< Isaya 31 >
1 Ole wao wale washukao Misri kwa ajili ya msaada, wale wategemeao farasi, wanaoweka tumaini katika wingi wa magari yao ya vita, na katika nguvu nyingi za wapanda farasi, lakini hawamwangalii yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, wala hawatafuti msaada kwa Bwana.
Ak vai, tiem, kas uz Ēģipti iet pēc palīdzības un paļaujas uz zirgiem un cerē uz ratiem, tāpēc ka to ir daudz, un uz jātniekiem, tāpēc ka to ir liels pulks, bet uz to Svēto iekš Israēla nerauga un To Kungu nemeklē.
2 Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta maafa, wala hayatangui maneno yake. Yeye atainuka dhidi ya nyumba ya mwovu, dhidi ya wale ambao huwasaidia watenda mabaya.
Bet arī Viņš ir gudrs un liek ļaunumam nākt un neņem atpakaļ Savus vārdus, bet ceļas pret bezdievīgo namu un pret ļauna darītāju palīgu.
3 Lakini Wamisri ni wanadamu, wala si Mungu, farasi wao ni nyama, wala si roho. Wakati Bwana atakaponyoosha Mkono wake, yeye anayesaidia atajikwaa, naye anayesaidiwa ataanguka, wote wawili wataangamia pamoja.
Jo ēģiptieši ir cilvēki un ne Dievs, un viņu zirgi ir miesa un ne gars. Un Tas Kungs izstieps Savu roku, un tas palīgs klūp un, kam top līdzēts, tas krīt, un tie visi kopā iet bojā.
4 Hili ndilo Bwana analoniambia: “Kama vile simba angurumavyo, simba mkubwa juu ya mawindo yake: hata ingawa kundi lote la wachunga mifugo huitwa pamoja dhidi yake, hatiwi hofu na kelele zao wala kusumbuliwa na ghasia zao; ndivyo Bwana Mwenye Nguvu Zote atakavyoshuka kufanya vita juu ya Mlima Sayuni na juu ya vilele vyake.
Jo tā Tas Kungs uz mani sacījis: tā kā lauva un kā jauns lauva rūc par savu laupījumu, un, jebšu pret viņu liels ganu pulks top sasaukts, tomēr viņš neizbīstas priekš viņu balss un nebaidās no viņa lielā pulka, tāpat Tas Kungs Cebaot nolaidīsies, karot uz Ciānas kalna un uz viņas augstuma.
5 Kama ndege warukao, Bwana Mwenye Nguvu Zote ataukinga Yerusalemu; ataukinga na kuuokoa, atapita juu yake na kuufanya salama.”
Tā kā putni lidinājās, tāpat Tas Kungs Cebaot apklās Jeruzālemi, un apklādams izpestīs un žēlodams izglābs.
6 Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana.
Atgriežaties, Israēla bērni, pie Tā, no kā tik tālu esat atkāpušies.
7 Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
Jo tai dienā tie atmetīs ikkatrs savus sudraba elkus un savus zelta elkus, ko jūsu rokas ir taisījušas sev par grēku.
8 “Ashuru itaanguka kwa upanga ambao si wa mwanadamu; upanga usio wa kibinadamu utawaangamiza. Watakimbia mbele ya upanga na vijana wao wa kiume watafanyizwa kazi kwa lazima.
Un Asurs kritīs caur zobenu, bet ne caur vīra zobenu, un to norīs, bet ne cilvēka zobens, un tas bēgs no zobena un viņa jaunekļi paliks par vergiem.
9 Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu; kwa kuona bendera ya vita, majemadari wao watashikwa na hofu ya ghafula,” asema Bwana, ambaye moto wake uko Sayuni, nayo tanuru yake iko Yerusalemu.
Un viņa kalns trīcēs no bailēm, un viņa lielkungi iztrūcināti bēgs no karoga; to saka Tas Kungs, kam Ciānā uguns un Jeruzālemē ugunskurs.