< Isaya 25 >

1 Ee Bwana, wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza na kulisifu jina lako, kwa maana katika ukamilifu wa uaminifu umetenda mambo ya ajabu, mambo yaliyokusudiwa tangu zamani.
Hina Gode! Di da na Gode! Na da dima nodone dawa: mu amola Dia Dio amoma nodone sia: ne gadomu. Di da fofogadigisu hou hamoi dagoi. Amola mae giadofale, Dia hemonega hamomu ilegei amo Dia hamoi dagoi.
2 Umeufanya mji kuwa lundo la kifusi, mji wenye ngome kuwa magofu, ngome imara ya wageni kuwa si mji tena, wala hautajengwa tena kamwe.
Di da moilai bai bagade bagohame mugululi, amola ilia gaga: su gagoi wadela: lesi dagoi. Ninia ha lai hina bagade ilia diasu gagui, amo da wadela: lesi dagole, bu hamedafa ba: mu.
3 Kwa hiyo mataifa yenye nguvu yatakuheshimu, miji ya mataifa katili itakuheshimu wewe.
Dunu amo da gasa bagade fifi asi gala ganodini esala da Dima nodomu. Nimi bagade hame asigi fifi asi gala ilia moilai bai bagade amo ganodini, ilia da Diba: le bagade beda: mu.
4 Umekuwa kimbilio la watu maskini, kimbilio la mhitaji katika taabu yake, hifadhi wakati wa dhoruba na kivuli wakati wa hari. Kwa maana pumzi ya wakatili ni kama dhoruba ipigayo ukuta
Hame gagui amola gasa hame hahani dunu da bidi hamosu eso amoga, Dima hobeale, gaga: su noga: i ba: su. Isu bagade manoba, Di da ili gaga: sa. Amola eso bagade gia: sea, Dia da ilima ougi olelesa. Hame asigi nimi bagade dunu da anegagi eso isu mabe agoane eno dunu doagala: sa.
5 na kama joto la jangwani. Wewe wanyamazisha makelele ya wageni; kama vile hari ipunguzwavyo na kivuli cha wingu, ndivyo wimbo wa wakatili unyamazishwavyo.
Amola ilia da esoi bagade agoane doagala: sa. Be Di, Hina Gode, da ninia ha lai dunu ouiya: lesi dagoi. Mu mobi da eso gia: i anegagisa, amo defele Di da hame asigi nimi bagade dunu ilia halasu ouiya: ma: ne hedofasa.
6 Juu ya mlima huu Bwana Mwenye Nguvu Zote ataandaa karamu ya vinono kwa mataifa yote, karamu ya mvinyo wa zamani, nyama nzuri sana na divai zilizo bora sana.
Guiguda: , Saione Goumiga, Hina Gode Bagadedafa da osobo bagade fifi asi gala huluane misa: ne, Lolo Nabe hahamomu. Amoga, ilia da ha: i manu noga: idafa amola waini hano ida: iwane gala manu.
7 Juu ya mlima huu ataharibu sitara ihifadhiyo mataifa yote, kile kifuniko kifunikacho mataifa yote,
Guiguda: , E da hedolowane da: i dioi amo da fifi asi gala huluane mu mobi agoane dedebosa, amo fadegale fasimu.
8 yeye atameza mauti milele. Bwana Mwenyezi atafuta machozi katika nyuso zote; ataondoa aibu ya watu wake duniani kote. Bwana amesema hili.
Ouligisudafa Hina Gode da bogosu hou amo bu mae ba: ma: ne gugunufinisimu. E da dunu huluane ilia disu si hano doga: mu. Ea fi dunu da osobo bagadega fifi asi gala huluane ganodini, gogosiane se nabasu amo nabaha. Be Hina Gode da amo gogosiasu fadegale fasimu. Hina Gode Hisu da sia: i dagoi.
9 Katika siku ile watasema, “Hakika huyu ndiye Mungu wetu; tulimtumaini, naye akatuokoa. Huyu ndiye Bwana, tuliyemtumaini; sisi tushangilie na kufurahia katika wokovu wake.”
Amo hou doaga: sea, dunu huluane da amane sia: mu, “E da ninia Gode! Ninia da Ea hou dafawaneyale dawa: beba: le amola lalegaguiba: le, E da nini gaga: i dagoi. E da Hina Godedafa! Ninia da Ea hou lalegagui dagoi. Amaiba: le, ninia da wali hahawane bagade. Bai E da nini gaga: i dagoi.”
10 Mkono wa Bwana utatulia juu ya mlima huu, bali Moabu atakanyagwa chini kama majani makavu yakanyagwavyo kwenye shimo la mbolea.
Hina Gode da Saione Goumi fi amo gaga: mu. Be Moua: be fi da gisi bulamagau iga amo ganodini osa: gili banenesi dagoi ba: sa, amo defele ilia da osa: gili, banenesi dagoi ba: mu.
11 Watakunjua mikono yao katikati yake, kama vile mwogeleaji akunjuavyo mikono yake ili aogelee. Mungu atashusha kiburi chao licha ya ujanja wa mikono yao.
Ilia da dasi sa: imusa: defele ilia lobo ilua: mu, be Gode da ili gogosiama: ne banenesimu, amola ilia lobo da gasa hameba: le, gasi gudumu.
12 Atabomoa kuta ndefu za maboma yako na kuziangusha chini, atazishusha chini ardhini, mpaka mavumbini kabisa.
Moua: be fi da ilia gaga: su gagoi sedadewane gagula heda: i. Be amo huluane, Gode da mugululi wadela: lesili, ilia sa: ili osobo su amoga doaga: mu.

< Isaya 25 >