< Isaya 20 >

1 Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka,
L’Année où Tartân arriva à Asdod, envoyé par le roi Sargôn, mit le siège devant cette ville et s’en empara,
2 wakati ule Bwana alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.
à cette époque, le Seigneur, s’adressant à Isaïe, fils d’Amoç, lui parla ainsi: "Va, dénoue le cilice qui couvre tes reins et ôte les souliers de tes pieds." Se conformant à cet ordre, le prophète alla dévêtu et déchaussé.
3 Kisha Bwana akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi,
Le Seigneur dit alors: "De même que mon serviteur Isaïe est allé dévêtu et déchaussé pour servir, pendant trois ans, de signe et de présage à l’Egypte et à l’Ethiopie,
4 vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri.
de même les captifs d’Egypte et les exilés d’Ethiopie jeunes et vieux, le roi d’Assyrie les emmènera dévêtus et déchaussés, découverts jusqu’au bas des reins, à la honte de l’Egypte.
5 Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika.
Ils seront terrorisés alors et pleins de confusion à cause de l’Ethiopie, qui était leur espoir, et de, l’Egypte, dont ils s’étaient glorifiés;
6 Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’”
et les habitants de ces côtes diront en ce jour: "Voilà où en est celui qui fut notre espoir et chez qui nous courûmes chercher une protection efficace contre le roi d’Assyrie! Comment pourrons-nous échapper maintenant?"

< Isaya 20 >