< Isaya 34 >

1 Njooni karibu, enyi mataifa, nanyi msikilize; sikilizeni kwa makini, enyi kabila za watu! Dunia na isikie, navyo vyote vilivyo ndani yake, ulimwengu na vyote vitokavyo ndani yake!
Namtom rhoek loh hnatun hamla ha mop lah. Namtu rhoek loh hnatung uh saeh lamtah diklai neh lunglai boeih neh a cadil cahma rhoek boeih loh yaa saeh.
2 Bwana ameyakasirikia mataifa yote; ghadhabu yake ni juu ya majeshi yao yote. Atawaangamiza kabisa, atawatia mikononi mwa wachinjaji.
BOEIPA kah a thinhul te namtom boeih taengah, a kosi te amih kah caempuei boeih taengla pawk. Amih te a thup vetih maeh la a voeih ni.
3 Waliouawa watatupwa nje, maiti zao zitatoa uvundo, milima itatota kwa damu zao.
Amih a ngawn te a voeih vaengah a rhok kah a bothae te rhim ni. Amih thii loh tlang a yut sak ni.
4 Nyota zote za mbinguni zitayeyuka na anga litasokotwa kama kitabu, jeshi lote la angani litaanguka kama majani yaliyonyauka kutoka kwenye mzabibu, kama tini iliyonyauka kutoka kwenye mtini.
Vaan dong caempuei boeih te muei vetih vaan cabu bangla kolong uh ni. Amih kah caempuei boeih te misur hnah a hoo bangla, thaibu a hoo bangla hoo ni.
5 Upanga wangu umekunywa na kushiba huko mbinguni, tazama, unashuka katika hukumu juu ya Edomu, wale watu ambao nimeshawahukumu, kuwaangamiza kabisa.
Ka cunghang loh vaan ah hmilhmal tih Edom a cuk thil. Pilnam te kamah kah yaehtaboeih loh laitloeknah neh a pha coeng.
6 Upanga wa Bwana umeoga katika damu, umefunikwa na mafuta ya nyama: damu ya kondoo na mbuzi, mafuta kutoka figo za kondoo dume. Kwa maana Bwana ana dhabihu huko Bosra, na machinjo makuu huko Edomu.
BOEIPA kah cunghang tah a thii hah coeng. Bozrah kah BOEIPA hmueih neh Edom khohmuen kah maeh len kongah maehtha neh, tuca thii neh, kikong neh tutal kuel kah a tha loh a men sak.
7 Nyati wataanguka pamoja nao, ndama waume na mafahali wakubwa. Nchi yao italowana kwa damu, nayo mavumbi yataloa mafuta ya nyama.
Cung neh vaito lueng khaw amih taengla suntla ni. Te vaengah a khohmuen te thii neh hmilhmal vetih a laipi khaw maehtha bangla men ni.
8 Kwa sababu Bwana anayo siku ya kulipiza kisasi, mwaka wa malipo, siku ya kushindania shauri la Sayuni.
BOEIPA taengah phulohnah khohnin neh, Zion kah tuituknah te a sah kum khaw om.
9 Vijito vya Edomu vitageuka kuwa lami, mavumbi yake yatakuwa kiberiti kiunguzacho, nchi yake itakuwa lami iwakayo!
A soklong te kunhnai la, a laipi te kat la poeh ni. A khohmuen te kunhnai rhawm la poeh ni.
10 Haitazimishwa usiku wala mchana, moshi wake utapaa juu milele. Kutoka kizazi hadi kizazi itakuwa ukiwa, hakuna mtu yeyote atakayepita huko tena.
Khoyin khothaih kumhal duela thi mahpawh. A khu khaw cadilcahma lamkah cadilcahma patoeng taengla cet ni. A yoeyah kah a yoeyah la khap uh vetih te long te paan uh voel mahpawh.
11 Bundi wa jangwani na bundi mwenye sauti nyembamba wataimiliki, bundi wakubwa na kunguru wataweka viota humo. Mungu atanyoosha juu ya Edomu kamba ya kupimia ya machafuko matupu, na timazi ya ukiwa.
Khosoek saelbu, kharhoeng neh saelbu loh a pang vetih vangak loh kho a sak thil ni. Rhilam te hinghong la, lungto he a hong la a toe uh.
12 Watu wake wa kuheshimiwa hawatakuwa na chochote kitakachoitwa ufalme huko, nao wakuu wao wote watatoweka.
A hlangcoelh rhoek khaw a ram ah hah a khueh uh vetih a mangpa rhoek khaw a honghi la boeih om ni.
13 Miiba itaenea katika ngome za ndani, viwawi na michongoma itaota kwenye ngome zake. Itakuwa maskani ya mbweha, makao ya bundi.
A impuei te dohui hling loh, a hmuencak te mutlo hling loh a yam thil ni. Te vaengah pongui kah tolkhoeng la, tuirhuk vanu kah a bu la poeh ni.
14 Viumbe vya jangwani vitakutana na fisi, nao mbuzi-mwitu watalia wakiitana; huko viumbe vya usiku vitastarehe pia na kujitafutia mahali pa kupumzika.
Te vaengah kohong neh sa-ui hum vetih maae loh a hui a khue ni. Vathae khaw pahoi paa vetih amah ham ngolbuel a hmuh ni.
15 Bundi wataweka viota huko na kutaga mayai, atayaangua na kutunza makinda yake chini ya uvuli wa mabawa yake; pia huko vipanga watakusanyika, kila mmoja na mwenzi wake.
Te ah valah loh bu a tuk vetih oi ni. A khae phoeiah tah a hlipkhup ah a ku thil ni. Te ah te valae rhoek khaw tingtun uh vetih a la te a paa cu ni.
16 Angalieni katika gombo la Bwana na msome: Hakuna hata mmoja katika hawa atakayekosekana, hakuna hata mmoja atakayemkosa mwenzi wake. Kwa kuwa ni kinywa chake Mungu kimeagiza, na Roho wake atawakusanya pamoja.
BOEIPA kah cabu dongah cae uh lamtah tae uh lah. Amih kah pakhat khaw hmaai mahpawh. A la pakhat khaw a paa vawt uh mahpawh. Ka ka loh a uen coeng dongah amih te BOEIPA kah a mueihla loh a coi ni.
17 Huwagawia sehemu zao, mkono wake huwagawanyia kwa kipimo. Wataimiliki hata milele na kuishi humo kutoka kizazi hadi kizazi.
Amah loh amih ham hmulung a nan pah. A kut loh amih ham rhilam a suem pah te kumhal duela a pang uh ni. Cadilcahma phoeikah cadilcahma loh a khuiah kho a sak uh ni.

< Isaya 34 >