< Isaya 20 >
1 Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka,
V letu, ko je Tartan prišel v Ašdód (ko ga je asirski kralj Sargon poslal) in se boril zoper Ašdód in ga zavzel,
2 wakati ule Bwana alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.
ob istem času je spregovoril Gospod po Izaiju, Amócovemu sinu, rekoč: »Pojdi in odveži vrečevino s svojih ledij in sezuj si čevelj s svojega stopala.« In storil je tako, hodeč nag in bos.
3 Kisha Bwana akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi,
Gospod je rekel: »Podobno kot moj služabnik Izaija tri leta hodi nag in bos za znamenje in čudo nad Egiptom in nad Etiopijo,
4 vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri.
tako bo asirski kralj odvedel Egipčane ujetnike in Etiopijce ujetnike, mlade in stare, nage in bose, celo z njihovimi nepokritimi zadnjicami, v egiptovsko sramoto.
5 Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika.
Bali se bodo in osramočeni bodo od Etiopije, njihovega pričakovanja in od Egipta, njihove slave.
6 Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’”
Prebivalec tega otoka bo na tisti dan rekel: ›Glej, takšno je naše pričakovanje, kamor smo pobegnili po pomoč, da bi bili osvobojeni pred asirskim kraljem in kako bomo pobegnili?‹«