< Isaya 3 >

1 Tazama sasa, Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, yu karibu kuwaondolea Yerusalemu na Yuda upatikanaji wa mahitaji na misaada, upatikanaji wote wa chakula na tegemeo lote la maji,
Kajti glej, Gospod, Gospod nad bojevniki, jemlje proč od Jeruzalema in od Juda, podporo in palico, celotno podporo kruha in celotno podporo vode,
2 shujaa na mtu wa vita, mwamuzi na nabii, mwaguzi na mzee,
mogočnega človeka in bojevnika, sodnika in preroka, razsodnega in starca,
3 jemadari wa kikosi cha watu hamsini na mtu mwenye cheo, mshauri, fundi stadi na mlozi mjanja.
petdesetnika, častitljivega človeka, svetovalca, spretnega rokodelca in zgovornega govornika.
4 Nitawafanya wavulana wawe maafisa wao, watoto ndio watakaowatawala.
Otroke jim bom dal za prince in otročiči bodo vladali nad njimi.
5 Watu wataoneana wao kwa wao: mtu dhidi ya mtu, na jirani dhidi ya jirani yake. Kijana atainuka dhidi ya mzee, mtu mnyonge dhidi ya mtu mwenye heshima.
Ljudstvo bo zatirano, eden od drugega in vsakdo od svojega soseda; otrok se bo ponosno vedel zoper starca in nizek zoper častitljivega.
6 Mtu atamkamata mmoja wa ndugu zake katika nyumba ya baba yake na kusema, “Unalo joho, sasa uwe kiongozi wetu, tawala lundo hili la magofu!”
Ko bo človek zgrabil svojega brata iz hiše svojega očeta, rekoč: »Oblačilo imaš, bodi naš vladar in naj bo ta razvalina pod tvojo roko, «
7 Lakini siku hiyo atapiga kelele akisema, “Sina uponyaji. Sina chakula wala mavazi katika nyumba yangu, msinifanye niwe kiongozi wa watu.”
na tisti dan bo ta prisegel, rekoč: »Ne bom ranocelnik, kajti v moji hiši ni niti kruha niti obleke. Ne postavljajte me za vladarja ljudstvu.«
8 Yerusalemu inapepesuka, Yuda inaanguka; maneno yao na matendo yao ni kinyume na Bwana, wakiudharau uwepo wake uliotukuka.
Kajti Jeruzalem je razrušen in Juda je padel, ker so njihov jezik in njihova početja zoper Gospoda, da izzivajo oči njegove slave.
9 Nyuso zao zinavyoonekana zinashuhudia dhidi yao, hujivunia dhambi yao kama Sodoma, wala hawaifichi. Ole wao! Wamejiletea maafa juu yao wenyewe.
Prikaz njihovega obličja pričuje zoper njih, ne skrivajo svojega greha, razglašajo ga kakor Sódoma. Gorje njihovi duši! Kajti nagradili so se z zlom.
10 Waambie wanyofu itakuwa heri kwao, kwa kuwa watafurahia tunda la matendo yao.
Recite pravičnemu, da bo dobro z njim; kajti jedli bodo sad svojih dejanj.
11 Ole kwa watu waovu! Maafa yapo juu yao! Watalipwa kwa ajili ya yale mikono yao iliyotenda.
Gorje zlobnemu! Z njim bo slabo, kajti dana mu bo nagrada njegovih rok.
12 Vijana wanawatesa watu wangu, wanawake wanawatawala. Enyi watu wangu, viongozi wenu wanawapotosha, wanawapoteza njia.
Kar se tiče mojega ljudstva, so njihovi zatiralci otroci, vladajo pa jim ženske. Oh moje ljudstvo, tisti, ki te vodijo, ti povzročajo, da se motiš in uničujejo pot tvojih steza.
13 Bwana anachukua nafasi yake mahakamani, anasimama kuhukumu watu.
Gospod vstaja, da bi se pravdal in stoji, da bi sodil ljudstvu.
14 Bwana anaingia katika hukumu dhidi ya wazee na viongozi wa watu wake: “Ninyi ndio mlioharibu shamba langu la mizabibu, mali zilizonyangʼanywa maskini zimo nyumbani mwenu.
Gospod bo stopil na sodbo s starci svojega ljudstva in njegovimi princi, kajti požrli ste vinograd; plen ubogih je v vaših hišah.
15 Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu na kuzisaga nyuso za maskini?” asema Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote.
›Kaj nameravate, da lomite moje ljudstvo na koščke in meljete obraze revnih?‹ govori Gospod Bog nad vojskami.
16 Bwana asema, “Wanawake wa Sayuni wana kiburi, wanatembea na shingo ndefu, wakikonyeza kwa macho yao, wanatembea kwa hatua za madaha, wakiwa na mapambo ya njuga kwenye vifundo vya miguu yao.
Poleg tega Gospod govori: ›Ker so hčere sionske ošabne in hodijo z vratovi, iztegnjenimi naprej in poltenimi očmi, hodijo in drobijo medtem ko gredo in zvončkljajo s svojimi stopali,
17 Kwa hiyo Bwana ataleta majipu kwenye vichwa vya wanawake wa Sayuni; Bwana atazifanya ngozi za vichwa vyao kuwa vipara.”
zato bo Gospod s krasto udaril tême sionskih hčera in Gospod bo odkril njihove skrite dele.
18 Katika siku ile Bwana atawanyangʼanya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo,
Na tisti dan bo Gospod odvzel pogumnost njihovih zvončkljajočih ornamentov okoli njihovih stopal in njihove čepice in njihove okrogle rute, podobne luni,
19 vipuli, vikuku, shela,
verižice, zapestnice, šale,
20 vilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi,
klobučke, ornamente nog, naglavne trakove, ogrlice, uhane,
21 pete zenye muhuri, pete za puani,
prstane, nosne dragocenosti,
22 majoho mazuri, mitandio, mavazi, kifuko cha kutilia fedha,
zamenljive ogrinjalne kostime, plašče, plete, torbice,
23 vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.
zrcala, tanko laneno platno, kapuce in zagrinjala.
24 Badala ya harufu ya manukato kutakuwa na uvundo; badala ya mishipi, ni kamba; badala ya nywele zilizotengenezwa vizuri, ni upara; badala ya mavazi mazuri, ni nguo za magunia; badala ya uzuri, ni alama ya aibu kwa chuma cha moto.
Zgodilo se bo, da bo namesto prijetnega vonja tam zaudarjanje, namesto pasu vrv, namesto pričeske plešavost, namesto životca opasovanje vrečevine in opeklina namesto lepote.
25 Wanaume wako watauawa kwa upanga, nao mashujaa wako watauawa vitani.
Tvoji možje bodo padli pod mečem in tvoji mogočni v vojni.
26 Malango ya Sayuni yataomboleza na kulia, ataketi mavumbini akiwa fukara.
Njena velika vrata bodo žalovala in tulila in ona bo zapuščena sedela na tleh.

< Isaya 3 >