< Isaya 27 >

1 Katika siku ile, Bwana ataadhibu kwa upanga wake, upanga wake mkali, mkubwa na wenye nguvu, ataadhibu Lewiathani yule nyoka apitaye kwa mwendo laini, Lewiathani yule nyoka mwenye kujipinda; atamuua joka huyo mkubwa sana wa baharini.
In len sac LEUM GOD El ac orekmakin cutlass kulana natul in kalyael Leviathan, dragon soko ma tipirpir ac worwor, ac El ac uniya kosro sulallal lulap soko in meoa uh.
2 Katika siku ile: “Imbeni kuhusu shamba la mizabibu lililozaa:
In len sac LEUM GOD El fah fahk ke ima in grape kato se lal,
3 Mimi, Bwana, ninalitunza, nalinyweshea maji mfululizo. Ninalichunga usiku na mchana ili mtu yeyote asije akalidhuru.
“Nga liyaung ac aksroksrokye pacl nukewa. Nga liyaung na ke len ac fong, tuh in wangin mwet akkolukye.
4 Mimi sijakasirika. Licha pangekuwepo michongoma na miiba kunikabili! Ningepambana dhidi yake katika vita, ningeliichoma moto yote.
Nga tila kasrkusrak ke ima grape sac. Funu oasr kokul ku mah fakfuk nga in lain, nga lukun seukak nufon.
5 Au niwaache waje kwangu kwa ajili ya kupata kimbilio, wao na wafanye amani nami, naam, wafanye amani nami.”
Tusruktu mwet lokoalok lun mwet luk fin lungse nga in karinganulosyang, lela elos in tuku auliyak nu sik. Aok, lela elos in suk misla yuruk.”
6 Katika siku zijazo, Yakobo atatia mizizi, Israeli atatoa chipukizi na kuchanua maua, naye atajaza ulimwengu wote kwa matunda.
In kutu pacl fa hsru, mwet Israel — filin tulik natul Jacob — fah okahla oana soko sak, ac elos fah fokla ac farengelik. Faclu ac fah afla ke fahko lalos.
7 Je, Bwana amempiga vile alivyowapiga wale waliompiga? Je, yeye ameuawa vile walivyouawa wale waliomuua yeye?
Mwet Israel tiana kaoyeiyuk sin LEUM GOD in upa oana mwet lokoalok lalos, ac tia pac us mwet lalos tuhlac.
8 Kwa vita na kwa kumfukuza unapingana naye: kwa mshindo wake mkali anamfukuza, kama siku ile uvumapo upepo wa mashariki.
LEUM GOD El kalyei mwet lal ke El supwalosla nu in ssruoh. El pokolosla ke sie eng na upa kutulap me.
9 Kwa hili, basi, hatia ya Yakobo itafanyiwa upatanisho, nalo hili litakuwa matunda ya utimilizo wa kuondolewa kwa dhambi yake: Wakati atakapoyafanya mawe yote ya madhabahu kuwa kama mawe ya chokaa yaliyopondwa vipande vipande, hakuna nguzo za Ashera au madhabahu za kufukizia uvumba zitakazobaki zimesimama.
Tusruktu ma koluk lun Israel ac fah tuleyukla ke pacl se na eot ke loang lun mwet pegan uh ilili nwe ke mokutkuti, ac ma sruloala ke god mutan Asherah, oayapa loang in esukak mwe keng uh, wanginla.
10 Mji ulio na boma umebaki ukiwa, makao yaliyotelekezwa, yaliyoachwa kama jangwa. Huko ndama hulisha, huko hujilaza, wanakwanyua matawi yake.
Siti ma tuh oasr pot ku we musallana oan — oana sie scn mwesis ma wangin kutena ma we. Ekla oana sie acn cow uh mongla ac mongo mah ac lesak we.
11 Wakati vijiti vyake vimekauka, huvunjwa nao wanawake huja na kuwasha navyo moto. Kwa kuwa hili ni taifa lisilo na ufahamu, kwa hiyo yeye aliyewafanya hana huruma juu yao, Muumba wao hawaonyeshi fadhili.
Lesak uh paola ac kaptelik, na mutan uh telani mwe etong. Ke sripen wangin etauk lun mwet uh, oru God su oralosla El fah tia pakomutalos ku akkalemye pakoten lal nu selos.
12 Katika siku ile Bwana atapura kutoka matiririko ya Mto Frati hadi Kijito cha Misri, nanyi ee Waisraeli, mtakusanywa mmoja mmoja.
Ke len sac, LEUM GOD El ac fah eisani mwet lal kais sie, oana ke srisrielik wheat liki kulun wheat uh, mutawauk Infacl Euphrates lac nwe sisken Egypt.
13 Katika siku ile tarumbeta kubwa italia. Wale waliokuwa wakiangamia katika nchi ya Ashuru, nao wale waliokuwa uhamishoni katika nchi ya Misri watakuja na kumwabudu Bwana katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.
In len sac, sie ukuk ac fah ukuki in folokonma mwet Israel nukewa su muta in sruoh in acn Assyria ac Egypt. Elos fah tuku ac alu nu sin LEUM GOD in Jerusalem, fin eol mutal sel.

< Isaya 27 >