din neikichenpi jengun ajeh chu nungah vaokulla jumleja kathohlouna diuvin,” ati diu ahi.
2 Katika siku ile Tawi la Bwana litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika.
Hinlah khonungtengle Pakaiya kon’a hung jamdoh abah ho chu hoitahtah le loupitah chule agamga kithangatpitah hung hintin, Israel’a dinga kiledohna hung hiding ahi.
3 Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu.
Zion’a umden jouse chu mithengte kitidiu ahiin, amaho chu Jerusalem setnaa kon’a hung sohcha ahingdohho chu ahiuve.
4 Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto.
Pakaiyin Zion khopi hoitaha kon’a bohsenen jouse asuhthenga chuleh Jerusalem’a thisan kisoho chu athaneina jal'a nampi thu atan’a asuhtheng ding,
5 Kisha Bwana ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.
Chuteng Zion molsanga mipi akikhom jouse dinga Pakaiyin sun teng meilhanga alesah-a jan teng mei adetpeh ding, Pathen loupina meipi chun alea aselding ahi.
6 Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.
Pathen loupina khopi chu nisa alepeha huipi le gopi laha jong adaldohpeh ding ahi.

< Isaya 4 >