< Isaya 29 >
1 Ole wako, wewe Arieli, Arieli, mji alimokaa Daudi! Ongezeni mwaka kwa mwaka, na mzunguko wa sikukuu zenu uendelee.
woe! Ariel Ariel town to camp David to add year upon year feast to surround
2 Hata hivyo nitauzunguka Arieli kwa jeshi, utalia na kuomboleza, utakuwa kwangu kama mahali pa kuwashia moto madhabahuni.
and to press to/for Ariel and to be mourning and lamentation and to be to/for me like/as Ariel
3 Nitapiga kambi pande zote dhidi yako, nitakuzunguka kwa minara na kupanga mazingirwa yangu dhidi yako.
and to camp like/as circle upon you and to confine upon you entrenchment and to arise: raise upon you fortress
4 Utakaposhushwa, utanena kutoka ardhini, utamumunya maneno yako kutoka mavumbini. Sauti yako itatoka katika nchi kama vile ya mzimu, utanongʼona maneno yako toka mavumbini.
and to abase from land: country/planet to speak: speak and from dust to bow word your and to be like/as medium from land: soil voice your and from dust word your to whisper
5 Lakini adui zako wengi watakuwa kama vumbi laini, kundi la wakatili watakuwa kama makapi yapeperushwayo. Naam, ghafula, mara moja,
and to be like/as dust thin crowd be a stranger your and like/as chaff to pass crowd ruthless and to be to/for suddenness suddenly
6 Bwana Mwenye Nguvu Zote atakuja na ngurumo, tetemeko la ardhi, na kwa sauti kuu, atakuja na dhoruba, tufani na miali ya moto iteketezayo.
from from with LORD Hosts to reckon: visit in/on/with thunder and in/on/with quaking and voice: sound great: large whirlwind and tempest and flame fire to eat
7 Kisha makundi ya mataifa yote yale yapiganayo dhidi ya Arieli, yale yanayomshambulia yeye na ngome zake, na kumzunguka kwa jeshi, watakuwa kama ilivyo ndoto, kama maono wakati wa usiku:
and to be like/as dream vision night crowd all [the] nation [the] to serve upon Ariel and all to serve her and stronghold her and [the] to press to/for her
8 kama vile mtu aliye na njaa aotavyo kuwa anakula, lakini huamka, bado njaa yake ingalipo, kama vile mtu mwenye kiu aotavyo kuwa anakunywa maji, lakini huamka akiwa anazimia, akiwa bado angali ana kiu. Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa makundi yote ya mataifa yanayopigana dhidi ya Mlima Sayuni.
and to be like/as as which to dream [the] hungry and behold to eat and to awake and worthless soul: appetite his and like/as as which to dream [the] thirsty and behold to drink and to awake and behold faint and soul: appetite his to rush so to be crowd all [the] nation [the] to serve upon mountain: mount Zion
9 Duwaeni na kushangaa, jifanyeni vipofu wenyewe na msione, leweni, lakini si kwa mvinyo, pepesukeni lakini si kwa kileo.
to delay and to astounded to smear and to smear be drunk and not wine to shake and not strong drink
10 Bwana amewaleteeni usingizi mzito: Ameziba macho yenu (ninyi manabii); amefunika vichwa vyenu (ninyi waonaji).
for to pour upon you LORD spirit deep sleep and to shut eyes [obj] eye your [obj] [the] prophet and [obj] head your [the] seer to cover
11 Kwa maana kwenu ninyi, maono haya yote si kitu ila maneno yaliyotiwa lakiri katika kitabu. Kama mkimpa mtu yeyote awezaye kusoma kitabu hiki, nanyi mkamwambia, “Tafadhali kisome,” yeye atajibu, “Mimi siwezi, kwa kuwa kimetiwa lakiri.”
and to be to/for you vision [the] all like/as word [the] scroll: book [the] to seal which to give: give [obj] him to(wards) to know (scroll: book *Q(K)*) to/for to say to call: read out please this and to say not be able for to seal he/she/it
12 Au kama mkimpa mtu yeyote kitabu hiki asiyeweza kusoma na kumwambia, “Tafadhali kisome,” atajibu, “Mimi sijui kusoma.”
and to give: give [the] scroll: book upon which not to know scroll: read to/for to say to call: read out please this and to say not to know scroll: read
13 Bwana anasema: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao na kuniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami. Ibada yao kwangu inatokana na maagizo waliyofundishwa na wanadamu.
and to say Lord because for to approach: approach [the] people [the] this in/on/with lip his and in/on/with lips his to honor: honour me and heart his to remove from me and to be fear their [obj] me commandment human to learn: teach
14 Kwa hiyo mara nyingine tena nitawashangaza watu hawa, kwa ajabu juu ya ajabu. Hekima ya wenye hekima itapotea, nayo akili ya wenye akili itatoweka.”
to/for so look! I to add: again to/for to wonder [obj] [the] people [the] this to wonder and wonder and to perish wisdom wise his and understanding to understand him to hide
15 Ole kwa wale wanaokwenda kwenye vilindi virefu kumficha Bwana mipango yao, wafanyao kazi zao gizani na kufikiri, “Ni nani anayetuona? Ni nani atakayejua?”
woe! [the] be deep from LORD to/for to hide counsel and to be in/on/with darkness deed their and to say who? to see: see us and who? to know us
16 Mnapindua mambo juu chini, kana kwamba mfinyanzi aweza kufikiriwa kuwa kama udongo wa mfinyanzi! Je, kile kilichofinyangwa chaweza kumwambia yule aliyekifinyanga, “Wewe hukunifinyanga mimi?” Je, chungu kinaweza kumwambia mfinyanzi, “Wewe hujui chochote?”
perversity your if: surely no like/as clay [the] to form: potter to devise: think for to say deed: work to/for to make him not to make me and intention to say to/for to form: formed him not to understand
17 Kwa muda mfupi sana, je, Lebanoni haitageuzwa kuwa shamba lenye rutuba, na shamba lenye rutuba liwe kama msitu?
not still little little and to return: return Lebanon to/for plantation and [the] plantation to/for wood to devise: think
18 Katika siku ile viziwi watasikia maneno ya kitabu, na katika utusitusi na giza macho ya kipofu yataona.
and to hear: hear in/on/with day [the] he/she/it [the] deaf word scroll: book and from darkness and from darkness eye blind to see: see
19 Mara nyingine tena wanyenyekevu watafurahi katika Bwana, wahitaji watafurahi katika yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.
and to add: again poor in/on/with LORD joy and needy man in/on/with holy Israel to rejoice
20 Wakatili watatoweka na wenye kudhihaki watatokomea, nao wote wenye jicho la uovu watakatiliwa mbali,
for to end ruthless and to end: finish to mock and to cut: eliminate all to watch evil: wickedness
21 wale ambao kwa neno humfanya mtu kuwa mwenye hatia, wamtegeao mtego mtetezi katika mahakama, na kwa ushuhuda wa uongo humnyima haki yeye asiye na hatia.
to sin man in/on/with word and to/for to rebuke in/on/with gate to lure [emph?] and to stretch in/on/with formlessness righteous
22 Kwa hiyo hili ndilo Bwana, aliyemkomboa Abrahamu, analosema kwa nyumba ya Yakobo: “Yakobo hataaibishwa tena, wala nyuso zao hazitabadilika sura tena.
to/for so thus to say LORD to(wards) house: household Jacob which to ransom [obj] Abraham not now be ashamed Jacob and not now face his to pale
23 Wakati watakapoona watoto wao miongoni mwao, kazi ya mikono yangu, watalitakasa Jina langu takatifu; wataukubali utakatifu wa yeye Aliye Mtakatifu wa Yakobo, nao watamcha Mungu wa Israeli.
for in/on/with to see: see he youth his deed: work hand my in/on/with entrails: among his to consecrate: consecate name my and to consecrate: consecate [obj] holy Jacob and [obj] God Israel to tremble
24 Wale wanaopotoka rohoni watapata ufahamu, nao wale wanaolalamika watayakubali mafundisho.”
and to know to go astray spirit understanding and to grumble to learn: learn teaching