< Isaya 36 >

1 Katika mwaka wa kumi na nne wa utawala wa Mfalme Hezekia, Senakeribu mfalme wa Ashuru akaishambulia miji yote ya Yuda yenye ngome na kuiteka.
I stło się czternastego roku królowania Ezechyjasza, że przyciągnął Sennacheryb, król Assyryjski, przeciwko wszystkim miastom Judzkim obronnym, i pobrał je.
2 Kisha mfalme wa Ashuru akamtuma jemadari wa jeshi pamoja na jeshi kubwa kutoka Lakishi hadi kwa Mfalme Hezekia huko Yerusalemu. Jemadari wa jeshi akasimama kwenye mfereji wa Bwawa la Juu, lililojengwa katika barabara iendayo kwenye Uwanja wa Dobi.
I posłał król Assyryjski Rabsacesa z Lachys, do Jeruzalemu, do króla Ezechyjasza z wielkiem wojskiem, który stanął u rur sadzawki wyższej przy drodze pola blecharzowego.
3 Eliakimu mwana wa Hilkia aliyekuwa msimamizi wa jumba la kifalme, Shebna aliyekuwa katibu, na Yoa mwana wa Asafu mwandishi wakamwendea.
Tedy wyszedł do niego Elijakim, syn Helkijaszowy, przełożony nad domem, i Sobna pisarz, i Joach, syn Asafowy, kanclerz.
4 Jemadari wa jeshi akawaambia, “Mwambieni Hezekia, “‘Hili ndilo asemalo mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru: Ni wapi unapoweka hili tumaini lako?
I rzekł do nich Rabsaces: Proszę, powiedzcie Ezechyjaszowi: Tak mówi król wielki, król Assyryjski: Cóż to za ufność, którą ufasz?
5 Unasema mnayo mikakati na nguvu za kijeshi, lakini unasema maneno matupu tu. Je, wewe unamtegemea nani, hata ukaniasi mimi?
Rzekłbym: (Acz to rzecz daremna) Snać rady i mocy do wojny dosyć masz; ale w kimże ufasz, że mi się sprzeciwiasz?
6 Tazama sasa, unaitegemea Misri, fimbo ile ya mwanzi uliopasuka, ambayo huuchoma na kuujeruhi mkono wa mtu akiiegemea! Hivyo ndivyo alivyo Farao mfalme wa Misri, kwa wote wanaomtegemea.
Otoś spoległ na lasce tej trzciny nałamanej, na Egipcie, którą jeźliby się kto podparł, wnijdzie w rękę jego, i przekole ją. Takić jest Farao, król Egipski, wszystkim, którzy w nim ufają.
7 Nawe kama ukiniambia, “Tunamtumainia Bwana Mungu wetu”: je, siyo yeye ambaye Hezekia aliondoa mahali pake pa juu pa kuabudia miungu na madhabahu zake, akiwaambia Yuda na Yerusalemu, “Ni lazima mwabudu mbele ya madhabahu haya”?
A jeźli mi rzeczesz: W Panu, Bogu naszym, ufamy; azaż nie ten jest, którego zniósł Ezechyjasz wyżyny i ołtarze, i przykazał Judzie i Jeruzalemowi mówiąc: Przed tym ołtarzem kłaniać się będziecie?
8 “‘Njooni sasa, fanyeni mapatano na bwana wangu, mfalme wa Ashuru: Nitakupa farasi elfu mbili, kama unaweza kuwapandisha waendesha farasi juu yao!
Przetoż teraz proszę, zaręcz się Panu memu, królowi Assyryjskiemu, a ja tobie dam dwa tysiące koni, będzieszli je mógł osadzić jezdnymi.
9 Utawezaje kumzuia hata afisa mmoja aliye mdogo kati ya maafisa wa bwana wangu, ijapo unategemea Misri kwa magari ya vita na wapanda farasi?
I jakoż się ty możesz oprzeć hetmanowi jednemu najmniejszemu z sług pana mego, choć ufasz w Egipcie dla wozów i jezdnych?
10 Zaidi ya hayo, je, nimekuja kushambulia na kuangamiza nchi hii bila Bwana? Bwana mwenyewe ndiye aliniambia niishambulie nchi hii na kuiangamiza.’”
Nadto czy bez woli Pańskiej przyciągnąłem do tej ziemi, abym ją spustoszył? Pan rzekł do mnie: Ciągnij do tej ziemi, a spustosz ją.
11 Ndipo Eliakimu, Shebna na Yoa wakamwambia yule jemadari wa jeshi, “Tafadhali zungumza na watumishi wako kwa lugha ya Kiaramu, kwa kuwa tunaifahamu. Usiseme nasi kwa Kiebrania watu walioko juu ya ukuta wakiwa wanasikia.”
Tedy rzekł Elijakim, i Sobna, i Joach do Rabsacesa: Proszę, mów do sług twoich po syryjsku, wszak rozumiemy, a nie mów do nas po żydowsku przed tym ludem, który jest na murze.
12 Lakini yule jemadari wa jeshi akajibu, “Je, bwana wangu amenituma kutoa ujumbe huu kwa bwana wenu na kwenu tu? Je, hakunituma pia kwa watu walioketi ukutani, ambao, kama ninyi, itawabidi kula mavi yao na kunywa mikojo yao wenyewe?”
I odpowiedział Rabsaces: Azaż mię do Pana twego albo do ciebie posłał Pan mój, abym te słowa mówił? Posłał mię raczej do mężów, którzy siedzą na murze, aby jedli łajna swoje, a mocz swój pospołu z wami pili.
13 Kisha yule jemadari wa jeshi akasimama na kuita kwa lugha ya Kiebrania, akasema: “Sikieni maneno ya mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru!
A tak stanął Rabsaces i wołał głosem wielkim po żydowsku, mówiąc: Słuchajcie słów króla wielkiego, króla Assyryjskiego.
14 Hili ndilo asemalo mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa!
Tak mówi król: Niech was nie zwodzi Ezechyjasz: bo was nie będzie mógł wybawić.
15 Msikubali Hezekia awashawishi kumtumaini Bwana kwa kuwaambia, ‘Hakika Bwana atatuokoa. Mji huu hautaangukia mikononi mwa mfalme wa Ashuru.’
A niech wam nie rozkazuje Ezechyjasz ufać w Panu, mówiąc: Zapewne nas Pan wybawi, a nie będzie to miasto podane w rękę króla Assyryjskiego.
16 “Msimsikilize Hezekia. Hili ndilo mfalme wa Ashuru asemalo: Fanyeni amani nami na mje kwangu. Kisha kila mmoja wenu atakula kutoka kwa mzabibu wake na mtini wake mwenyewe, na kunywa maji kutoka kisima chake mwenyewe,
Nie słuchajcież Ezechyjasza; albowiem tak powiedział król Assyryjski: Uczyńcie zemną przymierze, a wynijdźcie do mnie, a jedz każdy z was z winnicy swojej, i każdy z figowego drzewa swego, a pij każdy z was wodę z studni swojej;
17 mpaka nije nikawapeleke katika nchi iliyo kama nchi yenu wenyewe, nchi ya nafaka na divai mpya, nchi ya mkate na ya mashamba ya mizabibu.
Aż przyjdę a pobiorę was do ziemi podobnej ziemi waszej, do ziemi zboża i wina, do ziemi chleba i winnic.
18 “Msikubali Hezekia awapotoshe asemapo, ‘Bwana atatuokoa.’ Je, yuko mungu wa taifa lolote aliyewahi kuokoa nchi yake kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?
Niech was nie zwodzi Ezechyjasz, mówiąc: Pan nas wybawi. Izaż mogli bogowie narodów wybawić każdy ziemię swoję z ręki króla Assyryjskiego?
19 Iko wapi miungu ya Hamathi na ya Arpadi? Iko wapi miungu ya Sefarvaimu? Je, imeokoa Samaria kutoka mkononi mwangu?
Gdzież są bogowie Emat i Arfad? Gdzie są bogowie Sefarwaim? Azaż wybawił Samaryję z ręki mojej?
20 Ni yupi miongoni mwa miungu yote ya nchi hizi ameweza kuokoa nchi yake mkononi mwangu? Inawezekanaje basi Bwana aiokoe Yerusalemu mkononi mwangu?”
Którzyż są między wszystkimi bogami tych ziem, którzyby wydarli ziemię swoję z ręki mojej? A miałby Pan wybawić Jeruzalem z ręki mojej?
21 Lakini wale watu wakakaa kimya, wala hawakujibu lolote, kwa kuwa mfalme alikuwa amewaamuru, “Msimjibu lolote.”
Ale oni milczeli, i nie odpowiedzieli mu i słowa; bo takie było rozkazanie królewskie, mówiąc: Nie odpowiadajcie mu.
22 Kisha Eliakimu mwana wa Hilkia msimamizi wa jumba la kifalme, Shebna katibu, na Yoa mwana wa Asafu, mwandishi wakamwendea Hezekia, nguo zao zikiwa zimeraruliwa, na kumwambia yale jemadari wa jeshi aliyoyasema.
I przyszedł Elijakim, syn Helkijaszowy, przełożony domu, i Sobna pisarz, i Joach, syn Asafowy, kanclerz, do Ezechyjasza, rozdarłszy szaty swe, i oznajmili mu słowa Rabsacesowe.

< Isaya 36 >