< Isaya 31 >
1 Ole wao wale washukao Misri kwa ajili ya msaada, wale wategemeao farasi, wanaoweka tumaini katika wingi wa magari yao ya vita, na katika nguvu nyingi za wapanda farasi, lakini hawamwangalii yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, wala hawatafuti msaada kwa Bwana.
Dunu da Idibidi sogega fidisu lama: ne ahoana, da wadela: lesi dagoi ba: mu. Ilia da Idibidi dadi gagui gilisisu bagade, hosi, sa: liode amola dadi gagui dunu, amo ili gaga: musa: dawa: lala. Be Hina Gode, Isala: ili ilia hadigi Gode, amo E da ili gaga: musa: ilia hame dawa: , amola E da ili fidima: ne Ema hame adole ba: sa.
2 Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta maafa, wala hayatangui maneno yake. Yeye atainuka dhidi ya nyumba ya mwovu, dhidi ya wale ambao huwasaidia watenda mabaya.
Hina Gode E da Hi hou dawa: E da wadela: lesisu iaha. E da wadela: i hamosu dunu amola ilia gaga: su dunu ilima se imunusa: sia: beba: le, E da se imunu.
3 Lakini Wamisri ni wanadamu, wala si Mungu, farasi wao ni nyama, wala si roho. Wakati Bwana atakaponyoosha Mkono wake, yeye anayesaidia atajikwaa, naye anayesaidiwa ataanguka, wote wawili wataangamia pamoja.
Idibidi dunu da Gode hame. Ilia da osobo bagade dunu fawane. Ilia hosi da hu liligi fawane, a:silibu hame. Hina Gode da hawa: hamosea, gasa bagade fi amola gasa hame fi amo ilia fidilala, amo da gilisili dafane, wadela: lesi dagoi ba: mu.
4 Hili ndilo Bwana analoniambia: “Kama vile simba angurumavyo, simba mkubwa juu ya mawindo yake: hata ingawa kundi lote la wachunga mifugo huitwa pamoja dhidi yake, hatiwi hofu na kelele zao wala kusumbuliwa na ghasia zao; ndivyo Bwana Mwenye Nguvu Zote atakavyoshuka kufanya vita juu ya Mlima Sayuni na juu ya vilele vyake.
Hina Gode da nama amane sia: i, “Sibi ouligisu dunu da bagadewane wele sia: sa, be ilia da laione wa: me amo da ohe fi fane legele naha, amoga sefasimu da hamedei. Amo defele, Na, Hina Gode Bagadedafa da Saione Goumi gaga: sea, enoga Na logo hedofamu da hamedei.
5 Kama ndege warukao, Bwana Mwenye Nguvu Zote ataukinga Yerusalemu; ataukinga na kuuokoa, atapita juu yake na kuufanya salama.”
Sio da ea mano gaga: ma: ne, ea bibi amo da: iya ougiaga hahadomabe, amo defele Na da Yelusaleme gaga: mu.”
6 Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana.
Hina Gode da amane sia: i, “Isala: ili dunu! Dilia da Nama wadela: le hamoi amola Nama gegei. Be wali, Nama sinidigima!”
7 Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
Eso da misunu amoga dilia da wadela: i gouli amola silifa loboga hamoi ‘gode’ liligi amo huluane galadigimu.
8 “Ashuru itaanguka kwa upanga ambao si wa mwanadamu; upanga usio wa kibinadamu utawaangamiza. Watakimbia mbele ya upanga na vijana wao wa kiume watafanyizwa kazi kwa lazima.
Asilia da gegesu ganodini wadela: lesi dagoi ba: mu. Be osobo bagade dunu ilia gasaga hame. Na fawane da ili gugunufinisimu. Ilia da amo gegesuga hobeamu, amola ilia ayeligi dunu da udigili se dabe iasu hawa: hamosu dunu ba: mu.
9 Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu; kwa kuona bendera ya vita, majemadari wao watashikwa na hofu ya ghafula,” asema Bwana, ambaye moto wake uko Sayuni, nayo tanuru yake iko Yerusalemu.
Ilia hina bagade da bagadewane beda: iba: le hobeamu, amola ilia dadi gagui ouligisu dunu da beda: iba: le, ilia gegesu eso gosa: gisu huluane fisili, hobeamu.” Hina Gode (amoma dunu da Yelusaleme amo ganodini nodone sia: ne gadosa, amola Ea lalu da gobele salimusa: , nesa) E da sia: i dagoi.