< Isaya 3 >

1 Tazama sasa, Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, yu karibu kuwaondolea Yerusalemu na Yuda upatikanaji wa mahitaji na misaada, upatikanaji wote wa chakula na tegemeo lote la maji,
Car voici, le Seigneur, Yahvé des armées, enlève à Jérusalem et à Juda le ravitaillement et le soutien, tout le stock de pain, et toute la réserve d'eau;
2 shujaa na mtu wa vita, mwamuzi na nabii, mwaguzi na mzee,
l'homme puissant, l'homme de guerre, le juge, le prophète, le devin, l'aîné,
3 jemadari wa kikosi cha watu hamsini na mtu mwenye cheo, mshauri, fundi stadi na mlozi mjanja.
le capitaine de cinquante, l'homme honorable, le conseiller, l'artisan qualifié, et l'astucieux enchanteur.
4 Nitawafanya wavulana wawe maafisa wao, watoto ndio watakaowatawala.
Je donnerai des garçons pour être leurs princes, et les enfants domineront sur eux.
5 Watu wataoneana wao kwa wao: mtu dhidi ya mtu, na jirani dhidi ya jirani yake. Kijana atainuka dhidi ya mzee, mtu mnyonge dhidi ya mtu mwenye heshima.
Le peuple sera opprimé, chacun par un autre, et chacun par son voisin. L'enfant se comportera fièrement face au vieil homme, et les méchants contre les honorables.
6 Mtu atamkamata mmoja wa ndugu zake katika nyumba ya baba yake na kusema, “Unalo joho, sasa uwe kiongozi wetu, tawala lundo hili la magofu!”
En effet, un homme saisira son frère dans la maison de son père, en disant, « Tu as des vêtements, tu seras notre chef. et que cette ruine soit sous ta main. »
7 Lakini siku hiyo atapiga kelele akisema, “Sina uponyaji. Sina chakula wala mavazi katika nyumba yangu, msinifanye niwe kiongozi wa watu.”
En ce jour-là, il s'écriera: « Je ne veux pas être un guérisseur; car dans ma maison, il n'y a ni pain ni vêtement. Tu ne feras pas de moi le chef du peuple. »
8 Yerusalemu inapepesuka, Yuda inaanguka; maneno yao na matendo yao ni kinyume na Bwana, wakiudharau uwepo wake uliotukuka.
Car Jérusalem est ruinée, et Juda est tombé; car leur langue et leurs actes sont contraires à Yahvé, pour provoquer les yeux de sa gloire.
9 Nyuso zao zinavyoonekana zinashuhudia dhidi yao, hujivunia dhambi yao kama Sodoma, wala hawaifichi. Ole wao! Wamejiletea maafa juu yao wenyewe.
L'aspect de leur visage témoigne contre eux. Ils exhibent leur péché comme Sodome. Ils ne le cachent pas. Malheur à leur âme! Car ils ont attiré le désastre sur eux.
10 Waambie wanyofu itakuwa heri kwao, kwa kuwa watafurahia tunda la matendo yao.
Dis aux justes que tout ira bien pour eux, car ils mangeront le fruit de leurs actes.
11 Ole kwa watu waovu! Maafa yapo juu yao! Watalipwa kwa ajili ya yale mikono yao iliyotenda.
Malheur aux méchants! Le désastre est sur eux, car les actes de leurs mains leur seront rendus.
12 Vijana wanawatesa watu wangu, wanawake wanawatawala. Enyi watu wangu, viongozi wenu wanawapotosha, wanawapoteza njia.
Quant à mon peuple, les enfants sont ses oppresseurs, et les femmes les gouvernent. Mon peuple, ceux qui te dirigent te font errer, et détruire le chemin de vos sentiers.
13 Bwana anachukua nafasi yake mahakamani, anasimama kuhukumu watu.
Yahvé se lève pour contester, et se tient debout pour juger les peuples.
14 Bwana anaingia katika hukumu dhidi ya wazee na viongozi wa watu wake: “Ninyi ndio mlioharibu shamba langu la mizabibu, mali zilizonyangʼanywa maskini zimo nyumbani mwenu.
L'Éternel entrera en jugement avec les anciens de son peuple. et leurs dirigeants: « C'est vous qui avez dévoré la vigne. Le butin des pauvres est dans vos maisons.
15 Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu na kuzisaga nyuso za maskini?” asema Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote.
Qu'est-ce que cela signifie que vous écrasez mon peuple, et broyer le visage du pauvre? » dit le Seigneur, Yahvé des Armées.
16 Bwana asema, “Wanawake wa Sayuni wana kiburi, wanatembea na shingo ndefu, wakikonyeza kwa macho yao, wanatembea kwa hatua za madaha, wakiwa na mapambo ya njuga kwenye vifundo vya miguu yao.
Et Yahvé dit: « Parce que les filles de Sion sont arrogantes, et marchent avec le cou tendu et les yeux qui flirtent, en marchant dignement, des ornements qui tintent sur leurs pieds;
17 Kwa hiyo Bwana ataleta majipu kwenye vichwa vya wanawake wa Sayuni; Bwana atazifanya ngozi za vichwa vyao kuwa vipara.”
C'est pourquoi l'Éternel fait venir des ulcères sur le sommet de la tête des femmes de Sion, et Yahvé rendra leur crâne chauve. »
18 Katika siku ile Bwana atawanyangʼanya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo,
En ce jour-là, l'Éternel enlèvera la beauté de leurs bracelets de cheville, de leurs bandeaux, de leurs colliers en forme de croissant,
19 vipuli, vikuku, shela,
de leurs boucles d'oreilles, de leurs bracelets, de leurs voiles,
20 vilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi,
de leurs coiffures, de leurs chaînes de cheville, de leurs ceintures, de leurs flacons de parfum, de leurs breloques,
21 pete zenye muhuri, pete za puani,
de leurs chevalières, de leurs anneaux de nez,
22 majoho mazuri, mitandio, mavazi, kifuko cha kutilia fedha,
de leurs robes fines, de leurs capes, de leurs manteaux, de leurs bourses,
23 vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.
de leurs miroirs à main, de leurs vêtements de lin fin, de leurs diadèmes et de leurs châles.
24 Badala ya harufu ya manukato kutakuwa na uvundo; badala ya mishipi, ni kamba; badala ya nywele zilizotengenezwa vizuri, ni upara; badala ya mavazi mazuri, ni nguo za magunia; badala ya uzuri, ni alama ya aibu kwa chuma cha moto.
Il arrivera qu'au lieu d'épices douces, il y aura de la pourriture; au lieu d'une ceinture, une corde; au lieu de cheveux bien attachés, la calvitie; au lieu d'une robe, un port de sac; et l'image de marque au lieu de la beauté.
25 Wanaume wako watauawa kwa upanga, nao mashujaa wako watauawa vitani.
Tes hommes tomberont par l'épée, et votre puissance dans la guerre.
26 Malango ya Sayuni yataomboleza na kulia, ataketi mavumbini akiwa fukara.
Ses portes se plaignent et se lamentent. Elle sera désolée et s'assiéra sur le sol.

< Isaya 3 >