< Isaya 31 >
1 Ole wao wale washukao Misri kwa ajili ya msaada, wale wategemeao farasi, wanaoweka tumaini katika wingi wa magari yao ya vita, na katika nguvu nyingi za wapanda farasi, lakini hawamwangalii yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, wala hawatafuti msaada kwa Bwana.
We nu selos su som nu Egypt in suk kasru! Elos lulalfongi ke ku lulap lun Egypt — ke horse ac chariot puspis, ac un mwet mweun lalos. Elos tia lulalfongi LEUM GOD mutal lun Israel, ku siyuk kasru sel.
2 Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta maafa, wala hayatangui maneno yake. Yeye atainuka dhidi ya nyumba ya mwovu, dhidi ya wale ambao huwasaidia watenda mabaya.
El lalmwetmet in ma El oru! El supu mwe ongoiya. El ac akfalye kas lal in kalyei mwet koluk oayapa elos su loangelos.
3 Lakini Wamisri ni wanadamu, wala si Mungu, farasi wao ni nyama, wala si roho. Wakati Bwana atakaponyoosha Mkono wake, yeye anayesaidia atajikwaa, naye anayesaidiwa ataanguka, wote wawili wataangamia pamoja.
Mwet Egypt uh tia god-elos mwet na. Wangin pac ku mwenmen lun horse natulos. Pacl se LEUM GOD El ac srukak ku lal, mutunfacl na ku ac fah tukulkul, ac mutunfacl munas ma kasreyuk ac ikori. Acn inge kewa ac fah kunausyukla.
4 Hili ndilo Bwana analoniambia: “Kama vile simba angurumavyo, simba mkubwa juu ya mawindo yake: hata ingawa kundi lote la wachunga mifugo huitwa pamoja dhidi yake, hatiwi hofu na kelele zao wala kusumbuliwa na ghasia zao; ndivyo Bwana Mwenye Nguvu Zote atakavyoshuka kufanya vita juu ya Mlima Sayuni na juu ya vilele vyake.
LEUM GOD El fahk nu sik, “Mwet shepherd uh finne sasa ac wowo, elos tia ku in lusla soko lion liki kosro soko ma el uniya. In ouiya sacna, wangin ma ku in tulokinyuwi, LEUM GOD Kulana, liki in loango Eol Zion.
5 Kama ndege warukao, Bwana Mwenye Nguvu Zote ataukinga Yerusalemu; ataukinga na kuuokoa, atapita juu yake na kuufanya salama.”
Oana ke sie won el pikpik fin ahng lal in loango ma fusr natul, ouinge nga LEUM GOD Kulana fah karingin Jerusalem ac loangel.”
6 Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana.
God El fahk, “Mwet Israel, kowos orekma koluk lainyu ac kisrung ma nga oru. Tusruktu inge kowos foloko nu yuruk!
7 Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
Pacl se ac tuku ke kowos nukewa ac fah sisla ma sruloala koluk ma kowos orala ke silver ac gold.
8 “Ashuru itaanguka kwa upanga ambao si wa mwanadamu; upanga usio wa kibinadamu utawaangamiza. Watakimbia mbele ya upanga na vijana wao wa kiume watafanyizwa kazi kwa lazima.
Acn Assyria ac fah kunausyukla ke mweun, ac tia ke ku lun mwet. Mwet Assyria ac fah kaing liki mweun, ac mukul fusr lalos ac fah utukla nu in kohs.
9 Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu; kwa kuona bendera ya vita, majemadari wao watashikwa na hofu ya ghafula,” asema Bwana, ambaye moto wake uko Sayuni, nayo tanuru yake iko Yerusalemu.
Tokosra fulat lalos ac fah sangeng ac kaingla, ac mwet leum lalos ac fah arulana tuninfongla, oru elos ac sisla flag in mweun lalos.” LEUM GOD pa fahk ma inge — LEUM GOD su akfulatyeyuk in Jerusalem, ac su e lal firir we mwe kisa.